dos santos
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 256
- 128
Manyerere Jackton unapoteza muda wako bure,
humu wengi ni waropokaji na wala si wafuatiliaji wa taarifa.
Jana na leo asubuhi ktk taarifa ya habari ya TBC1, Mwamunyange alionekana
na kuzungumza pia. Wakati wa uzinduzi wa uwanja wa ndege wa kurusha ndege za
kivita huko morogoro. Aliyefungua uwanja huo ni Rais Kikwete. Mwamunyange ameonekana mwenye afya njema na mchangamfu kama kawaida yake. Jeshi halifanyi kazi kwa matakwa ya kisiasa.
humu wengi ni waropokaji na wala si wafuatiliaji wa taarifa.
Jana na leo asubuhi ktk taarifa ya habari ya TBC1, Mwamunyange alionekana
na kuzungumza pia. Wakati wa uzinduzi wa uwanja wa ndege wa kurusha ndege za
kivita huko morogoro. Aliyefungua uwanja huo ni Rais Kikwete. Mwamunyange ameonekana mwenye afya njema na mchangamfu kama kawaida yake. Jeshi halifanyi kazi kwa matakwa ya kisiasa.
Narudia, sija comment uzi wa Ben. Kama hiyo aya ipo, iweke hapa. Acha uzushi. Kuhusu Jenerali, yule hafanyi mambo kwa mihemko ya kisiasa. Muda huu ni sensitive sana. Anaratibu mipango ya kuivusha nchi kwenye uchaguzi mkuu. Hawezi kujiingiza kwenye malumbano yenu yasiyo na kichwa wala miguu. Mtajua kama yupo baada ya kazi. JWTZ si mgambo. Kuweni makini mnapojadili chombo hiki na viongozi wake.
Last edited by a moderator: