Hakuna sababu ya kupoteza maisha ya vijana

Hakuna sababu ya kupoteza maisha ya vijana

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
6,750
Reaction score
14,524
Uwezo wa watu wanaoongoza nchi unajulikana na uharibifu waliofanya kwa taifa upo wazi.

Sasa either wahusika wenye uchungu na nchi waingie kati au tukubali matokeo ya katiba iliyowapa mamlaka ya kuharibu nchi.

Kwanini watoto wa watu waumizwe kwanza, kama tumekubali majizi na civil servants wameshindwa kuwakabili majizi na kuamua kuwa sehemu ya wizi.

Sasa tufanye nini zaidi ya kukubali yaishe kama wenyewe wenye mbinu hawataki kuzuia bila ya kuona damu za raia kwanza.

Hii ni vita ya security apparatus sio sisi watanzania.

Wao ndio walio tengeneza mazingira ya nchi kuchezewa na ndio wenye jukumu la kuweka mambo sawa.

Binafsi siwezi andamana kwa upuuzi uliotengenezwa na vyombo bye tu vya ulinzi, they need to sort it out.

Sasa aina maana naingilia maamuzi ya wengine.

But if you think about, it’s just pathetic who on his right might angempa nchi Samia.
 
Bidhaa inayoitwa hofu na uoga hatuinunui wala hatutaki ng'oo. Kiumbe kilichozaliwa kitakufa.

Hakuna kulialia , kulalamika wala kutiisha huruma. Haturudi nyuma Imetosha na imetosha Sasa basi
 
Irrelevant and pathetic at the same time.

Hata hujui unataka nini, achia kujuwa unaandika kitu gani hapa.
Ameandika kitu kikubwa sana.
Nilicho elewa:
Anawasihi wenye uwezo wa kubadili mambo ndani ya state apparatus wafanye hivyo kabla kusubiri maandamano kupata legitimacy ya kuingilia Kati.
Wafanye kabla ili kuepusha damu za waandamanaji kumwagika. Huyu ana amini maandamano yapo na yanaungwa mkono na hivyo vyombo, Tena yanasubiriwa na hizo apparatus.
Disclaimer: Sijasema watu wa hizo apparatus wafanye alichopendekeza mleta mada.
I have family to take care...
 
Kama akina Mandela kule Afrika Kusini wangekuwa hawako tayari kujitoa kwa matokeo yoyote yale [kifo, kifungo, kuishi uhamishoni, n.k.,], si ajabu Apartheid ingekuwa bado inaendelea huko Afrika Kusini.

Inafikia wakati watu lazima mchore mstari na kukubali kuwa kutakuwepo na gharama ya kulipa.

Bila hivyo, hakuna chochote kitakachobadilika.
 
Bidhaa inayoitwa hofu na uoga hatuinunui wala hatutaki ng'oo. Kiumbe kilichozaliwa kitakufa.

Hakuna kulialia , kulalamika wala kutiisha huruma. Haturudi nyuma Imetosha na imetosha Sasa basi
Binafsi ni muumini wa ‘never say, never’

Lakini uhalisia ni kwamba naona kama vile wananchi wamechoka, kuliko hivyo vyombo vya ulinzi,

That remains to be seen.
 
Ameandika kitu kikubwa sana.
Nilicho elewa:
Anawasihi wenye uwezo wa kubadili mambo ndani ya state apparatus wafanye hivyo kabla kusubiri maandamano kupata legitimacy ya kuingilia Kati.
Wafanye kabla ili kuepusha damu za waandamanaji kumwagika. Huyu ana amini maandamano yapo na yanaungwa mkono na hivyo vyombo, Tena yanasubiriwa na hizo apparatus.
Disclaimer: Sijasema watu wa hizo apparatus wafanye alichopendekeza mleta mada.
I have family to take care...
Huyo jamaa ana label ya members, uwa hasomi hoja zao. Yeye anaandika based on his labelling na kutafuta ugomvi tu.
 
Kama akina Mandela kule Afrika Kusini wangekuwa hawako tayari kujitoa kwa matokeo yoyote yale [kifo, kifungo, kuishi uhamishoni, n.k.,], si ajabu Apartheid ingekuwa bado inaendelea huko Afrika Kusini.

Inafikia wakati watu lazima mchore mstari na kukubali kuwa kutakuwepo na gharama ya kulipa.

Bila hivyo, hakuna chochote kitakachobadilika.
Will you be there to commit that martyrdom? Ready for that sacrifice?
Or it's easier say than done?
 
Kama akina Mandela kule Afrika Kusini wangekuwa hawako tayari kujitoa kwa matokeo yoyote yale [kifo, kifungo, kuishi uhamishoni, n.k.,], si ajabu Apartheid ingekuwa bado inaendelea huko Afrika Kusini.

Inafikia wakati watu lazima mchore mstari na kukubali kuwa kutakuwepo na gharama ya kulipa.

Bila hivyo, hakuna chochote kitakachobadilika.
Una TikTok, tumia wknd moja kuona hawa watoto live chat zao.

Huko ni ngono tu.

Naelewa kuna group la vijana ambao wamechoka, ila kabla hawaja ji commit. Walau na wahusika wawe tayari.

It doesn’t look that way, I could be wrong.
 
Una TikTok, tumia wknd moja kuona hawa watoto live chat zao.

Huko ni ngono tu.

Naelewa kuna group la vijana ambao wamechoka, ila kabla hawaja ji commit. Walau na wahusika wawe tayari.

It doesn’t look that way, I could be wrong.
Kwa bahati nzuri mimi sipo kabisa huko kwenye social media.
 
Kwa bahati nzuri mimi sipo kabisa huko kwenye social media.
Try it hasa TikTok algorithms zao zikujue unapenda mambo ya Tanzania.

Utasema salaleh, kuna kufuru humo mambo ya ulaya yana afadhali.
 
Uwezo wa watu wanaoongoza nchi unajulikana na uharibifu waliofanya kwa taifa upo wazi.

Sasa either wahusika wenye uchungu na nchi waingie kati au tukubali matokeo ya katiba iliyowapa mamlaka ya kuharibu nchi.

Kwanini watoto wa watu waumizwe kwanza, kama tumekubali majizi na civil servants wameshindwa kuwakabili majizi na kuamua kuwa sehemu ya wizi.

Sasa tufanye nini zaidi ya kukubali yaishe kama wenyewe wenye mbinu hawataki kuzuia bila ya kuona damu za raia kwanza.

Hii ni vita ya security apparatus sio sisi watanzania.

Wao ndio walio tengeneza mazingira ya nchi kuchezewa na ndio wenye jukumu la kuweka mambo sawa.

Binafsi siwezi andamana kwa upuuzi uliotengenezwa na vyombo bye tu vya ulinzi, they need to sort it out.

Sasa aina maana naingilia maamuzi ya wengine.

But if you think about, it’s just pathetic who on his right might angempa nchi Samia.
You must be kidding! Yaani hakuna sababu ya kufia nchi? Kama kufia nchi ingekuwa sio sababu ya msingi, basi taifa hili pia lisingekuwa na Jeshi. Kumbuka, hiyo ndiyo sababu pekee inayowafanya wanajeshi wetu waweke maisha yao on the line!

Urais wa Samia ulitokana na operation ya Katiba. Bila hivyo, hakuna namna ambayo angekuwa Rais wa hii nchi. Kosa la kwanza lilifanywa na wale waliomwezesha kuwa VP. VP anapaswa kuwa mtu mwenye uwezo wa kuvivaa viatu vya Rais anytime, ikibidi. Not that piece of shit!
 
Samia ni sawa na ‘Paul Biya’ au hayati ‘Robert Mugabe’ hakuna raisi.

Kilichopo ni wazalendo wenye uwezo wa kupindua meza wamechoshwa kiasi gani na ufisadi.

Tanzania leo ufisadi upo wazi, kuna sababu gani ya kuchezea maisha ya watu ilihali wenye nguvu hawako.

Hivi umeona Heche alivyobebwa, au video ya jamaa wa BAVICHA sijui maeneo gani ya Dar.

Yule jamaa wa BAVICHA kabebwa mchana kweupe jamani natekwa, raia wala hawana muda wa kumsaidia.

Sitaki kuwa mtu wa kuvunja moyo maandamano; ila binafsi naamini huu ukombozi wa nchi unataka ujasiri wa vyombo vya usalama bila ya kupoteza damu za vijana wa Tanzania,

Kama hawawezi Hakuna sababu ya kuwajaza vijana upepo wakaumizwe.

It’s a theory aina maana niko sahihu
 
Kifo kipo palepale hakiepukiki. Vile anavyokufa mnyama na binadamu vilevile kwa kuugua au kuchinjwa(kuuliwa)

Hivyo Tulia mkuu kifo change hakima athari yoyote Ile kwenye familia yako
 
Uwezo wa watu wanaoongoza nchi unajulikana na uharibifu waliofanya kwa taifa upo wazi.

Sasa either wahusika wenye uchungu na nchi waingie kati au tukubali matokeo ya katiba iliyowapa mamlaka ya kuharibu nchi.

Kwanini watoto wa watu waumizwe kwanza, kama tumekubali majizi na civil servants wameshindwa kuwakabili majizi na kuamua kuwa sehemu ya wizi.

Sasa tufanye nini zaidi ya kukubali yaishe kama wenyewe wenye mbinu hawataki kuzuia bila ya kuona damu za raia kwanza.

Hii ni vita ya security apparatus sio sisi watanzania.

Wao ndio walio tengeneza mazingira ya nchi kuchezewa na ndio wenye jukumu la kuweka mambo sawa.

Binafsi siwezi andamana kwa upuuzi uliotengenezwa na vyombo bye tu vya ulinzi, they need to sort it out.

Sasa aina maana naingilia maamuzi ya wengine.

But if you think about, it’s just pathetic who on his right might angempa nchi Samia.
Na wanaopotezwa kila siku ni bibi zako?
 
Irrelevant and pathetic at the same time.

Hata hujui unataka nini, achia kujuwa unaandika kitu gani hapa.
Mzee Kalamu punguza munkari siku imebaki moja jiandae kuingia barabarani ila uage familia yako
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom