Hakuna mtu mnafiki kama Manyerere Jackton

Hakuna mtu mnafiki kama Manyerere Jackton

Unaonaje Wewe Ukaenda Upanga pale Ukaulizie? Mbona ni Suala dogo tu! Shida kama ni kumuona Jamaa Nendeni pale.

Kama huna comment ni bora tu ukakaa kimya,siyo lazima na wewe uonekane eti ume comment,unataka watanzania wote waende upanga kumuulizia mkuu wa majeshi? Usione watu wapo kimya mkadhani ni wajinga kiasi hicho,baada ya 25/10/2015.Utawaona watanzania sasa wanaenda upanga kumuulizia,si kila mtanzania atakuja humu na thread kutaka ajue alipo jenerali,time will tell.
 
Kwa alichomfanya mama mmoja Wa kizungu aliyekua anafuatilia manyanyaso wanayoyapata wamasai kutoka kwa waarabu Loliondo
Manyerere kwangu ni Nyang'au tu

Mbona unadonoa mkuu? Hili ni jukwaa huru,anika uchafu wake hapa kwa kina tujue alimfanyia nini huyo mama wa kizungu ili watu wamjue vizuri.
 
Kama huna comment ni bora tu ukakaa kimya,siyo lazima na wewe uonekane eti ume comment,unataka watanzania wote waende upanga kumuulizia mkuu wa majeshi? Usione watu wapo kimya mkadhani ni wajinga kiasi hicho,baada ya 25/10/2015.Utawaona watanzania sasa wanaenda upanga kumuulizia,si kila mtanzania atakuja humu na thread kutaka ajue alipo jenerali,time will tell.
sasaa kama watu wote hamtaki kwenda Upanga Yanini kuja kulalamika huku? Au Huku ndipo ilipo wizara ya Ulinzi? Au unadhani huku ndipo zilipo ofisi Za Mwamunyange? Wakati mwingine msihalalishe upuuzi we nu uonekane no sahihi.. Jeshi halifungamani na Siasa.. Rudi katafute umaarufu mwingine Keisha njoo tena na akili zako ndogo
 
sasaa kama watu wote hamtaki kwenda Upanga Yanini kuja kulalamika huku? Au Huku ndipo ilipo wizara ya Ulinzi? Au unadhani huku ndipo zilipo ofisi Za Mwamunyange? Wakati mwingine msihalalishe upuuzi we nu uonekane no sahihi.. Jeshi halifungamani na Siasa.. Rudi katafute umaarufu mwingine Keisha njoo tena na akili zako ndogo

Tatizo unataka kujifanya unajua wakati hujui kitu wewe ni zero brain,yule dogo aliyekamatwa aliiambia mahakama kuwa kama alipost uongo basi jenerali aonekane public na kisha wamhukumu kwa haki,lakini kwa kuwa general hayupo,he can not appear publicly mwenye akili ndogo ni wewe na wazazi wako wa ccm,ninyi mitoto ya makada wa ccm huwaga hamna akili hata kidogo! Unataka kuonekana unajua kumbe ubongo wako umejaa kinyesi,all in all zimebaki siku 5 muikimbie nchi najua Lowassa akiingia ikulu hamtakaa Tanzania majizi wakubwa nyie,kama Lowassa angekuwa fisadi na kwa jinsi mlivyo na hasira naye mngemfunga,ila kwa kuwa mnazusha mtabaki kupiga kelele tu,54 yrs with 0
 
Kwanza niseme, hakuna mahali nimemsema Ben Sanane. Hakuna. Pili, nimejaribu kusoma alichokileta mtoa mada,sioni connection yoyote ya alichoandika na unafiki wangu. Sioni kabisa. Nadhani mleta mada ana husda tu. Jenerali Mwamunyange yupo nchini. Hawezi kujianika kama mwanasiasa. Subirini tu siku mtu anaapishwa mtamwona.
 
Alileta thread humu eti mkuu wa majeshi angewasili 16/10/2015.Tukio la mkuu wa majeshi kuwasili kutoka ziara ndefu ya ughaibuni lazima liambatane na kuonekana ktk vyombo vya habari kama TV na magazeti,lakini yote haya hayakuonekana utadhani aliyerudi ni mwenyekiti wa kijiji,Ben Saanane kaweka uzi kwa kuipa serikali siku 7 mkuu wa majeshi awe kaonekana au la ataanzisha kampeni maalumu ya # Bring back our General,anakuja manyerere na kumponda Ben saanane akidai eti anatafuta umaarufu humu JF baada ya umaarufu wake kupotea,sasa namuuliza manyerere kama Ben anatafuta umaarufu kwa kitu kisichokuwepo na yeye alisema jenerali amerudi basi yeye kama mwandishi nguli aweke ushahidi humu au ktk gazeti lake la jamhuri kuhusu ujio wa jenerali na siyo kubwabwaja kinafiki humu hana hata aibu,na serikali haiwezi kutoa namba za simu za msemaji wa jeshi eti anayetaka kujua alipo jenerali alipo ampigie msemaji huyo,huo ni mtego ili kuwanasa vimbelembele,manyerere acha unafiki unadhalilisha sana fani ya uandishi,hufai kabisa.

Uongo uliopindukia. Usinichonganishe na Ben. Weka aya hiyo niliyoandika kumhusu Ben. Kama huna omba radhi. Uongo ni kitu kibaya sana.
 
Kwanza niseme, hakuna mahali nimemsema Ben Sanane. Hakuna. Pili, nimejaribu kusoma alichokileta mtoa mada,sioni connection yoyote ya alichoandika na unafiki wangu. Sioni kabisa. Nadhani mleta mada ana husda tu. Jenerali Mwamunyange yupo nchini. Hawezi kujianika kama mwanasiasa. Subirini tu siku mtu anaapishwa mtamwona.

Acha kujishtukia wewe Kanjanja,huyo Mkuu wa Majeshi yupo eda au mwali mpaka asionekane hadharani?kwani kuna ugumu gani wa yeye kujitokeza hadharani ili kuondoa hizi sintofahamu na maneno ya kizushi yanayoendelea?. Wewe ni mnafiki na mchumia tumbo na mwenye ndimi mbili.
 
Uongo uliopindukia. Usinichonganishe na Ben. Weka aya hiyo niliyoandika kumhusu Ben. Kama huna omba radhi. Uongo ni kitu kibaya sana.

Mimi niwe muongo ili iweje? Umesahahau ktk comment yako kwenye uzi wa Ben ulisema kuwa Ben anatafuta umaarufu tu hapa JF,sina haja ya ku quote ulichoandika ila ulisema,na unaposema nakuchonganisha na Ben unadhani Ben hakusoma comment yako? Kuna vitu bro unataka kujidhalilisha bure tu,ujio wa mkuu wa majeshi katikati ya mkanganyiko uliopo hadi yule kijana ana kesi mahakamani kwa kuambiwa amezusha lazima general angeonekana hadharani,hoja si kuwa mwanasiasa,bali yeye ni public figure na hasa kwa jinsi ccm wanavyopenda sifa na safari hii wameshikwa pabaya lazima general angeonekana tu! Huyo ni mtu mzito sana ktk jamii siyo lazima awe mwanasiasa,kwa hiyo kama ulikuwa na ushahidi na ujio wake tena wewe ni mwandishi ungeweka na jamii ikaamini kuwa kweli amerudi,otherwise sifuti kauli yangu wewe bado ni mnafiki na unatumika na ccm.
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja fumbo hili tutalifumbua baada ya uchaguzi
 
Hahahaha...! Juzi kati kulikuwa na issue flani mahali flani,kiongozi mmoja wa usalama wa raia kimkoa pia alikuwepo,kuna mkuu mmoja wa taasisi fulani akaomba kunon’gonezwa na mkuu huyo kuhusu tetesi zinazo muhusu mwamu...daaah alichojibu ingawaje ni kwa ufupi....daaaahh....kweli ccm hawana dini wala mungu!
 
Alileta thread humu eti mkuu wa majeshi angewasili 16/10/2015.Tukio la mkuu wa majeshi kuwasili kutoka ziara ndefu ya ughaibuni lazima liambatane na kuonekana ktk vyombo vya habari kama TV na magazeti,lakini yote haya hayakuonekana utadhani aliyerudi ni mwenyekiti wa kijiji,Ben Saanane kaweka uzi kwa kuipa serikali siku 7 mkuu wa majeshi awe kaonekana au la ataanzisha kampeni maalumu ya # Bring back our General,anakuja manyerere na kumponda Ben saanane akidai eti anatafuta umaarufu humu JF baada ya umaarufu wake kupotea,sasa namuuliza manyerere kama Ben anatafuta umaarufu kwa kitu kisichokuwepo na yeye alisema jenerali amerudi basi yeye kama mwandishi nguli aweke ushahidi humu au ktk gazeti lake la jamhuri kuhusu ujio wa jenerali na siyo kubwabwaja kinafiki humu hana hata aibu,na serikali haiwezi kutoa namba za simu za msemaji wa jeshi eti anayetaka kujua alipo jenerali alipo ampigie msemaji huyo,huo ni mtego ili kuwanasa vimbelembele,manyerere acha unafiki unadhalilisha sana fani ya uandishi,hufai kabisa.

Ndiyo unajua leo mkuu? Jamaa ni mnafki sana, sema wengne tuna Hekima kama ya rais Lowasa, hatuwez sema Mengi
 
Wewe Mara Ngapi Cdf Alionyeshwa Kwenye Media Akiwa Anarudi Mpaka Useme Kurudi Kwake Lazima Kuambatane Na Kuonyeshwa Kwenye Media?
 
Mimi niwe muongo ili iweje? Umesahahau ktk comment yako kwenye uzi wa Ben ulisema kuwa Ben anatafuta umaarufu tu hapa JF,sina haja ya ku quote ulichoandika ila ulisema,na unaposema nakuchonganisha na Ben unadhani Ben hakusoma comment yako? Kuna vitu bro unataka kujidhalilisha bure tu,ujio wa mkuu wa majeshi katikati ya mkanganyiko uliopo hadi yule kijana ana kesi mahakamani kwa kuambiwa amezusha lazima general angeonekana hadharani,hoja si kuwa mwanasiasa,bali yeye ni public figure na hasa kwa jinsi ccm wanavyopenda sifa na safari hii wameshikwa pabaya lazima general angeonekana tu! Huyo ni mtu mzito sana ktk jamii siyo lazima awe mwanasiasa,kwa hiyo kama ulikuwa na ushahidi na ujio wake tena wewe ni mwandishi ungeweka na jamii ikaamini kuwa kweli amerudi,otherwise sifuti kauli yangu wewe bado ni mnafiki na unatumika na ccm.

Narudia, sija comment uzi wa Ben. Kama hiyo aya ipo, iweke hapa. Acha uzushi. Kuhusu Jenerali, yule hafanyi mambo kwa mihemko ya kisiasa. Muda huu ni sensitive sana. Anaratibu mipango ya kuivusha nchi kwenye uchaguzi mkuu. Hawezi kujiingiza kwenye malumbano yenu yasiyo na kichwa wala miguu. Mtajua kama yupo baada ya kazi. JWTZ si mgambo. Kuweni makini mnapojadili chombo hiki na viongozi wake.
 
Huyu bwana Pumba kweli, bora hata zingekuwa pumba za mahindi lakini pumba zenyewe za kunde.
 
Wewe Mara Ngapi Cdf Alionyeshwa Kwenye Media Akiwa Anarudi Mpaka Useme Kurudi Kwake Lazima Kuambatane Na Kuonyeshwa Kwenye Media?

Issue angalau aonekane kwenye hafla za kikazi. Any other way rumors will persist.
 
Back
Top Bottom