KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Miaka hii hii na ijayo uzazi kwa vijana umepungua sana,vijana au hawapendi kuzaa au imekuwa tabu.manake hata akina dada nao hawapati watoto nini tabu?wanaume sasa hawana nguvu za kiume imekuwa mjadala jadili