Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

hoja kubwa bungeni nyakati zile ilikuwa UFISADI NA UHUJUMU UCHUMI hayo yote awamu ya tano imeenda nayo vizuri sana ingawa namlaumu sana Magufuli kwa kuwaacha wahujumu uchumi wengi nje ya magereza na ndio wanao mchafua muda wote wakitafuta cheap popularity kwa watu wenye akili ndogo zenye maarifa.Ningekuwa mm ni magufuli ningefanya amendment ya katiba yetu ili wasiogusika kama maraisi ambao uchafu wote wa kifisadi huanzia kwao waweze kuguswa kisawasawa na hapo ndio hao wanaosema kujimwambafy wangekiona cha mtema kuni.Enzi za mwl.Nyerere watu walikimbia nchi alafu watu leo wanatufanya eti hatujui kitu Mwl.alikuwa akikuita lazima utetemeke tu kumbe hapo kikwete asitudanyanye kabisa na asimtumie mwl.ili kufikisha uovu wake kwa watanzania.Mwl hakuwa wa kuchekacheka hovyohovyo kama wengine walivyokuwa wanachekacheka hovyohovyo tu kwa awamu walizo ongoza matokeo yake nchi ikaangukia pabaya.Watanzania tujifunze kutofautisha viongozi.kuna wanao kimbilia IKULU kwa sababu kuna biashara zao binafsi na kuna wanaokwenda ikulu kufanya kazi za watanzania.
 
Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?
Si ndio maana tunasema ya nin kubadiri viongozi ? waliopo wanatosha walau tuwatoe 2025 au nako waendeleeeeeee!
 
Umeangalia taarifa ya habari channel ten saa moja? nadhani usingeandika hivi, muda wa kuandikishwa umeongezwa, Kwa mara ya Kwanza naona wanapanda kwenye daladala kuhamasisha na tai zao halafu waungwana kama sio wao
Muda lazima uongezwe kwa sababu watu ni wengi muda ni mfupi sana.
 
Hawa watu wanalivamia jukwaa kwa speed ya 160 km /h huku hawajui kuwa mbele Kuna kona na bonde kubwa
Kuna mwingine kaja siku 3 zilizopita eti anakopa sh 4m, amekwama kabisa. Mara ya kwanza nilimsaidia laki 5, sikuwa namfahamu. Siku moja naangalia kwenye avatar yake ya whatsap nikakuta jembe na nyundo. Nilipowauliza marafiki zake wa karibu wakaniambia kuwa ni mfia chama na mkuu wa malaika. Nikamsikitikia sana.

Alivyokuja na ombi la mkopo wa sh 4m, jibu lilikuwa rahisi. Kama unavyojua, mambo ni magumu. Akatoka ametepeta.
 
Kama hauamini hili angalia trend ya zoezi la uandikishaji hii ni dalili kua raia wana majonzi moyoni vijana mtaani wasomi hawana kazi wapo tu na serikali iko.. Hali ya biashara ngumu, democrasia ngumu
"Watu wameridhika na hawaoni umuhimu wa kujiandikisha kwa sababu uongozi uliopo madarakani umekidhi mahitaji yao."
Mwisho wa kunukuu.
 
jidanganye hiyo sampling umeifanya wapi na wapi?
subiri uone maajabu huto amini
 
Basí tulia, acha kulia lia kama wajua tumeachiwa.
Wana ccm hiki ni kipindi chenu cha kufaidi kupanda mafuso
tapatalk_1567627458569.jpeg
FB_IMG_1501705533332.jpeg
 
Kama hauamini hili angalia trend ya zoezi la uandikishaji hii ni dalili kua raia wana majonzi moyoni vijana mtaani wasomi hawana kazi wapo tu na serikali iko.. Hali ya biashara ngumu, democrasia ngumu

Unaandika kama mtu wa Burundi. Maisha yapo kama kawaida. Au una maanisha madeal na mamission town hamna. Nini ambacho kafanya mkuu kukufanya wewe Uwe maskini wakati ulikuwa tajiri. Kama kweli uko serious na unataka maendeleo , sacrifice na uhalisia wa maisha lazima uwepo. Mengine mtakuwa wapiga domo tu.
 
Siasa za mitandaoni zinawaangusha sana chadema....
Hapa kikubwa ni upinzani hawauziki...hivi mfano Dar, mtaa gani magufuli hajaugusa eidha kwa barabara au shule au hospitali kwamba upinzani wataenda jiuza wakaeleweka?

Kama kagusa kila mtaa sawa ,cha kushangaza anawabania wapinzani wasifanye mikutano ya hadhara ili hali anajua kagusa kila mtaa!!!!
 
Kama kagusa kila mtaa sawa ,cha kushangaza anawabania wapinzani wasifanye mikutano ya hadhara ili hali anajua kagusa kila mtaa!!!!
Sio lazima heche afanyie mkutano dar. Mbona juzi juzi mmeonyesha akiwa na nyomi kwao?
 
Back
Top Bottom