heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
11°c today
Ila watu wa Dar😂😂😂😹😹 Na dar kuna baridi lile ambalo Mbeya ndo kipindi cha joto..!!
Pole sasa unalala na jiko au umevaa mzula, koti na soksi 🤣
Huko ni hatari mkuu - Baridi ya huko haifai.Bado mkuu
Hakufai mkuu - kuna mda wiki nzima mvua inanyesha.Hilo baridi la Rungwe na Mbeya analolalamikia kwa kule ni chamtoto dadeki.
Miezi kama hii kuna siku ikiamua ni ukungu siku nzima, hata jirani humuoni.
Hatari kule.Jirani na Makete
Koti sijavaa wala mzula, siwezi kuvaa makoti nikiwa nyumbani labda nikitoka😹😹 Na dar kuna baridi lile ambalo Mbeya ndo kipindi cha joto..!!
Pole sasa unalala na jiko au umevaa mzula, koti na soksi 🤣
Kila sehemu kuna changamoto zake wew kaza huko tuWakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Hapo ukisogea kidogo mwenyewe unarudi tena jikoni..!! 😹😹Koti sijavaa wala mzula, siwezi kuvaa makoti nikiwa nyumbani labda nikitoka
ila kamoto ndio nashindia😂kila siku lazima niote
Leo bora sijatoka kwenda popote
Baridi ya leo ingeniyosha huko nje
National hapo njombe mjini nimekaa mwaka mzima ni kuna baridi kinoma siku nikajichanganya kwenda makete nilijuta aseeUnapajua njombe
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Ndio maana wakiendaga DSM hawarudi kwao, Dar pazuri unajiachia muda woteWakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Mimi bila maji ya moto sitoboi, kuna siku nilijitia uchizi nikaoga ya baridi acha nipige kelele 😹😹😹Ila watu wa Dar😂😂😂
Ninavyofika Dar nilishangaa sana kuona watu wanaoga maji ya moto wakati mimi hata chai nilikuwa nashindwa kunywa.
Ila nilivyozoea na mimi nikaanza kunywa chai.
Ila mwezi March Dar ni kiboko 🙌🏿nilikuwa nalala chini, siyo kwa lile joto.
Umeme ukikatika uwii 💔
gawiza maami?