Hali sio mbaya kama inavyoenezwa kwenye mitandao!!

Mkuu hizi report haziko realistic, ni ripoti za kupikwa kwa lengo la kucreate tension, kuwafanya wananchi wakate tamaa na kuichukia Serikali yao, maeneo mengi zinasababisha Machafuko

H

Yaani report ya CAG are you serious?
 
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!
Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methods)
Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
Nahisi wewe unalelewa na shemeji au umepata bash@ hapo ulipo ndio maana huwezi jua hali halisi ya upatikanaji wa pesa na mzunguko wake.
Endelea tu!!
 
Hakuna jina unalositahili kuitwa hapa duniani zaidi ya saddist au vampire.Mungu anisamehe na wewe si mtanzania kabisa.
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!

Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methods)

Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
 
Acha kuwakebehi Watz. Wewe mwenyewe umejiunga kifurushi cha mkopo kuweza kuleta kebehi zako kwa watu waliokwishajikatia tamaa.
 
Kawaambie wajinga wenzio wa CCM. Biashara zimefungwa uchumi unaelekea shimoni toka 7% hadi 4%. Hela zetu kwenye acc zetu benki zinaporwa. Hata mvua zimegoma kuunga mkono ujinga.
 
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!
Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methods)
Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
Kumbe ni mshiriki wa serikali! Ungeshangaza kama ungeponda, ungetumbuliwa. Hata sisi wananchi tunasema huku mitaani mambo ni safi. Pasaka nimeuza kuku 6 kwa jirani zangu kwa sh 7000 kila mmoja. Nimechinja mmoja na wife kampika chukuchuku, viungo hakuna, hela sins, wale 6 nimeuza kwa mkopo.
 
Sio proganda. Hata mm nilikiwa kama ww.. mwanzoni sikuona shida yoyote. Nilipoanza kupata safar za kutembelea tanzania nzima ndio nilipojionea hali ikoje.
Toka hapo ulipo tembelea tanzania nzima..usikae sehem moja ukasema ni propaganda. Tulioko serikalin tunajua nn kinaendelea.
Nyingi ni propaganda tu, hakuna sehemu ambapo watu wanalipwa bila kufanya kazi
 
CAG angekuwa anapika report leo hii asingekuwepo oficin. Asingepata kibarua cha kuwa mkaguzi wa UN.
Asngepata dhamana ya kuwa mkaguzi wa nchi. Kama report zingekuwa zinapikwa angeshafukuzwa kazi na rais.
Ifike mahali mkubali ukweli. Report zinafanyiwa research na wataalam.. unless labda na ww umefanya research yako ulete report yako tuisome hapa.
Mkuu hizi report haziko realistic, ni ripoti za kupikwa kwa lengo la kucreate tension, kuwafanya wananchi wakate tamaa na kuichukia Serikali yao, maeneo mengi zinasababisha Machafuko

H
 
Mi sijafanya utafiti ila watu wanalalamikia ugumu wa maisha. Huenda nao hawajui maana ya ugumu wa maisha au wewe hujui maana ya maisha kuenda vizuri. Ila sio tatizo kwani binadamu tunaomba mambo kwa macho tofauti
 
Wiki iliyopita nimepigiwa simu na ndugu zaidi ya kumi wanaomba msaada maisha magumu, kukaa nje kote miaka zaidi ya kumi jambo hili halijawahi tokea.

Yaani CAG, IMF, mtaani kampuni zinazofungwa, kote kuna evidence za kutosha alafu we unakuja na analysis yako bila hata kauchunguzi kidogo. Watu mna matatizo ya akili labda ushamba unakusumbua
Wengi walioamua kusifia kila kitu wapo hivyo. Utafiti wa TWAWEZA ulieleza wazi kuwa wengi wao ni watu wasio na kiwango kizuri cha elimu na uelewa.
 
Mimi nafanya biashara. Nilikuwa napata wastani wa shilingi 2.5mls kwa mwezi. Biashara ambayo sio ya kisomi kwa maana naweza kutumia hata mtaji mkubwa labda kama 20mls kupata 1m. Kwa sasa kazi zimekuwa ngumu.

Ukitaka kujua ugumu wa biashara nenda bank utakuta matailer wanashinda fecebook na wasapu wakisubiri wateja.

Kifupi hali ni mbaya.
 
Mtoa mada ni falaa sana japo amesema ukweli kitu kimoja tuu cha wapiga kelele za kuumia, kua ni kakundi ka watu flani Jf utaona wanavamia thread kama wanaitana vile wapi manengelo wapi Bak wapi Detective wapi mmawia & co
 
Wafunike na blanketi hao watu wa serekali waendelee kuchapa usingizi wa dozi kali iitwayo imani kwa Magufuli. Iwapo hata methodology umeogopa kuisema huoni kwamba hapo tayari ni utapeli unaleta?
 
Kwann hamji madhabahuni ili nanyi mkale

Hiyo tafiti yako nadhani umeendesha ukiwa na wanajeshi wa JWTZ maana siku hizi ndio mpango mzima. Kama ni hao ulikuwa nao nadhani majibu mliyoyapata ni kuwa sisi tunawazidi US kwa GDP.
 
Wiki iliyopita nimepigiwa simu na ndugu zaidi ya kumi wanaomba msaada maisha magumu, kukaa nje kote miaka zaidi ya kumi jambo hili halijawahi tokea.

Yaani CAG, IMF, mtaani kampuni zinazofungwa, kote kuna evidence za kutosha alafu we unakuja na analysis yako bila hata kauchunguzi kidogo. Watu mna matatizo ya akili labda ushamba unakusumbua
Hawa siyo ushamba ila ni wale manabii na wachungaji wanaopewa pesa za maombezi. Kama sivyo basi hawa ni walinzi wa Rais wanapewa zile pesa zinazonyang'anywa wale wanaotekwa kama MO na wenzie ili waachiwe. Kumbuka kesi ya voda. Zile pesa zitaenda wapi?
 
Back
Top Bottom