Unavyohangaika mpaka nakuonea hurumaMbowe aache usanii, huu ni zaidi ya upuuzi
Kwa hiyo nyie wanaCCM mmelewa mchezo siyo? Basi sawaCcm ni nawakubali na wataendelea kukaa madarakani milele. Mi sielewi kwamba viongozi wa upinzani nao wanatekeleza mikakati ya Ccm au nao hawaelewi plan za Ccm. Hapa Ccm wamepiga bao ni wachache sana wataelewa huu mchezo
Huwa unatapatapa mpaka unatia kinyaaEti watu ambao hawana hata kitanda cha kulalia wanaenda kumchukulia Bilionea Mbowe fomu ya unyekiti inayouzwa milioni moja!
Unakuta huyo anayeongea dining room yake iko kwa mama lishe (Mama nitilie)!
Hii nchi ina ujinga, Usanii na vituko vya kitoto sana!
Tuna Imani atakubali wito wa vijana#Mbowe tena na wavimbe wapasuke..DADEKI
#MWAMBA TUVUSHE
Mimi ndo huwa nachukia siasa za tanzania.au za afrika zina upuuzi mwingi sana kuliko akili.
Mbowe kwani hataki uenyekiti? Kama hataki mnamchukulia ili iweje?akija sema hakupenda mlimsukumia tu akajikuta ni mwenyekiti?
Kama ana taka si aende kwa uwazi tu akachukue?
Waangalie hawa vijana kwa umakini miezi kadhaa ijayo watakuja hapa na pale kumnanga mbowe kwa maneno ya kebehi huku wakiunga mkono juhudi.
Badala ya kuchangishana pesa za kusaidia wenye wagonjwa na maradhi wanachangishana kwa mambo ya hovyo.subirini si si nyingi sana.
Hapo harudi tena? Ha Ha Haakwanini isiwe uenyekiti wa milele wa ccm ?
Kwa wewe ulie mwaka wa kwanza Udom huwezi jua mchezo gani umechezwa na si mara ya kwanza michezo ya namna hii kuchezwa na CcmKwa hiyo nyie wanaCCM mmelewa mchezo siyo? Basi sawa
Pilipili usiyoila yakuwashia nini?Mi hizi sarakasi nilizing'amua mapema, uchaguzi ujao wataenda wamama wajawazito kumchukulia formUchaguzi ujao wa Mwenyekiti CHADEMA, Mbowe atakuja na sarakasi ipi?
Habari ndugu wanajamvi, Nchi yetu ni miongoni mwa nchi kadhaa duniani zinazoongozwa kwa misingi ya kidemokrasia. Vyama vyote vya siasa vinafanya chaguzi za kidemokrasia ili kuwapata viongozi wao wa ngazi mbalimbali. Lakini bado kuna malalamiko kwa baadhi ya watu wakidai kwamba baadhi ya...www.jamiiforums.com
Atafanya vibaya sana asipowakubalia vijanaMkuu Mbowe usiwaangushe hawa vijana , hebu wakubalie ombi lao
MwanaLumumba utamfundisha nani?Kwa wewe ulie mwaka wa kwanza Udom huwezi jua mchezo gani umechezwa na si mara ya kwanza michezo ya namna hii kuchezwa na Ccm
Huwezi kufahamu kama wewe si mwanachamaNi kitu gani ambacho Mbowe amenyunyuzia hawa wanachama wenzake wa CHADEMA kila siku wanamtaka yeye tu?
Pole sanaHata yule mkurugenzi wa ile coperative bank alikuwa awalipa baadhi ya shareholders ili wamlilie kuwa anafaa kuendelea kuwa CEO, hivyo hiyo michezo ya watu wa huko tulisha izoea
Mi siwashwi na chochote ila nasikitishwa kuona kwamba vijana wa Tanzania wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo bila kujali viwango vyao vya elimu. Yaani hakuna tofauti ya msomi na asiesoma kama mimiPilipili usiyoila yakuwashia nini?
FoolishNi nderemo. Ndivyo tunavyoweza kusema wakati makundi ya vijana yalivyofurika makao makuu ya CHADEMA kumchukulia fomu Mwenyekiti anayemaliza muda waje Freeman Mbowe ili agombee tena nafasi hiyo.
Mratibu wa zoezi la kuchangia kumchukulia fomu Mbowe Bwana Daniel Naftali Ngogo amesema pesa zimetumwa nyingi kupita kiasi na lengo la shilingi milioni 1 limevuka kwa mbali.Mpaka leo kabla ya kuchukua fomu zimechangwa shilingi milioni 5 na laki 6 Taslimu.Ngogo amesema katika orodha ya michango kiasi cha chini kilichotumwa ni shilingi 150 na kiwango cha juu ni shilingi laki 2
Tazama video chini jinsi ilivyokuwa
View attachment 1272250
View attachment 1272251
No matter what brother, it is my right to question your move.Huwezi kufahamu kama wewe si mwanachama