Hali tete Masasi

Hali tete Masasi

Jikusanyeni muite Pipooz Power muingie barabarani kufanya maandamano ya amani kupinga manyanyaso haya ya jeshi la policcm.
 
Kuna taarifa za ndani kwamba wale viongozi na wanachama wa CDM waliokamatwa na kufikishwa mahakamani jana wamenyimwa dhamana. Wapo waliokaa mahabusu takribani wiki moja sasa. Eti wanashikiliwa kwa kosa la kula njama.

Mkuu Basil Lema kama sikosei wewe ni mmoja wa Makamanda wa ukweli toka Moshi na umezunguka sana ktk harakati za M4C, na kwa mamlaka uliyonayo mjulishe Dr.W.Slaa ikiwezekana Kesho ktk mkutano atoe tamko kuhusu hali hii, na tukubaliane ni hatua gani za kuchukua kukomesha unyanyasaji huu.

HUU NI MWAKA WA NGUVU YA UMMA sio mwaka wa kuendelea kulalamika tunaonewa bali ni wakati sasa wa kusema basi tumechoka kunyanyaswa.

Raia tunyanyaswe na Bungeni wabunge wetu wanyanyaswe, sasa nani mkombozi wetu?

"Msiogope, simameni tu mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo…BWANA
atawapigania,nanyi mtanyamaza kimya"
(Kutoka14:13,14)
 
Hosin Mubarak wa misri alitumia vifaru; wanajeshi wakaua hadi wakaona ni upuuzi! waandamanaji wakapanda juu ya vifaru huku askari wakiwalinda. We cannot defeat injustice by becoming more inferior before oppressors but by becoming more superior against injustice and oppressors! Ukiona unyanyasaji unashamiri ujue ukombozi umekaribia. I prefer non violence struggle which is at hand-2015. Lets come together kingsmen and reject the bark-shelled exploiters.
Unajua yanayokea Misri sasa ? so called peoples power nje ya kura ni uhaini tu... na dawa yake inapatikana baada ya mudamfupi...Misri is a good case study ... Tunis same..Syriaa same.
 
Viongozi wa kitaifa wa cdm fuatilieni hilo ili kujua kama linaukweli na baada ya hapo kitengo cha wanasheria wa chama wasimamieni viongozi hawa wa masasi.pia mlioko huko kama taarif ahamjazileta ngome fanyeni mpango wa haraka kuleta taarifa hizo na ikibidi mtu au watu waje physical pale ngome na kulitolea maelezo jambo hili na kisha najua chama kitachukua hatua za haraka kulitatua hili.

Mhalifu ni mhalifu tu, Ni lazima achukuliwe hatua hakuna cha kukiomba chama labda mtuaminishe kuwa mmetumwa na chama chenu.
kufanya uhalifu kwa kisingizio cha chama! Mtashughurikiwa tu hata na hao wanaowatuma.
 
Viongozi wa CDM hawajajulishwa na wamechukua uamuzi gani?
 
Tutegemee hali hiyo kusambaa nchi nzima kasoro Bagamoyo tuu.
 
Pamoja na Waziri Mkuu kuamuru kuwa wale wote waliokamatwa kwa uchochezi wa matukio ya vurugu Mtwara waachiwe hali ni kinyume kabisa kwani kila siku watu wanakamatwa hovyo. Kwa sasa watu wanakamatwa kwa kosa la kuwa wananchama wa CHADEMA. Jana huko Lulindi kata ya Namalenga kijiji cha Mitesa mwenyekiti wa kijiji hicho kupitia CHADEMA aitwaye GHADAFI amekamata saa 6 usiku na polisi wa Masasi. Alikamatwa pamoja na kaimu mtendaji wa kijiji hicho.

Jana hiyo hiyo yapata Mahabusu 110 walifikishwa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo. Kwa kuwa mahakama ya mwanzo ilichomwa moto hakimu alilazimika kuwasomea mashitaka yao katika chumba cha hakimu mkazi. Kosa kubwa linalowagharimu viongozi na wanachama wa CHADEMA ni kukutwa na kadi ya CDM. Kwa sasa imewalazimu wananchi kutembea na kadi za CCM kama njia pekee ya kunusurika na kukamatwa na polisi ambao wengi wao wametoka Tunduru na Songea.

Askari hawa wakija kukamata watu wanapora vitu mbalimbali vya ndani. Ukikutwa una TV unadaiwa risiti kama huna wanaichukua. Viongozi wote wa mashina wa CDM wamekamatwa. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Hakuna chombo cha habari hata kimoja kinachotoa taarifa ya mambo yanayotokea huku. Wananchi wanadai kwamba vyombo vya habari vimenyamazishwa.

Viongozi kadhaa wa CHADEMA wa Masasi na karibu mkoa wote wa Mtwara wako katika wakati mgumu sana. Baadhi wamekimbia majumbani mwao na sasa wengine inasemekana kwamba wameenda DSM kujificha.

CCM wameamua kutumia jeshi la polisi kuhakikisha kwamba wapenzi, wanachama,viongozi na mashabiki wa CHADEMA wananywea na kuogopa kabisa kujitambulisha na chama chao. Hii sasa ni nchi ya vitisho. Sioni kama tutafika tuendako. Hali ni tete sana huko Mtwara.

wapi big show?tiririka
 
Kuna taarifa za ndani kwamba wale viongozi na wanachama wa CDM waliokamatwa na kufikishwa mahakamani jana wamenyimwa dhamana. Wapo waliokaa mahabusu takribani wiki moja sasa. Eti wanashikiliwa kwa kosa la kula njama.

kama alievamia kiwanja amenyimwa dhamana,itakua hao ambao wamechoma nyumba za waheshimiwa.
 
hivi CDM ni chama cha waasi na hakitambuliki na ofisi ya Tendwa? maana huu upuuzi uko hadi kwenye ajira za serikali. kama umeomba ajira serikalini, ukafanyiwa vetting na kubainika ni mwanachama wa CDM eti tayari ishakuwa dosari! stupid of them!
halafu hivi vyombo vya habari vina unafiki kweli. wanadai uhuru wa habari wakati wanafiki watupu. wakiitwa Ikulu na kula mapochopocho na kupewa bahasha za khaki basi wanaandika ama habari za kuiponda CDM au hawaandiki chochote kizuri juu ya CDM. anyway acha waendelee lakini wakumbuke licha ya serikali ya Tunisia kudhibiti vyombo vya habari lakini wananchi wa nchi hiyo walitumia mtandao wa ;Face Book' kutumiana habari na kuhamasishana kuuangusha utawala wa Rais fisadi! ... Time will tell...
 
Pamoja na Waziri Mkuu kuamuru kuwa wale wote waliokamatwa kwa uchochezi wa matukio ya vurugu Mtwara waachiwe hali ni kinyume kabisa kwani kila siku watu wanakamatwa hovyo. Kwa sasa watu wanakamatwa kwa kosa la kuwa wananchama wa CHADEMA. Jana huko Lulindi kata ya Namalenga kijiji cha Mitesa mwenyekiti wa kijiji hicho kupitia CHADEMA aitwaye GHADAFI amekamata saa 6 usiku na polisi wa Masasi. Alikamatwa pamoja na kaimu mtendaji wa kijiji hicho.

Jana hiyo hiyo yapata Mahabusu 110 walifikishwa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo. Kwa kuwa mahakama ya mwanzo ilichomwa moto hakimu alilazimika kuwasomea mashitaka yao katika chumba cha hakimu mkazi. Kosa kubwa linalowagharimu viongozi na wanachama wa CHADEMA ni kukutwa na kadi ya CDM. Kwa sasa imewalazimu wananchi kutembea na kadi za CCM kama njia pekee ya kunusurika na kukamatwa na polisi ambao wengi wao wametoka Tunduru na Songea.

Askari hawa wakija kukamata watu wanapora vitu mbalimbali vya ndani. Ukikutwa una TV unadaiwa risiti kama huna wanaichukua. Viongozi wote wa mashina wa CDM wamekamatwa. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Hakuna chombo cha habari hata kimoja kinachotoa taarifa ya mambo yanayotokea huku. Wananchi wanadai kwamba vyombo vya habari vimenyamazishwa.

Viongozi kadhaa wa CHADEMA wa Masasi na karibu mkoa wote wa Mtwara wako katika wakati mgumu sana. Baadhi wamekimbia majumbani mwao na sasa wengine inasemekana kwamba wameenda DSM kujificha.

CCM wameamua kutumia jeshi la polisi kuhakikisha kwamba wapenzi, wanachama,viongozi na mashabiki wa CHADEMA wananywea na kuogopa kabisa kujitambulisha na chama chao. Hii sasa ni nchi ya vitisho. Sioni kama tutafika tuendako. Hali ni tete sana huko Mtwara.
Wacha uongo wako kusini huku hakuna Chadema,nyinyi mulitubagua zawani kwa ukabila wenu na udini wenu...huku kama Zanzibar vyama ni viwili tu....CCM na CUF
 
Pamoja na Waziri Mkuu kuamuru kuwa wale wote waliokamatwa kwa uchochezi wa matukio ya vurugu Mtwara waachiwe hali ni kinyume kabisa kwani kila siku watu wanakamatwa hovyo. Kwa sasa watu wanakamatwa kwa kosa la kuwa wananchama wa CHADEMA. Jana huko Lulindi kata ya Namalenga kijiji cha Mitesa mwenyekiti wa kijiji hicho kupitia CHADEMA aitwaye GHADAFI amekamata saa 6 usiku na polisi wa Masasi. Alikamatwa pamoja na kaimu mtendaji wa kijiji hicho.

Jana hiyo hiyo yapata Mahabusu 110 walifikishwa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo. Kwa kuwa mahakama ya mwanzo ilichomwa moto hakimu alilazimika kuwasomea mashitaka yao katika chumba cha hakimu mkazi. Kosa kubwa linalowagharimu viongozi na wanachama wa CHADEMA ni kukutwa na kadi ya CDM. Kwa sasa imewalazimu wananchi kutembea na kadi za CCM kama njia pekee ya kunusurika na kukamatwa na polisi ambao wengi wao wametoka Tunduru na Songea.

Askari hawa wakija kukamata watu wanapora vitu mbalimbali vya ndani. Ukikutwa una TV unadaiwa risiti kama huna wanaichukua. Viongozi wote wa mashina wa CDM wamekamatwa. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Hakuna chombo cha habari hata kimoja kinachotoa taarifa ya mambo yanayotokea huku. Wananchi wanadai kwamba vyombo vya habari vimenyamazishwa.

Viongozi kadhaa wa CHADEMA wa Masasi na karibu mkoa wote wa Mtwara wako katika wakati mgumu sana. Baadhi wamekimbia majumbani mwao na sasa wengine inasemekana kwamba wameenda DSM kujificha.

CCM wameamua kutumia jeshi la polisi kuhakikisha kwamba wapenzi, wanachama,viongozi na mashabiki wa CHADEMA wananywea na kuogopa kabisa kujitambulisha na chama chao. Hii sasa ni nchi ya vitisho. Sioni kama tutafika tuendako. Hali ni tete sana huko Mtwara.
tupe uthibitisho wa tuhuma zako
 
Hatua za kuwinda mahasimu wa kisiasa kwenye operation kama hizi zitapelekea machafuko.Hakuna chama chochote cha siasa kinachoweza kukubali wanachama wake kunyanyaswa kwa sababu za kisiasa.
 
sasa sijui tuwasaidiaje jamani?kwani kabla hamjaanza harakati zenu hamkujua reaction itakuaje?au mlidhani watawakubalia madai yenu.
Mbona hayo yanaeleweka tangu enzi za Nyerere, kwamba ukiandamana kudai haki yako dhidi ya serikali, wewe ni adui mkubwa wa serikali. Kwani akini Ulimboka hawakujua wangepatwa na nini? Lakini hatutanyamazishwa na kuvaa mioyo ya uoga kwa kuwa tu wenye mamlaka wana uwezo wa kutumia dola kutunyamazisha. Ufike wakati, wenzetu wakikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uongo, sisi tuandamane kupinga kukamatwa kwao. Tukifikia kwenye spirit ya aina hiyo, Udikteta wa Kikwete utafika mwisho kama si kupungua. Huyu bwana anaongoza nchi kimabavu kupita kawaida. Na hii haishangazi hasa kwa mtu asiye na hekima ya kuwashawishi watu ili wamsikilize.
 
Back
Top Bottom