Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Hicho kitu hakiwezekani ni scene tu za kutengeneza.
Labda jiuliZe tu kama ni kweli wamedondoka mama mvua ni kwanini wapo barabarani pekee kwanini wasinge tapakaa kote???
So ni wazi kuwa hilo ni gari limepita na kuwaga hao samaki “kiki” tu kulamba maboya
Labda jiuliZe tu kama ni kweli wamedondoka mama mvua ni kwanini wapo barabarani pekee kwanini wasinge tapakaa kote???
So ni wazi kuwa hilo ni gari limepita na kuwaga hao samaki “kiki” tu kulamba maboya