Kuna haja ya kuwaelimisha wananchi ili watofautishe sheria na siasa.
Serikali inakosea kuwapangia maeneo ya biashara?. No.
Possibly yes. Unajua kabisa biashara ni wateja. Bila wateja hakuna biashara. Kama wewe ni mfanya biashara halafu serikali ikupangie ukafanye biashara kwenye sehemu ambayo haina wateja utakubali kwenda? Ni swali tuu.
Kuna haja ya kuwaelimisha wananchi ili watofautishe sheria na siasa.
Serikali inakosea kuwapangia maeneo ya biashara?. No.
Wananchi walio kwenye mkutano wamekataa kata kata kumsikiliza mkuu wa wilaya ya Mbeya. Kwenye picha hapo chini anavyoonekana baada ya kukataliwa na wananchi walio kwenye mkutano.
Wale mikong'oto tu, nani anawaambia wafanye biashara barabarani, kama hawana pa kufanyia biashara warudi vijijini wakalime. Msitetee ujinga.
Na hao sio wafanya biashara hizo zote ni mbinu za magwanda ili kuoekana nchini kuna fujo. Lakini dawa yao ni ndogo tu, kuna vichaa wamepelekwa huko, wakae chonjo.
Pia ukumbuke tatizo la Mbeya ni unique zaidi kwa sababu masoko zaidi ya matatu yaliungua moto. Yote yalifungwa ili yafanyiwe ukarabati baada ya kuungua moto. Cha msingi serikali ingejitahidi wakamilishe angalao soko moja ili kupunguza makali ya maisha. Lakini unawafukuza watu mjini na masoko yamefungwa, what do you expect hasa katika kipindi hiki kigumu chama maisha?
Kwa mfano wanaosema serikali iwapeleke kule Nane Nane nani atakayenunua vitu huko? Unafikiri wananchi watapanda basi kuwafutata wamachinga huko? Mazingira ya kibishara hayaruhusu. Huko hakuna mauzo yatakayofanyika kwa sababu biashara inategemeana na uwingi wa watu. Wamachinga sio wanjinga kiasi hicho. They have got business skills as well.
Hata wawekezaji wa nje wanaokuja Tanzaniania wanaangalia kwanza maeneo ya kuwekeza. Sio tu wewe unaona eneo liko wazi halafu unasema panafaa kibiashara. Hapafai na ndio maaana hilo eneo liko wazi. Kama lingekuwa linafaa wamachinga wangekuwa wameshaenda huko bila hata kulazimishwa.
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.Pia ukumbuke tatizo la Mbeya ni unique zaidi kwa sababu masoko zaidi ya matatu yaliungua moto. Yote yalifungwa ili yafanyiwe ukarabati baada ya kuungua moto. Cha msingi serikali ingejitahidi wakamilishe angalao soko moja ili kupunguza makali ya maisha. Lakini unawafukuza watu mjini na masoko yamefungwa, what do you expect hasa katika kipindi hiki kigumu chama maisha?
Kwa mfano wanaosema serikali iwapeleke kule Nane Nane nani atakayenunua vitu huko? Unafikiri wananchi watapanda basi kuwafutata wamachinga huko? Mazingira ya kibishara hayaruhusu. Huko hakuna mauzo yatakayofanyika kwa sababu biashara inategemeana na uwingi wa watu. Wamachinga sio wanjinga kiasi hicho. They have got business skills as well.
Hata wawekezaji wa nje wanaokuja Tanzaniania wanaangalia kwanza maeneo ya kuwekeza. Sio tu wewe unaona eneo liko wazi halafu unasema panafaa kibiashara. Hapafai na ndio maaana hilo eneo liko wazi. Kama lingekuwa linafaa wamachinga wangekuwa wameshaenda huko bila hata kulazimishwa.
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
chukuchuku hiyo!!Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/192112-hatimaye-mbeya-kumetulia.htmlBaada ya vurugu za wamachinga wakidai haki zao za msingi na wakitoa shinikizo kuwa hawataki kuongea na mtu mwingine yoyote zaidi ya rais wao sugu.wakidai kuwa hali itarejea ikiwa haya yafuatayo yatatekelezwa
1. Waakikishiwe kuendelea kufanya biashara katika maeneo yao.
2. Wenzao wote walioshikiliwa na polisi waachiwe bila masharti
3. Wote waliopo hospitali kutokana na majera ya vurugu hizo wapatie matibabu ya hali ya juu.
Baada ya kikao kilichofanyika kati ya sugu na serikali ya mkoa. Kandoro amekubali kutekeleza masharti yote matatu na wamachinga wanarejea katika maeneo yao. Kwasasa sugu anaongea na wapiga kura wake wanamshangilia mbaya.
Big up sugu wapiga kuwa wako wamekupa heshima kubwa sana na hii ni salamu kwa serikali kuwa nguvu ya dola haishindi nguvu ya umma.
ulibemendwa wewe!! sio bure.Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
Mungu Wangu..!!! Nakosa neno la kukuandikia! Anyway, God for bid you,!
Kikao cha serikali na wananchi kimeisha. Mkutano umeisha kwa amani. Hizi ni latest pictures kutoka Mbeya.