Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

Wakuu habari za muda huu?

Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.

Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.

A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo

Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
  • kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
  • kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi

B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
  • muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
  • matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.

C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.

Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.

1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Nenda nairobi
 
Mimi bila maji ya moto sitoboi, kuna siku nilijitia uchizi nikaoga ya baridi acha nipige kelele 😹😹😹

Nikija Mbeya napiga passport size, kuoga siku ya kuondoka.. 🤣
Toka nije Mbeya sijawahi kuoga maji ya baridi.
Naoga maji ya moto kama ya kunyonyolea kuku😂😂😂😂
Hata kuwe na jua vipi
 
Wakuu habari za muda huu?

Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.

Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.

A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo

Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
  • kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
  • kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi

B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
  • muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
  • matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.

C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.

Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.

1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Mbeya ni mzuka sana, nilienda mara Moja tu kikazi, nikapapenda sana. Kila likizo yangu ya mwaka naenda zangu Mbeya
 
Koti sijavaa wala mzula, siwezi kuvaa makoti nikiwa nyumbani labda nikitoka
ila kamoto ndio nashindia😂kila siku lazima niote

Leo bora sijatoka kwenda popote
Baridi ya leo ingeniyosha huko nje
Supa dengarazi. Ukijichanganya tu ukajifungia na hili jiko ndani ukafunga na madirisha yako ya vioo kinaumana - Carbon Monoxide poisoning. Uangalifu unahitajika!
 
Pole mkuu, tuache na uzinzi pia, siyo nguruwe tu.
Pole na wewe .
Ushawahi skia mtu anasamehewa akila nguruwe .
Yaan mtu anaomba toba kisa kala ngurue..

Unajua adhabu ya mtu ambaye amakela nguruwe....?
 
Mimi bila maji ya moto sitoboi, kuna siku nilijitia uchizi nikaoga ya baridi acha nipige kelele 😹😹😹

Nikija Mbeya napiga passport size, kuoga siku ya kuondoka.. 🤣
Hata mimi nikijaga dar hvo hvo siwezi kabisa kuoga oga hovyo
 
National hapo njombe mjini nimekaa mwaka mzima ni kuna baridi kinoma siku nikajichanganya kwenda makete nilijuta asee
Mi nimesoma pale njoss mkuu...
Kuna jamaa angu alikua anasoma shule gani ila ipo njombe ndani ndani aiseeee ile shule kwanza namba wna esabu sa sita mchana
 
Wakuu habari za muda huu?

Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.

Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.

A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo

Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
  • kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
  • kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi

B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
  • muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
  • matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.

C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.

Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.

1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
C(2) Umeandika vizuri sana.Hayo mambo ya baridi pambana nayo.Fumba macho nikuombee dua njema.🫸🫷😎
 
Kwa dar wewe by nature ni mchafu 😹🤣
Hpana naoga oga sema sio kiivo..
Unajua kama sasa kwa hilo bard mi siogagi niseme tuu ukweli...

Ila sio mchafu ujue nawakaga et unikute na mabuti yangu yale full jinsi kamatia chini aaaaah utanitaka sasa
 
Back
Top Bottom