Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
Ndo maana mmeachiwa mjitangazie ushindi tatizo lenu ni nini hasa?
 
Tatueni tatizo ni kwanini watu wamegoma kujiandikisha
 
Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
Kama ni hivyo basi nina imani misururu itakuwa mirefu sana Dar ya kujiandikisha ili kumwonesha tais kipenzi jinsi wanavyomuunga mkono.
 
Na amehaidi atawashughilikia wale wote (viongozi) ambao maeneo wanao yaongoza mwamko wa wapiga kura utakuwa mdogo[emoji1787][emoji1787]
Hawa ni wapumbavu eti kubwa la majinga anaona tatizo lipo kwa wakuu wa mikoa, umeona jinsi nchi ilivyopata kiongozi wa hovyo?
 
Shauri zako usije kushangaa ukanikuta nakulipa mshahara
Kuna mwingine kaja siku 3 zilizopita eti anakopa sh 4m, amekwama kabisa. Mara ya kwanza nilimsaidia laki 5, sikuwa namfahamu. Siku moja naangalia kwenye avatar yake ya whatsap nikakuta jembe na nyundo. Nilipowauliza marafiki zake wa karibu wakaniambia kuwa ni mfia chama na mkuu wa malaika. Nikamsikitikia sana.

Alivyokuja na ombi la mkopo wa sh 4m, jibu lilikuwa rahisi. Kama unavyojua, mambo ni magumu. Akatoka ametepeta.
 
Kuna mwingine kaja siku 3 zilizopita eti anakopa sh 4m, amekwama kabisa. Mara ya kwanza nilimsaidia laki 5, sikuwa namfahamu. Siku moja naangalia kwenye avatar yake ya whatsap nikakuta jembe na nyundo. Nilipowauliza marafiki zake wa karibu wakaniambia kuwa ni mfia chama na mkuu wa malaika. Nikamsikitikia sana.

Alivyokuja na ombi la mkopo wa sh 4m, jibu lilikuwa rahisi. Kama unavyojua, mambo ni magumu. Akatoka ametepeta.
Hahahahah mimi nili stop kumlipia bili ya matibabu nilipokuja kubaini kuwa kumbe ni CCM damu, ni bora nisaidie nyoka mnyama kuliko Binadamu CCM
 
Kama ni hivyo basi nina imani misururu itakuwa mirefu sana Dar ya kujiandikisha ili kumwonesha tais kipenzi jinsi wanavyomuunga mkono.
Kwa nini wasema Dar? Kwa nini husemi dodoma?
 
hoja kubwa bungeni nyakati zile ilikuwa UFISADI NA UHUJUMU UCHUMI hayo yote awamu ya tano imeenda nayo vizuri sana ingawa namlaumu sana Magufuli kwa kuwaacha wahujumu uchumi wengi nje ya magereza na ndio wanao mchafua muda wote wakitafuta cheap popularity kwa watu wenye akili ndogo zenye maarifa.Ningekuwa mm ni magufuli ningefanya amendment ya katiba yetu ili waiogusika kama maraisi ambao uchafu wote wa kifisadi huanzia kwao waweze kuguswa kisawasawa na hapo ndio hao wanaosema kujimwambafy wangekiona cha mtema kuni.Enzi za mwl.Nyerere watu walikimbia nchi alafu watu leo wanatufanya eti hatujui kitu Mwl.alikuwa akikuita lazima utetemeke tu kumbe hapo kikwete asitudanyanye kabisa na asimtumie mwl.ili kufikisha uovu wake kwa watanzania.Mwl hakuwa wa kuchekacheka hovyohovyo kama wengine walivyokuwa wanachekacheka hovyohovyo tu kwa awamu walizo ongoza matokeo yake nchi ikaangukia pabaya.Watanzania tujifunze kutofautisha viongozi.kuna wanao kimbilia IKULU kwa sababu kuna biashara zao binafsi na kuna wanaokwenda ikulu kufanya kazi za watanzania.
 
Umeangalia taarifa ya habari channel ten saa moja? nadhani usingeandika hivi, muda wa kuandikishwa umeongezwa, Kwa mara ya Kwanza naona wanapanda kwenye daladala kuhamasisha na tai zao halafu waungwana kama sio wao
Poleni sana na atapita tena kwa kishindo na uchaguzi utakuwa huru kabisa tena wa haki tena piga kura usipige ngoma iko pale pale ushindi wake
 
Back
Top Bottom