We nadhani unaota kufananisha barmaid na wake zetu, angekuwa mwanamke wa busara asinge sogea hata siku moja kufanya kazi pale wako walevi...Sehemu ya walevi ni sehemu ya vichaa tu utasikia matusi, makelele, ugomvi, malaya wanaenda jiuza sa sehemu hizo ni kweli mtu ana akili yake atasogea? We si huna akili ndo mana unaona kwenda bar na kulewa sawa.
We kama una akili kama unavyo dai, hebu niambie toka umenza kulewa umepata faida gani, zaidi ya kuzipoteza pesa zako.
Mwanamke ambaye ana heshima zake hawezi enda sehemu za walevi hata siku moja, hata kama kakosa chakula cha kulisha wanae, mana pale atapapaswa ******, atatongozwa yani atafanyiwa dharau za kila aina mana pale hata mwanaume anaweza kutoa u b o wake, akamuambia njoo unyonye hapa :biggrin: