Hali ilivyokuwa Kenya leo

Hali ilivyokuwa Kenya leo

Nyie hamjui maana ya uokoaji hasa inapofika wakati ambao wahalifu wamechangama na wasio waharifu. Lazima uwe makini la sivyo hata hao 1000 waliookolewa wangekufa kama wangetumia nguvu. Kupiga hilo jengo kw bomu na kulisambaratisha c ishu ishue hapa ni upembuzi nani afe naniabaki. Endelee kuwaombea tu yataisha
 
Jeshi la Marekani vs Osama mbona ilichuka mda gani?
Osama hakua peke yake, Osama hakulipua Twin Towers mwenyewe, yeye alikua kiongozi wa Alqaida, marekani ilikua vitani na watu wengi ambao walikua wakimsikiliza Osama kama kiongozi wao, tuachane na hayo, bado jamaa zetu wapo weak hapo hakuna ubishi..siku ya tatu leo..itaendelea mpaka lini?? mwezi mzima??
 
msichukulie mambo kirahisi hivyo, kumbukeni kuna watu wametekwa wapo ndani ya hilo jengo. Hata kama jeshi lingekuwa na uwezo bado inakuwa vigumu kuwatoa sadaka hao waliotekwa.


Kwani kukubali kuwa majeshi yetu uwezo wa hili ni mdogo unapungukiwa nini???!!
 
acha utoto wewe.
kwa iyo jeshi liue tu bila kujali hostages waliopo ndani??
tumia akili.


Ukitumia akili ndio utajua kuwa kweli uwezo wa vyombo vyetu kwenye hii situation ni mdogo ni kwa kuukubali ukweli huu na kuusema kwa umoja wetu kuwa serikali zetu sisi haturidhishwi na uwezo huu wa kusumbuliwa na watu handfully!!!!!!
 
Tatizo mateka, hivo jeshi haliwezi kutumia nguvu za ziada. Jeshi lina uwezo la kusambaritisha jengo zima.


Nguvu ni pamoja na kudhibiti hali within a short time!!!!!!!
Kusambaratisha jengo hata machalii wa mererani ukiwaruhusu hapo utakuta vumbi tu
 
jeshi zima vs watu kumi,kenya baado saaaana

mkuu kama hujui masuala protection & rescue usiseme kitu mtu anapokuwa ametekwa lazma utumie akili ya hali ya juu sana ukijaribu kwenda pupa unawezakujikuta mateka wote wanauwawa................kinachofanyka nikuokoa maisha ya mateka na kuwakamata watekaji
 
Ukitumia akili ndio utajua kuwa kweli uwezo wa vyombo vyetu kwenye hii situation ni mdogo ni kwa kuukubali ukweli huu na kuusema kwa umoja wetu kuwa serikali zetu sisi haturidhishwi na uwezo huu wa kusumbuliwa na watu handfully!!!!!!

ukifikiria kwa undan utajua jins gan watz wanalalamika bila kuelewa hali ya mambo hebu rud nyuma kile kikundi cha SWAT cha ufaransa kiliwachukua mda gan kumtia nguvun yule gaid alijifungia ndan ya jengo?
 
mkuu kama hujui masuala protection & rescue usiseme kitu mtu anapokuwa ametekwa lazma utumie akili ya hali ya juu sana ukijaribu kwenda pupa unawezakujikuta mateka wote wanauwawa................kinachofanyka nikuokoa maisha ya mateka na kuwakamata watekaji

Tukubali tu kuwa uwezo ni mdogo.......! Siku tatu watekaji bado wanakunywa chai
 
Sasa solution itakuwaje hapo? Ukizingatia ndani ya hilo jengo kuna raia kibao wametekwa na hao jamaa.tuombe mungu tu awasaidie ndugu zetu wawaokoe wapendwa wao wakiwa salama salmin kwani inshu ni ngumu mno.
 
Capt Tamar ndiyo wale watu wanaolaumu serikali kwa kila kitu na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwenye matatizo wa watu wengine. Yaani hapo ameshawaza Kichadema jamani. Mimi nakubaliana na Daudi Mchambuzi, kumbuka watekaji hawana cha kupoteza alafu hawasemi wanachotaka kama tulivyozoea wanavyosema wanataka kiasi fulani cha fedha ama kitu kingine.

Mimi naisifu sana serikali na watu wa Kenya wamechukulia tatizo hilo kama tatizo la taifa siyo la serikali au chama fulani, rudia kusoma speech ya Raila Odinga jana. Sisi ungesikia Slaa anasema hawa ni CCM na wanajaribu kupoteza malengo na ICC, au Polisi ccm wametumwa kuiba kwaajili ya wakubwa. mara mall ni ya Rizone mara lile aani kimbeambea kisiasasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nawapa pole sana wananchi wakenya na wale wa mataifa mengine waliokumbwa na tatizo hili kwa namna moja ama nyingine wapo waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki, wapo waliojeruhiwa, wapo waliopata athari za kisaikolojia nk. Cha msingi ni kikosi maalumu kijipange kiwazuge maadui kwa stlye ya kuweka kambi na kuwaomba wawaachie mateka wawaahidi fedha nyingi kana kwamba zinatoka kwa ndugu wa mateka. Wakati jamaa wakijihami na kujadili kukubali kuchukua rushwa vijana makomandoo waingie kati na kuwamaliza jamaa kwa kuwapulizia dawa ya usingizi. Hii ndiyo style waliofanya warusi wachechnya walipoteka shule.
 
ukifikiria kwa undan utajua jins gan watz wanalalamika bila kuelewa hali ya mambo hebu rud nyuma kile kikundi cha SWAT cha ufaransa kiliwachukua mda gan kumtia nguvun yule gaid alijifungia ndan ya jengo?

Ok hapo ndo pazuri sasa tukio gani la kigaid la utekaji lilichukua muda mfupi zaid as unapotaka kuongelea limits lazima uwe na upper and lower
 
Capt Tamar ndiyo wale watu wanaolaumu serikali kwa kila kitu na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwenye matatizo wa watu wengine. Yaani hapo ameshawaza Kichadema jamani. Mimi nakubaliana na Daudi Mchambuzi, kumbuka watekaji hawana cha kupoteza alafu hawasemi wanachotaka kama tulivyozoea wanavyosema wanataka kiasi fulani cha fedha ama kitu kingine.

Mimi naisifu sana serikali na watu wa Kenya wamechukulia tatizo hilo kama tatizo la taifa siyo la serikali au chama fulani, rudia kusoma speech ya Raila Odinga jana. Sisi ungesikia Slaa anasema hawa ni CCM na wanajaribu kupoteza malengo na ICC, au Polisi ccm wametumwa kuiba kwaajili ya wakubwa. mara mall ni ya Rizone mara lile aani kimbeambea kisiasasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nawapa pole sana wananchi wakenya na wale wa mataifa mengine waliokumbwa na tatizo hili kwa namna moja ama nyingine wapo waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki, wapo waliojeruhiwa, wapo waliopata athari za kisaikolojia nk. Cha msingi ni kikosi maalumu kijipange kiwazuge maadui kwa stlye ya kuweka kambi na kuwaomba wawaachie mateka wawaahidi fedha nyingi kana kwamba zinatoka kwa ndugu wa mateka. Wakati jamaa wakijihami na kujadili kukubali kuchukua rushwa vijana makomandoo waingie kati na kuwamaliza jamaa kwa kuwapulizia dawa ya usingizi. Hii ndiyo style waliofanya warusi wachechnya walipoteka shule.

Hivi tulikuwa tunazungumzia nini? kweli great thinker wengi mmekuwa waleggevu kwenye mishipa ya akili,mimi nimeweka sentensi moja tu isiyo na maana yoyote!!ila ime daka attention ya wachangiaji weeengi! Na kila mmoja kujifanya mtaalamu wa masuala ya uokoaji, kumbe labda mimi naweza kuwa najua kuliko wengi wenu.
 
Capt Tamar ndiyo wale watu wanaolaumu serikali kwa kila kitu na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwenye matatizo wa watu wengine. Yaani hapo ameshawaza Kichadema jamani. Mimi nakubaliana na Daudi Mchambuzi, kumbuka watekaji hawana cha kupoteza alafu hawasemi wanachotaka kama tulivyozoea wanavyosema wanataka kiasi fulani cha fedha ama kitu kingine.

Mimi naisifu sana serikali na watu wa Kenya wamechukulia tatizo hilo kama tatizo la taifa siyo la serikali au chama fulani, rudia kusoma speech ya Raila Odinga jana. Sisi ungesikia Slaa anasema hawa ni CCM na wanajaribu kupoteza malengo na ICC, au Polisi ccm wametumwa kuiba kwaajili ya wakubwa. mara mall ni ya Rizone mara lile aani kimbeambea kisiasasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nawapa pole sana wananchi wakenya na wale wa mataifa mengine waliokumbwa na tatizo hili kwa namna moja ama nyingine wapo waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki, wapo waliojeruhiwa, wapo waliopata athari za kisaikolojia nk. Cha msingi ni kikosi maalumu kijipange kiwazuge maadui kwa stlye ya kuweka kambi na kuwaomba wawaachie mateka wawaahidi fedha nyingi kana kwamba zinatoka kwa ndugu wa mateka. Wakati jamaa wakijihami na kujadili kukubali kuchukua rushwa vijana makomandoo waingie kati na kuwamaliza jamaa kwa kuwapulizia dawa ya usingizi. Hii ndiyo style waliofanya warusi wachechnya walipoteka shule.


Kwa hiyo ni kuwa unakubali kuwa uwezo bado!!!! Au Russia umeitumia kama nini hapa???!!
 
Heaven on earth TBC wanakopi vipindi kama vya chereko chereko.


CITICEN TV wako kamili sana hawa jamaa. Mimi kuna watangaji wao wawili wananivutia sana katika utangazaji wao. Kuna mmoja msomali anaitwa Mohamed Hussein na mwingine mara nyingi huwa studio. Hata leo hii alikuwa studio kuanzia asubuhi ila jina limenitoka. Yaani TBC imejaa mamluki hawawezi kufanya kazi iliyo bora.
 
Mara zote tahadhari ni muhimu, ila watakaothubutu kuja kufanya upuuzi kama huo hapa kwetu we shall set an example for the world to see. Chezea kitu kingine sio maisha ya mwana wa nchi hii much less by a foreigner.
Well said!
 
Back
Top Bottom