Hali ni mbaya, mafuta ya upako yataniua

Kumbe mafuta ya mwamposa ni zaidi ya vumbi la congo.
Yaanze kuuza kwenye maduka ya madawa sasa.
 
Jamani hata salamu ni kama nachelewa mimi bwana nilipanga niache kabisa kujichukulia sheria mkononi

Ila bwana kuna ndugu yangu alinipatia mafuta hayo ya upako sasa aiseee nilikua naendaga bao moja kwa wiki ila speed imeongezeka kila nikianza namaliza mbili au tatu (yaani nimeziunganisha hapohapo) nilikua na chart zangu zinazonisaidia kujipamoyo ila now zinashuka msaaada huyu buldoz ataniua aisee
Chats sio charts
 
Jamani hata salamu ni kama nachelewa mimi bwana nilipanga niache kabisa kujichukulia sheria mkononi

Ila bwana kuna ndugu yangu alinipatia mafuta hayo ya upako sasa aiseee nilikua naendaga bao moja kwa wiki ila speed imeongezeka kila nikianza namaliza mbili au tatu (yaani nimeziunganisha hapohapo) nilikua na chart zangu zinazonisaidia kujipamoyo ila now zinashuka msaaada huyu buldoz ataniua aisee
Yale ni kama umeme ulikatika unaunga chapu! Achana na ile wewe!
 
Jamani hata salamu ni kama nachelewa mimi bwana nilipanga niache kabisa kujichukulia sheria mkononi

Ila bwana kuna ndugu yangu alinipatia mafuta hayo ya upako sasa aiseee nilikua naendaga bao moja kwa wiki ila speed imeongezeka kila nikianza namaliza mbili au tatu (yaani nimeziunganisha hapohapo) nilikua na chart zangu zinazonisaidia kujipamoyo ila now zinashuka msaaada huyu buldoz ataniua aisee
Matumizi mabaya ya mafuta ya upako
 
Jamani hata salamu ni kama nachelewa mimi bwana nilipanga niache kabisa kujichukulia sheria mkononi

Ila bwana kuna ndugu yangu alinipatia mafuta hayo ya upako sasa aiseee nilikua naendaga bao moja kwa wiki ila speed imeongezeka kila nikianza namaliza mbili au tatu (yaani nimeziunganisha hapohapo) nilikua na chart zangu zinazonisaidia kujipamoyo ila now zinashuka msaaada huyu buldoz ataniua aisee
Una uhakika hauugui kichaa?
 
Back
Top Bottom