mi najiuliza sna kwanini wapemba hawataki mungano japo wanafanya biashara sana huku bara yani wapo tayari hatakupigana na huwa wanatukana snaufe tuu ahh tumechoka
Wewe unastahili kuitwa kolokoloni, mimi si muumini wa muungano, lkn hoja zako ni za kipuuzi, suala la kununua vyakula na bidhaa nyingine ni la kibiashara, si lazima wanunue kutoka kwetu tanganyika, wanaweza kuagiza kutoka china, india, na kwingineko ambako ni rahisi zaidiTeh teh teh zanzibar vunjeni basi huo muungano fasta muone kitakachofuata.chakula hamlimi hivyo mtalipa dola,umeme mtalipa dola, uraia fasta mtatulipa dola maana lazima mje kucheki msosi,vyuo vikuu mtakuja kusoma kwa dola, bila shaka askari wetu watakuja kulinda amani maana mnavyobaguana lazima mpigane hivyo makamanda wetu watalipwa dola,zile nafasi 1000 wanazopewa waznz katika vyuo vikuu watapewa watanganyika,lazima mtarudisha mashamba yote mnayomili huku bara yaani pesa yenu itakuwa ya mugabe.wembe mkali
Kwa taarifa yako Muungano uliosasisiwa kati ya Nyerere na Karume umeshavunjwa. Wao waliweka Muungano wa Nchi moja (Tanzania) kwa Serikali mbili {Tanzania bara (Tanganyika) serikali ya Muungano na Zanzibar serikali ya Mapinduzi}. Sasa hivi kuna Muungano wa serikali mbili kwa nchi mbili {Tanzania bara (Tanganyika) ile ya Muungano na Zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa ambayo ina bendera yake (sina uhakika kuhusu wimbo wa Taifa). Kwa mantiki hiyo ili kuwe na usawa ndani ya Muungano serikali mbili haziepukiki.Jamani mnaozunguzia kuuvunja muungano nyinyi mlikuwepo kipindi nyerere na karume walivyoziunganisha hizo nchi mbili? Naamini kutokana na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu. Ukiona mambo yanazungumziwa saana ujue zaidi ni tamaa ya madaraka
Vuta shuka ulale, watu tunataka TANGANYIKA YETU