Mkuu si unaona hao jamaa wanavyuopata mateso yote hayo. Yote ni kujipatia senti kidogo ya kuweza kuendesha maisha yao ya kula siku.
Baada ya hapo anatokea mwanamke anamchuna jamaa kwa kumuomba amrushie japo shilingi elf 10. Lakini hiyo anaona haitoshi HALAF UTASKIA USISAHAU KUTUMA YA KUTOLEA.
Angejua watu wanateseka kwa muda gani kuipata hiyo hela angeridhika tu na hiyo elf 10 wala asingeuulizia hela ya kutolea kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.