Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Mna tusingizia sana watu wa mbeya
Nilikulia mtaa wa Jacaranda uhindini 60's karibu na TBC, nilisoma N. A. Middle School sasa Meta baada ya CCM kupora kisha nikaenda Mbeya School(Iyunga), enzi hizo mji wa Mbeya ulikuwa unanukia maua ya mikaratusi na mikambokambo, hakuna vumbi kutokana na wingi wa miti, pia mji ulikuwa msafi sana.
 
Halafu ulikuwa unajitahidi Sana kuoga tukiwa dormitory mkuu.

Sisi tulikuwa wasafi wa bweni na Yule Dogo PCB mwenzio Pale chamber kwangu
Ahahaha hivi yule dogo bado yupo njombe kule nini

Daaah mkuu lile bardi hapana alafu sasa unakuta mi naoga mda wowote ule aiseeee yale.maisha sitosahau kabisaaa .

Kuna kipindi form five tupo madarasa ya chini aisee.kule chini tulikua tunapigwa bard adi unakumbuka hom
 
Ahahaha hivi yule dogo bado yupo njombe kule nini

Daaah mkuu lile bardi hapana alafu sasa unakuta mi naoga mda wowote ule aiseeee yale.maisha sitosahau kabisaaa .

Kuna kipindi form five tupo madarasa ya chini aisee.kule chini tulikua tunapigwa bard adi unakumbuka hom
Yeah! Madarasa ya chini ilikuwa ni baridi, kiufupi ukiwa form 5 NJOSS ni mateso Sana.
Kuhusu Yule Dogo sina taarifa naye, pengine bado yupo Njombe maana ndiyo maskani kule.
 
Yeah! Madarasa ya chini ilikuwa ni baridi, kiufupi ukiwa form 5 NJOSS ni mateso Sana.
Kuhusu Yule Dogo sina taarifa naye, pengine bado yupo Njombe maana ndiyo maskani kule.
Dogo kipindi cha NEcta alikua anaimba wimbo huu
"" Patakucha patachimbika...""

Yaani jamaa kipindi hiko usiku tunakesha weeeh kesho paper yeye anawahi kulala huku akitegemea badae tumwamshe...

Sasa siku hyo tukamwamsha saa kumi na moja na nusu daah jamaa alilalamika kinoma akawa anaimba hvo...
Yaani PAKIKUCHA LAZIMA PACHIMBIKE
 
Dogo kipindi cha NEcta alikua anaimba wimbo huu
"" Patakucha patachimbika...""

Yaani jamaa kipindi hiko usiku tunakesha weeeh kesho paper yeye anawahi kulala huku akitegemea badae tumwamshe...

Sasa siku hyo tukamwamsha saa kumi na moja na nusu daah jamaa alilalamika kinoma akawa anaimba hvo...
Yaani PAKIKUCHA LAZIMA PACHIMBIKE
Na kalikuwa na visirani kale kidogo...hahahahah.
Hasira nje nje, mi si ndiyo Kaka Ake sasa
 
Back
Top Bottom