Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Wiki iliyopita nimepigiwa simu na ndugu zaidi ya kumi wanaomba msaada maisha magumu, kukaa nje kote miaka zaidi ya kumi jambo hili halijawahi tokea.
Yaani CAG, IMF, mtaani kampuni zinazofungwa, kote kuna evidence za kutosha alafu we unakuja na analysis yako bila hata kauchunguzi kidogo. Watu mna matatizo ya akili labda ushamba unakusumbua
Mkuu; hapo kwenye bold. Umempa sifa asiyostahili. Huyo afanye analysis gani? Anajua hata maana yake basi?