Hali ya Kiafya ya Seif Shariff Hamad

Hali ya Kiafya ya Seif Shariff Hamad

EMT

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
14,477
Reaction score
15,347
Wasiwasi na tetesi zilizagaa Visiwani Zanzibar wiki iliopita kuhusu hali ya kiafya ya makamo wa kwanza wa rais wa visiwani humo, Maalim Seif Shariff Hamad, baada ya kujulikana alilazwa hospitalini Hyderabad,nchini India.

Kutaka kujua vipi hali ya mwanasiasa huyo inavyoendelea na ugonjwa aliokuwa nao, Othman Miraji wa Sauti ya Ujerumani alizungumza naye alasiri ya jana akiwa hospitalini.

Multimedia - DW-WORLD.DE
 
Pole kwa kuugua na ninakuombea upone haraka ili uweze kuendelea na shughuli zako za kila siku.
 
Nyongo inanipanda kusikia viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi, ninatamani hata Mungu awalaani wafie huko huko kwani wanatumia ma-milioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya matibabu nje ya nchi wakati wangeweza kujenga hosipitali hizo nchini kwetu kwa faida ya Watanzania wote !!! Kwa nini hamfi mapema ili waje viongozi wenye uchungu na nchi yao watakaojenga hosipitali hapa nchini zitakazowafaidisha watanzania wote ????
 
Inabidi arudi aende kwa Babu Loliondo.
 
Neno la leo!
Nyongo inanipanda kusikia viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi, ninatamani hata Mungu awalaani wafie huko huko kwani wanatumia ma-milioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya matibabu nje ya nchi wakati wangeweza kujenga hosipitali hizo nchini kwetu kwa faida ya Watanzania wote !!! Kwa nini hamfi mapema ili waje viongozi wenye uchungu na nchi yao watakaojenga hosipitali hapa nchini zitakazowafaidisha watanzania wote ????
 
Sawa sawa! vip why not Muhimbili mpiganaji wa enzi hizo?? Sawasawa??
 
JK yupo kwa Babu, huyu nae yupo India...duh, itafahamika tu
 
Hivi yale magari ya serikali yaliyosemekana yameenda Loliondo kwa babu ni safari za kikazi au binafsi???
 
Hali yake inaendelea vizuri sana kwani alikuwa anasumbuliwa na Sukari kwa mujibu wa Wa Zanzibar waliopo Secundrabad walipomtembela.

Inshallah Allah atayaondosha maradhi yako haraka na uweze kurudi na kungana nasi.
 
Mhhhhhhhhh - ngoja wengine tule vitunguu swaumu manake kwenda India ngumu. Na sie ndio tunaponaga bila shida

MUNGU ANAWAJUA WANYONGE - hata hivyo tunamtakia kupona KISUKARI
 
Nyongo inanipanda kusikia viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi, ninatamani hata Mungu awalaani wafie huko huko kwani wanatumia ma-milioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya matibabu nje ya nchi wakati wangeweza kujenga hosipitali hizo nchini kwetu kwa faida ya Watanzania wote !!! Kwa nini hamfi mapema ili waje viongozi wenye uchungu na nchi yao watakaojenga hosipitali hapa nchini zitakazowafaidisha watanzania wote ????
wengine hawajengi hata nyumba za kufikia huko makwao unadhani watawajali maskini waliowazunguka??
 
Athali za Muafaka hizo! RIP wanademokrasia tutakukosa
 
Back
Top Bottom