Dogo rudisha hii avatar picha yako ya mwanzo mwanzoNgoja tuone...
Dogo rudisha hii avatar picha yako ya mwanzo mwanzoNgoja tuone...
King Julian...Dogo rudisha hii avatar picha yako ya mwanzo mwanzoView attachment 2074634
Saivi umeoa?King Julian...
One of my favorite cartoon...
Hapo nilikua single...
Umeamua kuanzisha uzi wa uongo ili upate faida gani ?Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
We muhaini utafikiwa kabla na task forceAnayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Kati ya wenye CCM Leo,familia ya Nyerere haimo mkuu!Ni family friend TU,kama ilivyo kina Kawawa !Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Punguani wewe!Hujui kitu
We mtoto mdogo, tulia wakubwa wanazungumza.Punguani wewe!
Anadhani hawajui basi? Anawajua sema atafanyaje sasa?Wenyewe si ndio kina Nape na Co.
Ccm ina wenyewe,na jk ndiye mwenye ccm kwa sasa!Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Samia anajua NGOs hakijui Chama wala serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.Jamani hata Ridhiwani anakuwa Waziri!No,hii haikubaliki,hatuwezi kuchezewa namna hii.Viongozi wenye uchungu na nchi hii mko wapi?Hiyo kauli ilisemwa hadharani na Mama Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM.
Una maana ya kuwa mwenyekiti hakijui chama chake vizuri?
Mbona hueleweki?!!!Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Wacha tu ajichukulie ardhi ya kutosha kwa ajili ya petrol stationsSamia anajui NGOs hakijui Chama Wala serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.Jamani hata Ridhiwani anakuwa Waziri.No,hii haikubaliki,hatuwezi kuchezewa namna hii,viongozi wenye uchungu na nchi hii mko wapi?
Leo zamu ya Nani kusafisha kabuli hapo chato?Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Hizi ndio kauli za kiume tunazotakiwa kuzisikia saa hi,Anayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Wewe CCM INAWENYEWE FAMILI YA NYERERE NDIO WALIINYANG'ANYWA CCM IKAENDA KWA WENYE NAYOAnayefikiri CCM ina wenyewe anapoteza Muda na huenda haijui CCM.
Kama CCM ina wenyewe basi familia ya Nyerere ndio wenye chama....
Ila ikiwa mwanzilishi wa hili Taifa familia yake haipo popote basi tulieni muone kitatokea.
Leo zamu ya Nani kusafisha kabuli hapo chato?
Wewe au Suzy Elias?
Tulia ivo ivo, soon kuna uchunguzi wa kifo cha Ben Saanane unaenda kuanzishwa! Mtaita maji mmaaa safari hii