Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Kama hauamini hili angalia trend ya zoezi la uandikishaji hii ni dalili kua raia wana majonzi moyoni vijana mtaani wasomi hawana kazi wapo tu na serikali iko.. Hali ya biashara ngumu, democrasia ngumu
Kwani nani kakuambia watu hawajiandikishi labda wewe tu
 
Acha tu aisee,ila namisi sana amsha amsha za miaka ya 2015 kushuka chini.sema ndio hivyo....wameshikwa pabaya[emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Inapendeza. Kwa wapinzani wao kazi inkuwa rahisi.
 
Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
Ni kweli ni ngumu kuuzika,hebu basi waruhusiwe kufanya mikutano kama wanavyofanya ccm
 
Inapendeza. Kwa wapinzani wao kazi inkuwa rahisi.
Wamiliki wa mafuso ndiyo kipindi chao Cha kuwasomba wana ccm kama magunia ya viazi kutoka njombe
FB_IMG_1501705533332.jpeg
 
Wapiga kura wa mitandaoni hebu tuamkeni tukafanye kazi siasa zinawashibisha wanasiasa
 
Acha tu aisee,ila namisi sana amsha amsha za miaka ya 2015 kushuka chini.sema ndio hivyo....wameshikwa pabaya[emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Poleni sana na atapita tena kwa kishindo na uchaguzi utakuwa huru kabisa tena wa haki tena piga kura usipige ngoma iko pale pale ushindi wake
Wewe lazima utakuwa kwenye top ten ya watu wasiojielewa JF...
 
Back
Top Bottom