Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
There is no free lunch ni lazima mtu atoke jasho na ajue namna ya kuishi kwa nidhamu.Watanzania wengi walikuwa wanafikiri kodi ni kitu cha watu wengine! Sasa ndiyo wanajua ni lazima kulipa kodi. Zile risiti ambazo tulikuwa hatuziombi ni pesa ambazo serikali imekosa na sasa tunalipa wote.
Wale machinga ambao mlikuwa mnawashangilia wauze bila kodi sasa ndiyo mnajua kwamba wasikolipa wale utalipa wewe maana ni lazima mtu alipe.
Lakini vilevile zile shangingi na magari ya kifahari pesa ndizo zinatoka hivi. Uchungu sasa mnajua tuache kulalamika sana
Kodi ingeweza kabisa isiwekwe kwenye miamala na kuwekwa kwingine na bado huko ambapo ingewekwa kungekuwa na kilio hiki hiki cha sasa.