Hali ilivyokuwa Kenya leo

Hali ilivyokuwa Kenya leo

Capt Tamar ndiyo wale watu wanaolaumu serikali kwa kila kitu na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwenye matatizo wa watu wengine. Yaani hapo ameshawaza Kichadema jamani. Mimi nakubaliana na Daudi Mchambuzi, kumbuka watekaji hawana cha kupoteza alafu hawasemi wanachotaka kama tulivyozoea wanavyosema wanataka kiasi fulani cha fedha ama kitu kingine.

Mimi naisifu sana serikali na watu wa Kenya wamechukulia tatizo hilo kama tatizo la taifa siyo la serikali au chama fulani, rudia kusoma speech ya Raila Odinga jana. Sisi ungesikia Slaa anasema hawa ni CCM na wanajaribu kupoteza malengo na ICC, au Polisi ccm wametumwa kuiba kwaajili ya wakubwa. mara mall ni ya Rizone mara lile aani kimbeambea kisiasasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nawapa pole sana wananchi wakenya na wale wa mataifa mengine waliokumbwa na tatizo hili kwa namna moja ama nyingine wapo waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki, wapo waliojeruhiwa, wapo waliopata athari za kisaikolojia nk. Cha msingi ni kikosi maalumu kijipange kiwazuge maadui kwa stlye ya kuweka kambi na kuwaomba wawaachie mateka wawaahidi fedha nyingi kana kwamba zinatoka kwa ndugu wa mateka. Wakati jamaa wakijihami na kujadili kukubali kuchukua rushwa vijana makomandoo waingie kati na kuwamaliza jamaa kwa kuwapulizia dawa ya usingizi. Hii ndiyo style waliofanya warusi wachechnya walipoteka shule.

mkuu umeongea point na unafikir kwa undan zaid.........yaan kuna watu humu thnking capacity yao ni ndogo mno kaz yao ni kutoa lawama za kisiasa tu... Askar yeyote anapoteleza kaz yake na hasa uokoaji lazma atangulize nidham na high que wakat huo uhadar ukiwa nyuma wengne kaen kmya wanaume wanapofanya kaz
 
Very Sad !! mda mwengine kimbelemmbele na ufedhuli husababisha balaa na majanga ona sasa! Poleni wandugu wa Kenya. Yaani siku tatu (zaidi ya masaa 70) bado kasheshe na mapambano kati ya jeshi na hao watoto ! Nasikia Huzuni tokeo hili ni la majirani wawili kwani hivi VISASI haviishi yaani Visasi vyao vitaendelea hadi lini? Ohh My God....
 
Hadi sasa wamefaliki watu 69 na wengne 170 kujeruriwa BBC news said, jeshi la kenya linapalangana kuingia ndan kusaidia mateka. Nasie watanzania tuwe alert.
 
Mkuu Olesaidimu na capt tamar uokoaji hauko kama nyie mnavyofikir na ukumbuke wale watekaji wamevaa mavaz yakawaida sio sare wakat huo wamejichanganya na mateka kwahyo jeshi likitumia nguvu nyng kama mnavyotaka nyie watawapoteza mateka wote. Usifkir kila sehem nikutumia nguvu.......tatzo lenu kila kitu mnawa uchadema na uccm.
 
Mara zote tahadhari ni muhimu, ila watakaothubutu kuja kufanya upuuzi kama huo hapa kwetu we shall set an example for the world to see. Chezea kitu kingine sio maisha ya mwana wa nchi hii much less by a foreigner.

Mkuu nina uhakika huwezi kuthibitisha ulichoandika hapo juu labda kama unatania!! Serikali hii hii ya Kikwete na askari hawa hawa akina KOVA, MWEMA na wenzake??
 
Back
Top Bottom