Hali tete Masasi

Hali tete Masasi

Hiyo ndio inavyotakiwa. nadhani siku ingine mkiwashawishi wafanye fujo hizo fujo watawafanyia wenyewe. Serikali ina mkono mrefu.
 
Inasikitisha sana, serikali inakimbilia kushughurikia watu badala ya masuala ya msingi yaliyopelekea wanamtwara kusema yatosha sasa. Haya wacha wafunike kaa la moto kwa kifuu!!!!
 
Walipokuwa Dodoma,Chadema tried to invent trouble,tried to put trouble where there was no trouble. Now someone is bothering them without a reason.
Ah,Masasi ndio nyumbani kwake Spika. I can understand why Chadema does not have many friends in Masasi.
 
Hiyo ndio inavyotakiwa. nadhani siku ingine mkiwashawishi wafanye fujo hizo fujo watawafanyia wenyewe. Serikali ina mkono mrefu.
Tanzania haina serikali sasa hivi, ila genge la wezi, wauaji, wanyang'anyi, wagonjwa wa ukimwi, walaghai, wazee wasio wazalendo .....
 
Hao ni wafa maji,mc hof tu pamoja komaeni tukiona mmezidiwa ninaamini tunakinukisha kote kwani wakati ushafika wao wakisubiri muda.
 
Walipokuwa Dodoma,Chadema tried to invent trouble,tried to put trouble where there was no trouble. Now someone is bothering them without a reason.
Ah,Masasi ndio nyumbani kwake Spika. I can understand why Chadema does not have many friends in Masasi.

Masasi na spilka wapi na wapi?
 
This+this=that [this plus this equals that] is that not what logic,reason is all about?
 
Alo,don't you understand nothing? Spika anatoka Masasi,ndio nyumbani kwake. Ni kama hivi unabishana na mimi,halafu baadaye unagombana na watu wa Butiama.

Mkuu Andrew Nyerere wasiwasi wangu ni kwamba unachojaribu kucomment hakina uhusiano wowote na mada iliyoko mezani. Labda kama hiki ni kiyunani ambacho sikielewi pamoja na kujua kukisoma!
 
Last edited by a moderator:
Na bado mlikuwa mnachochea vurugu,mmechoma nyumba za watu sasa ni wakati wa malipo.Polisi fanyeni kazi zenu hata ikibidi wapelekeni under 6ft tuone hao viongozi wao Kama watawafuata mbavu kabisa
 
Na bado mlikuwa mnachochea vurugu,mmechoma nyumba za watu sasa ni wakati wa malipo.Polisi fanyeni kazi zenu hata ikibidi wapelekeni under 6ft tuone hao viongozi wao Kama watawafuata mbavu kabisa

stupidity is not a crime, you are free to go. Log in else'where.
 
Viongozi wa juu CDM walifuatilie hili jambo ili kuwanusuru hawa wanachama wetu wanao onewa
 
Wewe huna uwezo kuniambia mimi hivyo hayo wanayoyapata ni malipo halali kwa kazi waliofanya.Wewe unalialia nini nenda kawatolee mdhamana basi halafu uje utuambie
stupidity is not a crime, you are free to go. Log in else'where.
 
Alo,don't you understand nothing? Spika anatoka Masasi,ndio nyumbani kwake. Ni kama hivi unabishana na mimi,halafu baadaye unagombana na watu wa Butiama.

Spika anatoka njombe mkuu na siyo masasi.
 
Tunashukuru kwa taarifa mkuu. Ni matumaini yetu uongozi wa juu chadema umesikia kadhia hii
 
Walipokuwa Dodoma,Chadema tried to invent trouble,tried to put trouble where there was no trouble. Now someone is bothering them without a reason.
Ah,Masasi ndio nyumbani kwake Spika. I can understand why Chadema does not have many friends in Masasi.
Jf imeingiliwa na watoto sasa ambao wanataka ku practice english kwa zile tuishen za mchikichini
 
Kwa nini wakamatwe wa CDM tu, CUF vipi na vyama vingine hawakamatwi?
 
Viongozi wa juu CDM walifuatilie hili jambo ili kuwanusuru hawa wanachama wetu wanao onewa

itawasaidiaje?.Rais alisema wale wote waliohusika sheria itafata mkondo.Na waliokua wakiwatuma watawakimbia,watajikuta wamebaki peke yao,na hapa ndo watakapoelewa kwamba kumbe walitumika.
In other words hii senema ya gase imeelekea THE END.
Ngoja tuone hii ya leo ya maandamano.
 
Back
Top Bottom