Uchaguzi ujao wa Mwenyekiti CHADEMA, Mbowe atakuja na sarakasi ipi?

Uta Uta

JF-Expert Member
Feb 2, 2016
3,687
8,601
Habari ndugu wanajamvi,

Nchi yetu ni miongoni mwa nchi kadhaa duniani zinazoongozwa kwa misingi ya kidemokrasia.

Vyama vyote vya siasa vinafanya chaguzi za kidemokrasia ili kuwapata viongozi wao wa ngazi mbalimbali.

Lakini bado kuna malalamiko kwa baadhi ya watu wakidai kwamba baadhi ya vyama havifuati misingi ya kidemokrasia, kwa mfano baadhi ya vyama vya siasa wenyeviti ni hao hao tangu mm sijazaliwa mpaka leo nimekuwa na nina uwezo wa kugegeda.

Wenyeviti hao wanadai kwamba wanakubalika ndani ya vyama wakati si kweli ila wamehodhi madaraka hayo kwa ghirba.

Kwa mfano katka uchaguzi uliopita kamanda Mbowe aliitangazia dunia kuwa hatagombea tena.

Punde tu wakaibuka wazee kutoka Kigoma wakafika Dsm kwa miguu kuja kumuomba kamanda Mbowe agombee.

Mbowe nae bila soni wala aibu akasimama akidai, kwa kuwa nimeombwa na wazee basi ntagombea sina namna.

Sasa hoja ni kwamba kwakuwa mwanzo aliombwa na wazee kutoka Kigoma, je uchaguzi unaoukuja ataombwa na wazee kutoka Mtwara? Au ataombwa na akina Mama kutoka mbeya?

Nimejaribu kujiuliza sikupata majibu. Hivyo nimeona niilete hoja ( pumba) hii jamvini kwa kadri tuwezavyo.

Naomba maoni yenu, pia wale wenzangu na mimi karibuni kwa matusi pia.
 
Kwa nini tujadili hoja ambayo haina tija wakati taifa linakabiliwa na njaa? Kwa nini tusijadili na kuishauri serikali namna gani ya kukabiliana na baa hili kubwa la njaa? Kwa mawazo yangu mimi tusimamishe ujenzi wa uwanja wa ndege Chato na ununuzi wa Bombardier tupambane na njaa mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri. Naomba kila mmoja afikirie taifa kwanza badala ya kuwaza mambo ya Mbowe wakati wote!
 
Kwa nini tujadili hoja ambayo haina tija wakati taifa linakabiliwa na njaa? Kwa nini tusijadili na kuishauri serikali namna gani ya kukabiliana na baa hili kubwa la njaa? Kwa mawazo yangu mimi tusimamishe ujenzi wa uwanja wa ndege Chato na ununuzi wa Bombardier tupambane na njaa mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri. Naomba kila mmoja afikirie taifa kwanza badala ya kuwaza mambo ya Mbowe wakati wote!

Ndio kazi yao,bila ya kumtaja Mbowe,Lowasa hawalipwi.
 
Kwa nini tujadili hoja ambayo haina tija wakati taifa linakabiliwa na njaa? Kwa nini tusijadili na kuishauri serikali namna gani ya kukabiliana na baa hili kubwa la njaa? Kwa mawazo yangu mimi tusimamishe ujenzi wa uwanja wa ndege Chato na ununuzi wa Bombardier tupambane na njaa mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri. Naomba kila mmoja afikirie taifa kwanza badala ya kuwaza mambo ya Mbowe wakati wote!
Mbowe anapesa zetu azirudishe za twiga bank, nhc, Hai D/C, TRA kilimanjaro
 
Safar
Mbowe ni mwenyekiti wa maisha chadema.Ole wake atakaejaribu kumpinga
Safari hii hakutaka kugombea, wazee wa Kigoma tu ndio wamemuomba. Ila alikuwa na mpango wa kuachia ngazi
 
Kwa nini tujadili hoja ambayo haina tija wakati taifa linakabiliwa na njaa? Kwa nini tusijadili na kuishauri serikali namna gani ya kukabiliana na baa hili kubwa la njaa? Kwa mawazo yangu mimi tusimamishe ujenzi wa uwanja wa ndege Chato na ununuzi wa Bombardier tupambane na njaa mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri. Naomba kila mmoja afikirie taifa kwanza badala ya kuwaza mambo ya Mbowe wakati wote!








Mbona msimsaidie mbowe alipe madeni pesa zipatikane .
 
Habari ndugu wanajamvi,

Nchi yetu ni miongoni mwa nchi kadhaa duniani zinazoongozwa kwa misingi ya kidemokrasia.

Vyama vyote vya siasa vinafanya chaguzi za kidemokrasia ili kuwapata viongozi wao wa ngazi mbalimbali.

Lakini bado kuna malalamiko kwa baadhi ya watu wakidai kwamba baadhi ya vyama havifuati misingi ya kidemokrasia, kwa mfano baadhi ya vyama vya siasa wenyeviti ni hao hao tangu mm sijazaliwa mpaka leo nimekuwa na nina uwezo wa kugegeda.

Wenyeviti hao wanadai kwamba wanakubalika ndani ya vyama wakati si kweli ila wamehodhi madaraka hayo kwa ghirba.

Kwa mfano katka uchaguzi uliopita kamanda Mbowe aliitangazia dunia kuwa hatagombea tena.

Punde tu wakaibuka wazee kutoka Kigoma wakafika Dsm kwa miguu kuja kumuomba kamanda Mbowe agombee.

Mbowe nae bila soni wala aibu akasimama akidai, kwa kuwa nimeombwa na wazee basi ntagombea sina namna.

Sasa hoja ni kwamba kwakuwa mwanzo aliombwa na wazee kutoka Kigoma, je uchaguzi unaoukuja ataombwa na wazee kutoka Mtwara? Au ataombwa na akina Mama kutoka mbeya?

Nimejaribu kujiuliza sikupata majibu. Hivyo nimeona niilete hoja ( pumba) hii jamvini kwa kadri tuwezavyo.

Naomba maoni yenu, pia wale wenzangu na mimi karibuni kwa matusi pia.
Demokrasia aina ya watawala wa maziwa makuu; mwenye phd anavutiwa na demokrasia ya kati ya watawala 10 wasio na elimu
 
Safar

Safari hii hakutaka kugombea, wazee wa Kigoma tu ndio wamemuomba. Ila alikuwa na mpango wa kuachia ngazi
tukisema ile ilikuwa janja ya nyani mtabisha?wahenga walisema "ndege wenye mabawa yafananayo ndio huruka pamoja",, mwenzake wakati yupo chama dume alikodi mabasi kusafirisha wanafunzi na viongozi wa dini eti kumuomba agombee",,kwa kipi cha zaidi sasa?
 
Mbowe tunampendaa sababii bei yake maccm hamuiweziii ndomaanaa mnatajaa achomokee,,, njooo na vbarakaa wenuu kama ripumbaa muonee kamaa atapataa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom