Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,231
- 1,537
Yaani mwanaume mzima utatoa laki8 kununua simu yenye jina tecno huoni kama unaibiwaWatu bwana, mtu ana Samsung ya Tsh. 250,000/= anamdharau mtu mwenye Phantom ya Tsh. 800,000+/= huu ni ulimbukeni kweli na kufata mkumbo. Ukweli utabaki Kwamba sumsung yako ya Tsh. 250000 mpaka chini ya Tsh. Laki nane haiwezi kufikia ubora wa phantom.
Atakae kupa nina?Yaani we unabadili unapewa Tecno ye unampa Samsung hauko siliasi hata kidogo aisee.........Tecno ni simu mbovu ambayo ukinipa hata bure sichukui
Acha kuaribu biashara za watu kama aikufai nyamaza kwani samsung ndio sim mbona tulishapata habari zina tabia ya kulipukaWatumiaji wa Techno wote ninaowajua hua wanahasira kama wewe wakiwa wanaitetea SUPER BRAND TECHNO,hahah
Kwan makao makuu ya tecno yapo wapi?Mediatek hata Samsung Mediatek hata Samsung Mediatek wanatumia Samsung (Samsung j7 max), walishasema kwa nini hawauzi kwao (kuna ushindani mkali, uwezo kiuchumi sio sawa na huku
Kama nilivyosema cheki mtumia techno ulivyokuja na hasira nyingi,hahah.Acha kuaribu biashara za watu kama aikufai nyamaza kwani samsung ndio sim mbona tulishapata habari zina tabia ya kulipuka
Ni wewe sisi ndio tumefika na jamiiforum tunaingia woteeeeMimi nilishaapa kuwa siji kutumia smartphone ya tecno. Bora hiyo pesa nikacheze tatu mzuka.
Hiyo sasa ndio cm mkuu nunua hutajutia hela yakoInflinix nayo zikoje wakuu?
Lingine kwani ukiwa na sumsung ni mradiAcha kuaribu biashara za watu kama aikufai nyamaza kwani samsung ndio sim mbona tulishapata habari zina tabia ya kulipuka
Pole sana. Tecno inajibu mahitajio ya average consumer na imesaidia sana mawasiliano kwa kiasi kikubwa Afrika. Asilimia kubwa ya walaji wanahitaji kuongea, kutuma text, kutumia messengers kama whatsapp, kusikiliza muziki, kurekodi sauti na kupiga picha za kawaida tu. Katika hayo tecno inaperform kwa kiwango cha kutosheleza soko. Pia suala la ukaaji wa chaji inaondoa haja ya kutembea na begi lenye power bank. So, kama wewe una matumizi zaidi ya hayo, tafuta top brands na si tecno.habari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo lakin kilichonikuta kwakwel najuta na hiy k7 ni mpyaa sanaaa na ina finger print cha ajabu ina stuck kukik maelezo na ina gb 16 na ram 1 gb kwakwel nikawa nimeingia mkenge nilikuwa sina raha nayo haina mvuto kabisa wala mzuka baada ya kuitumia kam wiki mbil nikawa nimeichoka mno mambo yake ikanibid niiuze kwa elfu 80 hata sikujiuliza ninawaomb wanajamvi kama kuna mtu ana mpango wa kununua tecno hii k7 ni simu isiyo na kiwango narudieni tena tecno ni simu mbovu na majanga sijapata kuona nawasilisha
Kula like mkuuTecno Cx kavu na tecno phantom 6 ndio tecno bora pia c9 inaubora sana hzo nyngne kuna malalamiko mengi sana
[emoji23] [emoji23]Shika adabu yako
Mimi mwalim wa nursery
natumia Samsung j2
Kaka njoo in box nikuuzie Samsunghabari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo lakin kilichonikuta kwakwel najuta na hiy k7 ni mpyaa sanaaa na ina finger print cha ajabu ina stuck kukik maelezo na ina gb 16 na ram 1 gb kwakwel nikawa nimeingia mkenge nilikuwa sina raha nayo haina mvuto kabisa wala mzuka baada ya kuitumia kam wiki mbil nikawa nimeichoka mno mambo yake ikanibid niiuze kwa elfu 80 hata sikujiuliza ninawaomb wanajamvi kama kuna mtu ana mpango wa kununua tecno hii k7 ni simu isiyo na kiwango narudieni tena tecno ni simu mbovu na majanga sijapata kuona nawasilisha