Hakuna sababu ya kupoteza maisha ya vijana

Hakuna sababu ya kupoteza maisha ya vijana

Mzee Kalamu punguza munkari siku imebaki moja jiandae kuingia barabarani ila uage familia yako
Watu wa "kafala" nyinyi, mtapoteza hali hiyo duni mnayoishikilia kwa hao wafugaji wenu.

Jiandae kuwa mtu huru kuanzia Oktoba 29.
 
Ameandika kitu kikubwa sana.
Nilicho elewa:
Anawasihi wenye uwezo wa kubadili mambo ndani ya state apparatus wafanye hivyo kabla kusubiri maandamano kupata legitimacy ya kuingilia Kati.
Wafanye kabla ili kuepusha damu za waandamanaji kumwagika. Huyu ana amini maandamano yapo na yanaungwa mkono na hivyo vyombo, Tena yanasubiriwa na hizo apparatus.
Disclaimer: Sijasema watu wa hizo apparatus wafanye alichopendekeza mleta mada.
I have family to take care...
EEEeeenHEEEeeeeeh!

Mkuu 'Titi'; unanifanya nicheke tu kwa maumivu.

Naelewa vizuri sana unacho eleza wewe hapa; ambacho naamini sicho anacho lenga huyo uliye mjibia.

Ninapoandika maneno kama hayo niliyoweka hapo siandiki tu kwa tafsiri ya hayo yaliyopo kujibiwa; bali nahusisha na nimjuavyo mwandishi katika misimamo yake inayojulikana wazi humu JF.

Kwa kifupi ni hivi, nikikujibu wewe moja kwa moja: Mageuzi "FEKI" au nusu nusu hayawezi kuisaidia chochote Tanzania wakati huu.
Huko kutishiwa "damu za vijana kumwagika" kwa nini iwe sasa; mbona tumelia miaka na miaka juu ya swala hilihili lakini hakuna aliye sikiliza, na badala yake ndio wakazidi kumwaga damu za waTanzania?

Tusianze tena kutishana wakati huu inapoanza kuonekana dalili za kubanwa kwa wadhalimu. Tusiwape mwanya wa kutupumbaza akili tena.

Kwanza nikuulize: Ni nani atakayemwaga hiyo damu ya vijana? Mpelekeeni ujumbe asithubutu kufanya hivyo; wakati wake umekwisha.
 
Kama akina Mandela kule Afrika Kusini wangekuwa hawako tayari kujitoa kwa matokeo yoyote yale [kifo, kifungo, kuishi uhamishoni, n.k.,], si ajabu Apartheid ingekuwa bado inaendelea huko Afrika Kusini.

Inafikia wakati watu lazima mchore mstari na kukubali kuwa kutakuwepo na gharama ya kulipa.

Bila hivyo, hakuna chochote kitakachobadilika.
Brief, and straight to the point!

No Nywinywi; Nywonywo or Nywunywu!
 
Huyo jamaa ana label ya members, uwa hasomi hoja zao. Yeye anaandika based on his labelling na kutafuta ugomvi tu.
Usitafute huruma.
Label pekee inayoniongoza ni ulicho kiandika na mtiririko wa historia ya uliyo andika. That's it!
 
*** you 🖕🖕
Not that you're getting any clever to deserve credit for what is written in that posting!
Kama akina Mandela kule Afrika Kusini wangekuwa hawako tayari kujitoa kwa matokeo yoyote yale [kifo, kifungo, kuishi uhamishoni, n.k.,], si ajabu Apartheid ingekuwa bado inaendelea huko Afrika Kusini.

Inafikia wakati watu lazima mchore mstari na kukubali kuwa kutakuwepo na gharama ya kulipa.

Bila hivyo, hakuna chochote kitakachobadilika.
This is an attempt at hoodwinking.
 
Back
Top Bottom