Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Kama hauamini hili angalia trend ya zoezi la uandikishaji hii ni dalili kua raia wana majonzi moyoni vijana mtaani wasomi hawana kazi wapo tu na serikali iko.. Hali ya biashara ngumu, democrasia ngumu
Poleni sana na atapita tena kwa kishindo na uchaguzi utakuwa huru kabisa tena wa haki tena piga kura usipige ngoma iko pale pale ushindi wake
 
Matangazo ya time ya uchaguzi kuwataka watu kujiandikisha yana mvuto mdogo sana. Wapinzani wamezibwa, chama tawala wanajua wamesha shinda hata wakipiga kura watu 2. Iliaminika tawala zote hutoka kwa Mungu, japo nahisi siku hizo amechoka kuleta watawala. Nani wa kumkumbusha?
 
Toa neno demokrasia, ni ujinga sana kuhuniri demokrasia! Ujinga ujinga tu
 
Kama hauamini hili angalia trend ya zoezi la uandikishaji hii ni dalili kua raia wana majonzi moyoni vijana mtaani wasomi hawana kazi wapo tu na serikali iko.. Hali ya biashara ngumu, democrasia ngumu
Asipopita atapita nani?
Mimi sijajiandikisha kupiga kura serikali za mitaa kwa sasabu zangu binafsi na nipo hapa haa dar. Na watu kama mimi tuko wengi. Uchaguzi mkuu napiga kura kw JPM kama kawaida.
 
Wakapige wao tu sasa yanini kutusumbua?
Matangazo ya time ya uchaguzi kuwataka watu kujiandikisha yana mvuto mdogo sana. Wapinzani wamezibwa, chama tawala wanajua wamesha shinda hata wakipiga kura watu 2. Iliaminika tawala zote hutoka kwa Mungu, japo nahisi siku hizo amechoka kuleta watawala. Nani wa kumkumbusha?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1690][emoji1690][emoji1690]
 
Kama ndiyo hivyo mbona ni kicheko kikuu kwa ccm?
Wacha tupige suti zetu tukasherehekee
Ni dalili tosha kwamba nguvu ya upinzani imeisha
tapatalk_1567627458569.jpeg
 
Back
Top Bottom