Hali ya juu sana ya hamu ya ngono

Hali ya juu sana ya hamu ya ngono

Wapendwa kwanza poleni na msiba!
Mwenzenu naona kabisa nikiingia dhambini
Nishajaliwa watoto wangu wawili nikaona wananitosha kabisaa
Nikaweka kipandikizi mkononi….
Fast forward mwaka mmoja baadae kikaaanza kuniletea maudhi nimekitoa 3 month ago.

Miongoni mwa maudhi ni kutokua na hamu kabisa ya jambo letu…
So baada ya kutoa mwezi wa kwanza sikusikia chochote
Mwezi wa pili eeeeh nikaanza kupata hisia kali sana at the peak of ovulation
Jamani mwezi huu nusu ni bake mtoto wa mtu…
Na nimekuja kutafakari hili jambo leo kwamba chanzo ni nini cha hii hamu ndo nikapata jibu hilo…
Aisee ndugu zanguni mpaka nimeongea na Mungu leo…nitafanyaje?
Najiskia vibaya sana….maaana nilishafunganga huo mlango wa mambo ya wakubwa…kwa kifupi nina abstain
Baba mtu tumetengana kimkoa sababu ya kazi but we raise our kids together(sitaongela sana hili)
So most of the time nakua dry sell
Guys sihitaji dhambi hiyo lakini mambo yananizidia kweli kweli
Naomba ushauri
Ninategemea kuanza gym mapema sana mwakani ili niwe nachoka sanaaa
Kias kwamba nisiwaze kabisa huo ulimwengu ila at the moment nakua busy sana…. Ila nikipumzika kidogo tu aiseee ni moto moto
Hii hali sikua nayo before implants
So nahisi hormones bado hazijajibalance
Naombeni ushauri jamani nitabaka huku
Mungu akuongoze rafiki usifanye matusi. sawa friend
 
Uzi huu utakimbia balaa.

Wabongo bana dah!

PM yako iko open? Kuna wangapi huko mpaka sasa hivi? Yaani ukiweka mtego wa honey pot ya hivi unaweza kukamata maboya mengi sana ya JF 😞
 
Ndoa Ndoano
Ukiachwa Achika

Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mtaachana
Ukikosea Kuchagua Kwenye Uchaguzi Ujue Mpaka Baada Ya Miaka 5
 
Back
Top Bottom