Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,696
Alileta thread humu eti mkuu wa majeshi angewasili 16/10/2015.Tukio la mkuu wa majeshi kuwasili kutoka ziara ndefu ya ughaibuni lazima liambatane na kuonekana ktk vyombo vya habari kama TV na magazeti,lakini yote haya hayakuonekana utadhani aliyerudi ni mwenyekiti wa kijiji.
Ben Saanane kaweka uzi kwa kuipa serikali siku 7 mkuu wa majeshi awe kaonekana au la ataanzisha kampeni maalumu ya #Bring back our General.
Anakuja Manyerere na kumponda Ben Saanane akidai eti anatafuta umaarufu humu JF baada ya umaarufu wake kupotea,sasa namuuliza manyerere kama Ben anatafuta umaarufu kwa kitu kisichokuwepo na yeye alisema Jenerali amerudi basi yeye kama mwandishi nguli aweke ushahidi humu au ktk gazeti lake la Jamhuri kuhusu ujio wa Jenerali na siyo kubwabwaja kinafiki humu hana hata aibu,na serikali haiwezi kutoa namba za simu za Msemaji wa Jeshi eti anayetaka kujua alipo Jenerali alipo ampigie msemaji huyo.
Huo ni mtego ili kuwanasa vimbelembele, Manyerere acha unafiki unadhalilisha sana fani ya uandishi,hufai kabisa.
Ben Saanane kaweka uzi kwa kuipa serikali siku 7 mkuu wa majeshi awe kaonekana au la ataanzisha kampeni maalumu ya #Bring back our General.
Anakuja Manyerere na kumponda Ben Saanane akidai eti anatafuta umaarufu humu JF baada ya umaarufu wake kupotea,sasa namuuliza manyerere kama Ben anatafuta umaarufu kwa kitu kisichokuwepo na yeye alisema Jenerali amerudi basi yeye kama mwandishi nguli aweke ushahidi humu au ktk gazeti lake la Jamhuri kuhusu ujio wa Jenerali na siyo kubwabwaja kinafiki humu hana hata aibu,na serikali haiwezi kutoa namba za simu za Msemaji wa Jeshi eti anayetaka kujua alipo Jenerali alipo ampigie msemaji huyo.
Huo ni mtego ili kuwanasa vimbelembele, Manyerere acha unafiki unadhalilisha sana fani ya uandishi,hufai kabisa.