Unapigia kura barabara na njaa uipeleke wapi?Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
MembeTeh teh teh!! Asipopita Magu apite nani sasa.
Upinzani upo rohoni kwa sasa kwani wapinzani wa wazi CCM kutwa wanawabambikia kesi wanawapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali
Hivi hata huo mchujo wa pale Dodoma atakatiza? Maana kuna kila dalili za Jasusi kumgalagaza ili kupeperusha bendera.Poleni sana na atapita tena kwa kishindo na uchaguzi utakuwa huru kabisa tena wa haki tena piga kura usipige ngoma iko pale pale ushindi wake
Twende na Lissu 2020