Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

😹😹 Na dar kuna baridi lile ambalo Mbeya ndo kipindi cha joto..!!

Pole sasa unalala na jiko au umevaa mzula, koti na soksi 🤣
Ila watu wa Dar😂😂😂
Ninavyofika Dar nilishangaa sana kuona watu wanaoga maji ya moto wakati mimi hata chai nilikuwa nashindwa kunywa.

Ila nilivyozoea na mimi nikaanza kunywa chai.
Ila mwezi March Dar ni kiboko 🙌🏿nilikuwa nalala chini, siyo kwa lile joto.
Umeme ukikatika uwii 💔
 
Wasalimie soweto hapo, chumba kikubwa kizuri tsh 20k nilishangaa sana ama kweli mbeya pazuri
 
😹😹 Na dar kuna baridi lile ambalo Mbeya ndo kipindi cha joto..!!

Pole sasa unalala na jiko au umevaa mzula, koti na soksi 🤣
Koti sijavaa wala mzula, siwezi kuvaa makoti nikiwa nyumbani labda nikitoka
ila kamoto ndio nashindia😂kila siku lazima niote

Leo bora sijatoka kwenda popote
Baridi ya leo ingeniyosha huko nje
 

Attachments

  • IMG-20250707-WA0010.jpg
    IMG-20250707-WA0010.jpg
    341.2 KB · Views: 10
Wakuu habari za muda huu?

Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.

Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.

A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo

Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
  • kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
  • kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi

B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
  • muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
  • matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.

C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.

Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.

1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Kila sehemu kuna changamoto zake wew kaza huko tu
 
Koti sijavaa wala mzula, siwezi kuvaa makoti nikiwa nyumbani labda nikitoka
ila kamoto ndio nashindia😂kila siku lazima niote

Leo bora sijatoka kwenda popote
Baridi ya leo ingeniyosha huko nje
Hapo ukisogea kidogo mwenyewe unarudi tena jikoni..!! 😹😹
 
N
Wakuu habari za muda huu?

Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.

Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.

A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo

Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
  • kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
  • kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi

B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
  • muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
  • matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.

C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.

Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.

1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Ndio maana wakiendaga DSM hawarudi kwao, Dar pazuri unajiachia muda wote
 
Ila watu wa Dar😂😂😂
Ninavyofika Dar nilishangaa sana kuona watu wanaoga maji ya moto wakati mimi hata chai nilikuwa nashindwa kunywa.

Ila nilivyozoea na mimi nikaanza kunywa chai.
Ila mwezi March Dar ni kiboko 🙌🏿nilikuwa nalala chini, siyo kwa lile joto.
Umeme ukikatika uwii 💔
Mimi bila maji ya moto sitoboi, kuna siku nilijitia uchizi nikaoga ya baridi acha nipige kelele 😹😹😹

Nikija Mbeya napiga passport size, kuoga siku ya kuondoka.. 🤣
 
Back
Top Bottom