Hii baridi ya leo Mbeya ni balaa 🙌🏿🙌🏿
Yaani ni hatari sana
Umefika Lushoto na Makete?Maadhimisho ya baridi kitaifa huwa yanafanyika Njombe. Ile baridi ya kule ni mateso.
Hapo Nasoma Sikuhizi Pamejaa Vibaka tupu yaani kukabwa nje nje.
Bora TukuyuTukuyu ndo baba lao kule busokelo 😹😹
Nilimwambia mama huku siji tena mwanzo na mwisho..!!
Na kweli sijarudi mpk leo.. huko makete sijui mara ya mwisho kukanyaga lini?!!
Kule mpk nguo zinaganda juu ya kamba. 🤣
Makete nimeijumuisha hapo Njombe mkuu ...ila Lushoto ndio sijui baridi lake.Umefika Lushoto na Makete?
Atiiiii 🤣🤣🤣Kwamba Zanzibar nako kuna baridi?
😂😂😂
Hebu kuweni seriazi😂
Khaa 😂😂😂💔🙌🏿Atiiiii 🤣🤣🤣
Hapa Nipo kwenye duvet mwenzio ujue 😅😅😅
Mi sina afya mgogoro, Niko fit broh!Mbeya hajuwafai nyie wenye Afya ya mgogoro.
By the way watu wanaoishi maeneo ya joto wanazeeka haraka kuliko tunaoishi Kanda za baridi.
Bora Dodoma Sasa nayo ipumzike maana wanaume wa Dar Kila kitu ni malalamiko
Ni kutembea na mafutaMiaka kadhaa nyuma nilienda field Mbeya ilikuwa july nakumbuka ikifika asubuhi naanza kulia😭😭😭maji upashe hujafika bafuni yamepoa utoke kwenda kupanda gari umefika stand mafuta yote yamepauka woiiiiiii