Hali mbaya ya hewa Zanzibar

Siwapendi wazenji kuliko hata muuaji wa albino! Let them die

wewe ni binadamu kweli? kumbuka huko zenji hawakai wazanzibari peke yao kuna wabara pia, na wengine wa mataifa mbalimbali. una roho ya kishetani..loh
 
Siwapendi wazenji kuliko hata muuaji wa albino! Let them die

mmmmhhh! pole mkuu, utakufa na rohombaya yako. Yesu wa nazareti atakulaani na roho yako ya korosho. Ushindwe na ulegee.
 
Hali ya Bahari ya hindi,Nungwi Huko Zanzibar ni tete kuna
mawimbi makali yanayo semekana ni Tornado's....
Tunaendelea fuatilia taarifa kamili inakuja


asante premium. Nafikiri umefanya vema sana kwanza kutujulisha habari hii nyeti japo kuna member anataka uipeleke destnation nyingine. Ucjali hata kwenye jukwaa la siasa kuna wakati tunapaswa kujadili mambo mengine yahusuyo welfare ya watu. You cant separate human welfares na siasa vyote vinaendana. Wapemba wekeni tayari nyenzo za kujiokolea iwapo hali itakwa ngum
 
mmmmhhh! pole mkuu, utakufa na rohombaya yako. Yesu wa nazareti atakulaani na roho yako ya korosho.
We mnyisanzu we home wapi? Maana hiyo roho tofauti hata mila za kabila hilo
 
mmmmhhh! pole mkuu, utakufa na rohombaya yako. Yesu wa nazareti atakulaani na roho yako ya korosho. Ushindwe na ulegee.
Wewe ndio ushindwe kwa jina la Yesu. Nawachukia kupita kiasi.:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
 
Kule kwetu tunaita hiyo kitu "NSOKE"
na dawa ya kuundoa ni ndogo sana!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…