Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,846
Anaweza akanuna tuuNa kalikuwa na visirani kale kidogo...hahahahah.
Hasira nje nje, mi si ndiyo Kaka Ake sasa
Anaweza akanuna tuuNa kalikuwa na visirani kale kidogo...hahahahah.
Hasira nje nje, mi si ndiyo Kaka Ake sasa
Waafrica akili hatunaWakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Halafu ananuna Kwa kujionyesha yaani.Anaweza akanuna tuu
Hapa ndio Kichwa hua kinaumaga kishenzi kudadadadeek sijasahaujotoridi ni 9°C
Wakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k. akili hatuna
Tuna lalamikia fursa...kila jambo jema kwetu linakuwa shida ...hiyo mikoa yenye baridi na mvua muda wote ni faida kubwa kwa taifa tatizo ni serikali zetu pumbavu mfano hata tunashindwa kujua utofauti wa ujenzi wa shule kwenye mikoa ya baridi na mikoa ya joto ...tunajenga shule katika mfumo mmoja.Hamna kivipi?
Ahafah yule dogo jau sema alipata chache ndo mana hakuendelea na ndoto zak za udactariHalafu ananuna Kwa kujionyesha yaani.
Hana aibu na kununa bila sababu... hahahah
Kumbe alikuwa na mipango mrefu? HahahahaAhafah yule dogo jau sema alipata chache ndo mana hakuendelea na ndoto zak za udactari
Huko Raha sana tuliokuzoea na kukulia hata tukienda Nchi za Scandinavia hatuna hofu ya baridi maana ni kama nyumbani!,Hamu ya kula ni lazima haina haja ya pilipili Wala booster!Wakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Kama tuu Dodoma jangwa kuna baridi,je Mbeya, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Iringa,Songwe, Arusha Hali ikoje?!!Hii baridi ya leo Mbeya ni balaa 🙌🏿🙌🏿
Yaani ni hatari sana
Pole sana mkuuWakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Bora hata nilihama nimewamiss wanangu wa nzovwe,nonde kuna mwamba mmoja anauza bangi kule nonde makaburini kwa juu ukikaa kule unalitazama jiji kwa chini vizuri zaidi ukae giza likiingia mnavuta bangi mnarud nyumban mnatembea umbali mrefu unaweza kuta stimu inakata njiani jamaa ana bangi kali yule kuna cku nilivuta bangi nikapitiliza home sasa nina miaka mitatu nimeacha kama kuna kijana anashawishika aanze kuvuta bangi aachane nayoWakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B. Kuanzia Juni Hadi Agosti - Baridi Kali sana na upepo ukiambatana na vumbi maeneo mengi ya mji.
- kiukweli ukiacha maeneo kama Njombe, Mafinga, Arusha n. K, basi Mbeya Kuna Baridi ya hovyo sana.
Mfano Leo ( jumatano, Julai 9, 2025) jotoridi ni 9°C
Changamoto: kama una afya mgogoro lazima uibuke na homa, kupauka na kukauka hovyo ngozi ( kuwa kijivu😂)
- muda wote uvae Sweta zito, jaketi au koti.
- matembezi hayafai kabisa, ni kukaa ndani baada ya kazi.
C. Mwezi Septemba Hadi Novemba- jua Kali na vumbi.
- ukivaa vizuri uwe na usafiri wako, usitembee umbali mrefu.
Pamoja na karaha za mkoa huu, Mbeya Ina Raha zake.
1. Vyakula bei nafuu.
Mfano, viazi ( vitamu na mviringo), matunda bwerere ( ndizi, parachichi, tikiti maji, n. k), mahindi, mihogo, Michele,
- Nyama hasa kitimoto Kwa walaji wake.
2. Starehe.
- viwanja muhimu Kwa wapenda starehe kama vile MBEYA PAZURI, NASOMA, MWAIRUBI, Baa maarufu kama JJ Njora n. k.
Utaganda kama singeli inavyo imbwaDah ngoja nije kushudia mwenyewe.
Inatgemea na umalila ipi sister ,Kuna ilembo ,shizuvi ,shisyete na santilya huko ndiko baridi linashindana kuuwa watu ila Isuto ,Ilindi ,Iwowo ,Igarukwa na Iyenga hakuna baridi la kutisha ni sawa na mbeya mjini tu kijoto kipo na huko ndiko tulikojazana walevi wa ulanziIla kwa hapa Mbeya
Hakujaifikia baridi iliyopo Umalila
Yaani kule ni kiboko🙌🏿