EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Wasiwasi na tetesi zilizagaa Visiwani Zanzibar wiki iliopita kuhusu hali ya kiafya ya makamo wa kwanza wa rais wa visiwani humo, Maalim Seif Shariff Hamad, baada ya kujulikana alilazwa hospitalini Hyderabad,nchini India.
Kutaka kujua vipi hali ya mwanasiasa huyo inavyoendelea na ugonjwa aliokuwa nao, Othman Miraji wa Sauti ya Ujerumani alizungumza naye alasiri ya jana akiwa hospitalini.
Multimedia - DW-WORLD.DE
Kutaka kujua vipi hali ya mwanasiasa huyo inavyoendelea na ugonjwa aliokuwa nao, Othman Miraji wa Sauti ya Ujerumani alizungumza naye alasiri ya jana akiwa hospitalini.
Multimedia - DW-WORLD.DE