Hali ilivyokuwa katika Jiji la Dar wakati vijana CHADEMA wakimchukulia fomu Mbowe

Ccm ni nawakubali na wataendelea kukaa madarakani milele. Mi sielewi kwamba viongozi wa upinzani nao wanatekeleza mikakati ya Ccm au nao hawaelewi plan za Ccm. Hapa Ccm wamepiga bao ni wachache sana wataelewa huu mchezo
 
Ccm ni nawakubali na wataendelea kukaa madarakani milele. Mi sielewi kwamba viongozi wa upinzani nao wanatekeleza mikakati ya Ccm au nao hawaelewi plan za Ccm. Hapa Ccm wamepiga bao ni wachache sana wataelewa huu mchezo
Kwa hiyo nyie wanaCCM mmelewa mchezo siyo? Basi sawa
 
Huwa unatapatapa mpaka unatia kinyaa
 
Mi hizi sarakasi nilizing'amua mapema, uchaguzi ujao wataenda wamama wajawazito kumchukulia form
 
Ni kitu gani ambacho Mbowe amenyunyuzia hawa wanachama wenzake wa CHADEMA kila siku wanamtaka yeye tu?
 
Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
 
Hata yule mkurugenzi wa ile coperative bank alikuwa awalipa baadhi ya shareholders ili wamlilie kuwa anafaa kuendelea kuwa CEO, hivyo hiyo michezo ya watu wa huko tulisha izoea
Pole sana
 
Nakumbuka wakati Makundi ya watu walipokua wanaenda kumuomba Lowasa agombee nikacheka Sana.
Mimi siafiki kiongozi yeyote kukaa muda mrefu madarakani kwasababu yoyote ile.
Sidhani Kama nchi au chama kinaweza kuwa na mtu mmoja tu anaeweza kuongoza..
 
Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Mi siwashwi na chochote ila nasikitishwa kuona kwamba vijana wa Tanzania wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo bila kujali viwango vyao vya elimu. Yaani hakuna tofauti ya msomi na asiesoma kama mimi
 
Foolish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…