Hakuna mwenye CCM, kinachofata kitaduwaza wengi

Hakuna mwenye CCM, kinachofata kitaduwaza wengi

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,267
Reaction score
14,275
Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
 
Anaye fikiri ccm inawenyewe anapoteza Muda na uwenda haijuwi ccm.
Kama ccm inawenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Tunataka vitendo. Wakati mnajipanga nao wanajipanga.

Akina Nape ndo washarudi hivyo.

Safari hii wako makini sana.
 
Hiki chama mwanzoni tuliaminishwa kuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi!

Ila kwa awamu kadhaa sasa kimeingia kwenye mikono ya watekaji wabaya na makatili kupitiliza.
Watekaji wa kwanza walikuwa ni matajiri na wafanyabiashara wakubwa (akina Rostam Aziz, Lowasa, and Co. Ltd), Baadaye wakaja Sukuma Gang wakishirikiana kwa ukaribu na Mataga na waimba mapambio! Na kwa sasa chama kipo mikonono mwa Wakojan na Msoga Gang!!

Yaani ni bandika bandua! Hatupewi kabisa wasaa wa kupumzika! Na hawa watekaji wote wapo kwa ajili ya maslahi yao tu! Na siyo kwa ajili ya maslahi ya Taifa. Katiba Mpya ya Wananchi kwa sasa haikwepeki.
 
Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
statement ya hoyo kbsa hii,, unazan familia ya nyere ina msoto kama yako ???wale wanapata zaid ya marupurup ya spika wana haja gan kuhangaika na manainch????
 
Umenuna? Bora akina Nape kuliko watekaji.
Aliyemnyooshea NAPE pistol alikuwa nani kweli? Na ilikuwa lini vile?

Aliyemteka na kung'oa meno na kucha ulimboka ilikuwa ni lini vile?

Waliokuwa wanaingia nyumba kwa nyumba Zenji kwa kuteka na kupoteza watu ilikuwa lini pia kama ungkumbuka?

Kama bado unanuka maziwa ya mama mdomoni, kacheze na wenzako wako kule mchangani. Watoto wazuri huwa hawasikilizi mazungumzo ya wakubwa. Sawa Eeeh!.
 
Letb It Be & Perhaps The Nation Will Be Healed. Intervention Is Highly Needed.
 
Wasukuma walituharibia sana nchi yetu. Wazee walidharirishwa sana, vijana tulibambikiwa kesi za kumtukana jiwe. Yaani mambo yalikuwa hovyo kabisa.

Tunaomba Mungu mbali na kutukomboa lakini wale waliohisika wakamatwe.

Hii hata Sabaya katika utetezi wake anasema alikuwa anatumwa na yule muovu shetani.
 
Back
Top Bottom