Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,824
- 22,205
Tunatakiwa tuseme vyuma vimelegea
Kacheze singeli ya bavicha magoti na waambie wakupe mataputapu ulewe usahau shida zako kama bavicha magoti wafanya vyo
Batakazi siju kazibata crazy psychopaths
Kama kawa wasiawasi wangu je jiwe ambae ni m/kiti wa kijani atqkubali kukaa pembeni wakt yyy ndio ameshika mwenye mpini.2020 twende na Membe
Ndiyoooooo hilo sio swali na jibu pigia mstari kabisa.........................Yeye ndo Chanzo cha Hali Ngumu?
Wapi frem ziko empty natafuta frem nzuri nifungue barbashopHali mbaya sana kitaa,biashara haziendi mkuu,fremu zipo empty kama zote.
Hizo ni za nini mkuuWe 7000 kwako umerizika!
Ova
Wapi frem ziko empty natafuta frem nzuri nifungue barbashop
Si bora wachukue bandari,Wachina nao hawakawii kuchukua bandari[emoji23]
Mbona umeandika ungese* hivi, unajielewa kweli wewe?Kacheze singeli ya bavicha magoti na waambie wakupe mataputapu ulewe usahau shida zako kama bavicha magoti wafanya vyo
Batakazi siju kazibata crazy psychopaths
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Si bora wachukue bandari,
Wasije tu wakatuoa nchi nzima!
are ypu still supporting this Man?let the tornado blow over us, the puzzle is getting tougher everyday, there is high rate of disillussionment!!