Olumolongez
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 818
- 299
Ni vigumu sana mara nyingi haiwezekani kupata mgegedo haswa kutoka kwa michepuko bila gharama yeyote. Nawasilisha.
kwa akili hizi, unavyojibu vizuri km ungeweza jibu vizuri uko nyuma darasana, akya mama ungekuwa proffesa, hivi kwa nini akili nyingi na nzuri huja ukubwani?Wakati mwingine gharama ni matokeo ya mnachofanya.........i.e kufumaniwa, kulawitiwa, kupigwa, faini, au vyote kwa pamoja.
Magonjwa ni dharura mkuu, sio kwenye papuch tu hata kwenye chakula unapataha ha ! hii imenichekesha sana bado hata beki tatu bado sio free papuchi coz kuna......magonjwa ya kuambukizwa kama gono nk, na mimba zisizotarajiwa....
Hiyo ndiyo gharama maana wakati huo wa kula timing ungekuwa umezalisha.Bro hujawah kula beki3. Hizo ni free p , we ni kucheza na muda tu
Unazalisha nn wakati chakuzalisha amna.Hiyo ndiyo gharama maana wakati huo wa kula timing ungekuwa umezalisha.
Navizia mida wote wamelala afu nahamia rum kwake. Sasa huo muda ntazalisha nnHiyo ndiyo gharama maana wakati huo wa kula timing ungekuwa umezalisha.
Muda wa kufikiria kufanya timing unakula muda wa kupanga mipango ya maendeleo. Hivi hujawahi kuona ni kwa kiasi gani mwanamke anakupa fake ahadi inavyoumiza hata BP kupanda? Kwa kipindi hicho unapoteza mengi ya kiuchumiNavizia mida wote wamelala afu nahamia rum kwake. Sasa huo muda ntazalisha nn
Mbona zinaparikana tuuu wewe kwakua ulianza na helaNi vigumu sana mara nyingi haiwezekani kupata mgegedo haswa kutoka kwa michepuko bila gharama yeyote. Nawasilisha.
Kaka ukipata bek3 hutojutia ahad fake, wewe ni kuchek tu sebulen amna mtu unateleza tu rum kwake, unakuta mlango kaegesha, watanzania wengi mishe zetu ukiacha walioajiriwa ni mishe za dili , sasa dili unaiwazia usikuMuda wa kufikiria kufanya timing unakula muda wa kupanga mipango ya maendeleo. Hivi hujawahi kuona ni kwa kiasi gani mwanamke anakupa fake ahadi inavyoumiza hata BP kupanda? Kwa kipindi hicho unapoteza mengi ya kiuchumi
Aksante sana nimekuelewa wewe unaongea kisomi mimi naongea kihiyo hivyo hakuna siku hata moja tunaweza kuelewana. Asante sana kwa majadiliano yetu na kwa topic hii nakuwa kama tattyKaka ukipata bek3 hutojutia ahad fake, wewe ni kuchek tu sebulen amna mtu unateleza tu rum kwake, unakuta mlango kaegesha, watanzania wengi mishe zetu ukiacha walioajiriwa ni mishe za dili , sasa dili unaiwazia usiku
Hilo ndilo uliloamka nalo, ULAANIWENi vigumu sana mara nyingi haiwezekani kupata mgegedo haswa kutoka kwa michepuko bila gharama yeyote. Nawasilisha.
Sijaongea kisomi mkuu.naongelea uzoefu wangu. Kuosha magar huna haja ya kuwazia usiku. Ni kuwah kijiweni tuAksante sana nimekuelewa wewe unaongea kisomi mimi naongea kihiyo hivyo hakuna siku hata moja tunaweza kuelewana. Asante sana kwa majadiliano yetu na kwa topic hii nakuwa kama tatty
Unakumbuka huyu jamaa kakueleza nini?== Nikicheza vibaya, miaka 30 hii hapa ==ina maana bado hujapevukaSijaongea kisomi mkuu.naongelea uzoefu wangu. Kuosha magar huna haja ya kuwazia usiku. Ni kuwah kijiweni tu