Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
hali inazidi kuwa mbaya kwa mbunge david silinde jimboni kwake .
wakati mda unazida kwenda bado hajatekeleza ahadi hata moja alizoaahidi mfano kuleta maji jimboni kwake.
Pengini ni miujiza tu ndiyo inaweza kumkwamua kuweza kurudi tena bungeni
Kama hakuna nguvu za ziada zikiwemo nguvu za giza silinde ndiyo basi tena bungeni.
Alete maji kutoka wapi?.