Hali ngumu sana huku mtaani jamani

Hali ngumu sana huku mtaani jamani

let the tornado blow over us, the puzzle is getting tougher everyday, there is high rate of disillussionment!!
 
Kacheze singeli ya bavicha magoti na waambie wakupe mataputapu ulewe usahau shida zako kama bavicha magoti wafanya vyo
Batakazi siju kazibata crazy psychopaths
 
Yeye ndo Chanzo cha Hali Ngumu?
Watu wote Mnaokula nyumbani kwenu na msiopenda kujishughulisha na kujua ugumu wa kutafuta mwenyewe ndio huliza maswali kama haya
Kiufupi Magufuli ndio chanzo kikuu cha hali ngumu Tanzania
Ukitaka kujua hilo tafakari kwann anapenda kuombewa sana Anajua Zambi anazo tenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom