Hali ilivyokuwa Kenya leo

Hali ilivyokuwa Kenya leo

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
2013-09-22T053920Z_1032655582_GM1E99M11T301_RTRMADP_3_KENYA-ATTACK.JPG
3aef6ee2-6abc-4b6b-b5cb-71b2d44a1d8d_h_51009269.jpg
cc73eb4f-8c1a-485f-9aa8-35b21c49e5ac_h_51009085.jpg
 
Tanzania tunapaswa kuwa makini sana, kwani tukio kama hili linaweza kutupata pia. N a hii operation KIMBUGA sidhani kama hao waathirika kama wanaridhika nayo. Wanaweza jikusanya na kutufanyia ambush.
 
Citizen Television wako live kwenye eneo la tukio masaa 24.Nimependa covarage ya Citizen Tv...
 
Tanzania tunapaswa kuwa makini sana, kwani tukio kama hili linaweza kutupata pia. N a hii operation KIMBUGA sidhani kama hao waathirika kama wanaridhika nayo. Wanaweza jikusanya na kutufanyia ambush.

Mara zote tahadhari ni muhimu, ila watakaothubutu kuja kufanya upuuzi kama huo hapa kwetu we shall set an example for the world to see. Chezea kitu kingine sio maisha ya mwana wa nchi hii much less by a foreigner.
 
hostage situations kama hizi hata nchi za magharibi wanaishia kuchemsha sababu sababu watekaji wanajua "fate" yao ni kifo kwa hiyo they don't play fair,inahitajibest snipers na idadi yao iwe sawa na watekaji,shooting iwe ni kwa wakati mmoja sababu tofauti ya hapo hostage takers start to execute hostages and throw them out of the building just to make a statement,.this is crazy hostage taking,no demands,no ransom whatsoever..stupid somalis
 
jeshi zima vs watu kumi,kenya baado saaaana
msichukulie mambo kirahisi hivyo, kumbukeni kuna watu wametekwa wapo ndani ya hilo jengo. Hata kama jeshi lingekuwa na uwezo bado inakuwa vigumu kuwatoa sadaka hao waliotekwa.
 
Back
Top Bottom