Bila katiba mpya ni kupoteza muda tu.Hiki chama mwanzoni tuliaminishwa kuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi!
Ila kwa awamu kadhaa sasa kimeingia kwenye mikono ya watekaji wabaya na makatili kupitiliza.
Watekaji wa kwanza walikuwa ni matajiri na wafanyabiashara wakubwa (akina Rostam Aziz, Lowasa, and Co. Ltd), Baadaye wakaja Sukuma Gang wakishirikiana kwa ukaribu na Mataga na waimba mapambio! Na kwa sasa chama kipo mikonono mwa Wakojan na Msoga Gang!!
Yaani ni bandika bandua! Hatupewi kabisa wasaa wa kupumzika! Na hawa watekaji wote wapo kwa ajili ya maslahi yao tu! Na siyo kwa ajili ya maslahi ya Taifa. Katiba Mpya ya Wananchi kwa sasa haikwepeki.
kwani sio mtanzania?Samia anajua NGOs hakijui Chama wala serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.Jamani hata Ridhiwani anakuwa Waziri!No,hii haikubaliki,hatuwezi kuchezewa namna hii,viongozi wenye uchungu na nchi hii mko wapi?
Ni mtanzania lakini ni muuzaji wa madawa ya kulevya.kwani sio mtanzania?
Kuwa kichaa sio mpaka usijuwe kutumia smartphoneWasukuma walituharibia sana nchi yetu. Wazee walidharirishwa sana, vijana tulibambikiwa kesi za kumtukana jiwe. Yaani mambo yalikuwa hovyo kabisa.
Tunaomba Mungu mbali na kutukomboa lakini wale waliohisika wakamatwe.
Hii hata Sabaya katika utetezi wake anasema alikuwa anatumwa na yule muovu shetan
Ndiyo na mke wangu ni Shunie
Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Uko busy kuhangaika na tu thread uchwara wiki hii yote.Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Huwa najiuliza kila wakati,kuharibu ama kuhatarisha nchi ni kufanya tendo lipi?Hao wanaoilinda nchi isiingie hatarini ni akina nani na hupatikanaje?Wanapatikanaje na wanasimamiwa na nani?Wao ni super Tanzanians?Mwenye CCM ni mwenyekiti na CC yake. Ukishika hapo vizuri mambo mengine yote mtelezo.
Labda uzingue saaaana kiasi cha TPDF na kaunda suti (wazalendo uchwara) waanze kujiuliza kama unahatarisha nchi.
Ni Mtanzania lakini too bogus.His place is in the streets.kwani sio mtanzania
Ccm ni ya Chikwete, mzee wa ubatizo wa moto, mzee mwenye asili ya Somalia na kikundi chaoAnayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Unaonaje ukifafanua.Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Hujitambui ebu Rudi wakati wa kikwete uone watu wangapi waliumizwaWasukuma walituharibia sana nchi yetu. Wazee walidharirishwa sana, vijana tulibambikiwa kesi za kumtukana jiwe. Yaani mambo yalikuwa hovyo kabisa.
Tunaomba Mungu mbali na kutukomboa lakini wale waliohisika wakamatwe.
Hii hata Sabaya katika utetezi wake anasema alikuwa anatumwa na yule muovu shetani.
Mmmh basi sasa,msimsingizie Magufuli kwa kila kitu,mkosee maisha wenyewe toka mwanzo mje mpeleke hasira zenu kwa magu.Wasukuma walituharibia sana nchi yetu. Wazee walidharirishwa sana, vijana tulibambikiwa kesi za kumtukana jiwe. Yaani mambo yalikuwa hovyo kabisa.
Tunaomba Mungu mbali na kutukomboa lakini wale waliohisika wakamatwe.
Hii hata Sabaya katika utetezi wake anasema alikuwa anatumwa na yule muovu shetani.
Mimi ni zaidi ya baba yako,kuwa na heshima bintiWe mtoto mdogo, tulia wakubwa wanazungumza.
Hujui kitu.
Ngoja tusubiri tuAnayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
KaceWenyewe wapo sema hawataki kujitokeza.
Ila watoto wao baadhi wameula
Kikwete ni Msomali?Ccm ni ya Chikwete, mzee wa ubatizo wa moto, mzee mwenye asili ya Somalia na kikundi chao