Jaman wanasiasa hasa CCM lioneni hili ukipita mitani wat karib ya kupigana kati ya watanganyika na Wazanzibar nimepita pale wanapouza spea za gari shauri moyo duh mpaka nitalala bado nina hofu kama kwel wat hawatapigana kisa mungano.
Jamani mnaozunguzia kuuvunja muungano nyinyi mlikuwepo kipindi nyerere na karume walivyoziunganisha hizo nchi mbili? Naamini kutokana na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu. Ukiona mambo yanazungumziwa saana ujue zaidi ni tamaa ya madaraka
Jaman wanasiasa hasa CCM lioneni hili ukipita mitani wat karib ya kupigana kati ya watanganyika na Wazanzibar nimepita pale wanapouza spea za gari shauri moyo duh mpaka nitalala bado nina hofu kama kwel wat hawatapigana kisa mungano.
Teh teh teh zanzibar vunjeni basi huo muungano fasta muone kitakachofuata.chakula hamlimi hivyo mtalipa dola,umeme mtalipa dola, uraia fasta mtatulipa dola maana lazima mje kucheki msosi,vyuo vikuu mtakuja kusoma kwa dola, bila shaka askari wetu watakuja kulinda amani maana mnavyobaguana lazima mpigane hivyo makamanda wetu watalipwa dola,zile nafasi 1000 wanazopewa waznz katika vyuo vikuu watapewa watanganyika,lazima mtarudisha mashamba yote mnayomili huku bara yaani pesa yenu itakuwa ya mugabe.wembe mkali
jamaa ana wasi wasi huyu dahBila kusahau kuwa utalii zanzibar utakufa fasta maana al shabab watapiga hodi fasta bila kusahau kuwa bandari ya bagamoyo na dsm ndizo zinazotegemewa na rwanda,burundi,drc,zambia na malawi yaani meli kubwa zote zinatia nanga tanganyika wazo lenu la free port ni wazo mfu maana hakuna mfanyabiashara anayetaka kuingia gharama mara mbili. Kwa sababu zanzibar wametukera sana kujifanya wajuaji dawa yao inachemka sasa tunataka tanganyika yetu na wao kama wakiendelea kupiga kelele tunasema mtoto kalilia wembe huyo
Bila kusahau kuwa utalii zanzibar utakufa fasta maana al shabab watapiga hodi fasta bila kusahau kuwa bandari ya bagamoyo na dsm ndizo zinazotegemewa na rwanda,burundi,drc,zambia na malawi yaani meli kubwa zote zinatia nanga tanganyika wazo lenu la free port ni wazo mfu maana hakuna mfanyabiashara anayetaka kuingia gharama mara mbili. Kwa sababu zanzibar wametukera sana kujifanya wajuaji dawa yao inachemka sasa tunataka tanganyika yetu na wao kama wakiendelea kupiga kelele tunasema mtoto kalilia wembe huyo