Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Maneno ya mlevi hayo
Snow... hebu malizia kazi unayoifanya bana alafu uanze kuusoma huu uzi vizuri...Kichwa cha habari sio maneno yangu mimi.. ni maneno niliyomnukuu Dada yake Mangi.
:focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus: wacha maswali ya kinyaaa nakuheshimu sana nisije kukujibu upumbavu bure.Na vipi ukisikia mume anagongwa nje?
wacha maswali ya kinyaaa
Nimekusoma mkuu King Kong.... tafsiri ya baamedi sio mbaya kama ukitaka kuiweka hivyo..ila kwa hapa mtaani tunamjua ni dada yake mangi.... ningetaka hiyo tafsiri ya baamedi nisingeandika dada yake mangi... ila kama unamuona kwa mtazamo huo sio mbaya pia.
nimeusoma vizuri tu!na nilichokumind ni pale unaposema na wewe ni mhanga na hili,hebu rudia hapa kwa ufafanuzi zaidi nilinyanyuka na kumuaga, ila kwa kweli usiku nimelala natafakari aliyoniambia bado simuamini..ila mwenye kujua hili ebu nifungueni akili nini kinaendelea kwa wake zetu jamini.
Hasante..ndio maana nikasema Kontena..... hana leseni ya kuuza vilevi.Mkuu whether awe dada yake mangi au dada yake sarikoki kama anatoa services(huduma) kuwahudumia wateja yeye ni barmaid........
Google:
•bar·maid/ˈbärˌmād/
Noun:
A waitress who serves drinks in a bar
A woman bartender
•A bartender, barman, or barmaid, is a person who serves usually alcoholic drinks behind a counter in a bar, pub, grocery, ...
Hasante..ndio maana nikasema Kontena..... hana leseni ya kuuza vilevi.
Du! ni wewe.... na kusuguliwa kote masaa mawili bado tu... haya bana
Hata mimi nilidhani alipewa point na wanawake wa mana kumbe barmaid, kwa hio hapo atakuwa alisha lewa sana na hajui anacho ongea :biggrin:Khaa kumbe ulikua unaongea na Barmaid?
ah nahisi hii hoja hujajipanga best!hebu kuja vizuri!
Hata mimi nilidhani alipewa point na wanawake wa mana kumbe barmaid, kwa hio hapo atakuwa alisha lewa sana na hajui anacho ongea :biggrin:
Jana mida ya jioni kama kawaida nilitoka kuelekea hapo contena kwa mangi...... huwa tunahudumiwaga na dada yake mangi ambaye alikuja mjini siku nyingi na toka aje shughuli zake zimekua ni kuhudumia baa mbalimbali na maarufu hapa mjini.
Huyu dada ni rafiki ya wanaume wengi walioko kwenye ndoa maana huwa anajua mambo mengi na anatusaidia kuondoa stresi kwa utani na masihara yake.
Kama kawaida nilipofika tu akaniletea kesto yangu baridi na yeye akavutakiti akakaa pembeni na kuanza kunipaumbea kwa yaliyotokea mtaani kwa wiki nzima.....Ila kuna kipengele kilinishtua sana.
Naomba nimnukuu hicho kipengele.... '' Unajua baba... sisi wanawake ni wadhaifu sana.....nina uakika katika wanawake 100 labda ni mmoja tu ndio atakua hajatoka nje ya ndoa'' mwisho wa kunukuu.
Baada ya kumbishia..akaanza kunipa data za uzoefu wake na wateja mbalimbali na hata wakeza watu wanaogongwa na vijana hapo mtaani....jasho lilinitoka sana... nikamkatiza isijeikawa na wangu yuko kwene list....nilinyanyuka na kumuaga, ila kwa kweli usiku nimelala natafakari aliyoniambia bado simuamini..ila mwenye kujua hili ebu nifungueni akili nini kinaendelea kwa wake zetu jamini.
na yeye akavutakiti akakaa pembeni na kuanza kunipaumbea kwa yaliyotokea mtaani kwa wiki nzima.....
Naomba nimnukuu hicho kipengele.... '' Unajua baba... sisi wanawake ni wadhaifu sana.....nina uakika katika wanawake 100 labda ni mmoja tu ndio atakua hajatoka nje ya ndoa''
Hap kwenye red kweli umenishangaza, mwanaume na umbea wapi na wapi? Hapo blue hapo alikuwa anaongelea wanawake wa aina yake, I mean wahudumu wa bar na sio wanawake wote
Uliona wapi barmaid akawa mwanamke wa mana!Wanawake wa maana ni wepi? Mbona mnazarau kazi za wenzenu! Sio kila baamedi ni malaya! Wengine ni watu na heshima zao. Kwa taarifa tu ni walinzi wa waume wengi sana tu! Niulize ntakwambia!