Halafu mwisho wa siku unaambulia kibuti..

Halafu mwisho wa siku unaambulia kibuti..

923155_218925158315331_1473987193_n.jpg

Love doesn't ask why
 
nitakupenda mpka nakufa kwa stail hiyoo

Thubutu!!!!!! Siyo Nyie Wanawake na Madada Zetu Wa Kibongo Wa Sasa na Walioweza Ni Mama Zetu Waliotuzaa Ila Kwa Warembo wa Kuanzia 1975 hadi Leo 2014 Ni USANII na MAGUMASHI Kwa Kwenda Mbele na Hapendwi Mtu bali Ni Pochi tu.
 
Yataendelea kuwa MAPENZI tu. Mnajichanganya tu, unafanya hivyo pale mapenzi yanapokuwepo. Hamna mampenzi it is the PAST.
 
Thubutu!!!!!! Siyo Nyie Wanawake na Madada Zetu Wa Kibongo Wa Sasa na Walioweza Ni Mama Zetu Waliotuzaa Ila Kwa Warembo wa Kuanzia 1975 hadi Leo 2014 Ni USANII na MAGUMASHI Kwa Kwenda Mbele na Hapendwi Mtu bali Ni Pochi tu.
Samaki mmoja akioza haimaanishi tenga zima limekwisha....usiogope kazana na majaribio ya kubahatisha kupata aliemkweli
 
Women are Momento! Not reliable in decision making. Sometimes YES sometimes NO!
 
Kibuti? Kwani bastola bei gani?
Jamani hawa watu mungu wao alishakufa kitambo sana wala usiwawazie sana kama akikupiga kibuti tafuta bwabwa weka ndani biashara inaendelea
 
Au baada ya hapo anakunyima 'chakula cha usiku'
 
Hahahaaa...yaan wewe ni mtundu balaa...sa si utamuumiza mwenzio

Nikimuumiza ndo vizuri,,,,, si unajua nyie hamtabiliki ,,,,,,,,,, akinipiga kibuti historia yngu atakua nayo mgongoni maana hilo donda ntakalomtoa hata la nyani kule nyuma lina nafuu.
 
Back
Top Bottom