Hakuna Mlipa Kodi anayependa kodi! Serikali na wananchi wajue hili

Watanzania wengi walikuwa wanafikiri kodi ni kitu cha watu wengine! Sasa ndiyo wanajua ni lazima kulipa kodi. Zile risiti ambazo tulikuwa hatuziombi ni pesa ambazo serikali imekosa na sasa tunalipa wote.

Wale machinga ambao mlikuwa mnawashangilia wauze bila kodi sasa ndiyo mnajua kwamba wasikolipa wale utalipa wewe maana ni lazima mtu alipe.

Lakini vilevile zile shangingi na magari ya kifahari pesa ndizo zinatoka hivi. Uchungu sasa mnajua tuache kulalamika sana
There is no free lunch ni lazima mtu atoke jasho na ajue namna ya kuishi kwa nidhamu.

Kodi ingeweza kabisa isiwekwe kwenye miamala na kuwekwa kwingine na bado huko ambapo ingewekwa kungekuwa na kilio hiki hiki cha sasa.
 
There is no free lunch ni lazima mtu atoke jasho na ajue namna ya kuishi kwa nidhamu.

Kodi ingeweza kabisa isiwekwe kwenye miamala na kuwekwa kwingine na bado huko ambapo ingewekwa kungekuwa na kilio hiki hiki cha sasa.

Hahahaa haa 😂😂.

Chawa watatokea tena kushangilia sana.

Hawajui nini wanachotaka au nini hawataki.

Hiiiiii bagosha!
 
Watanzania wengi walikuwa wanafikiri kodi ni kitu cha watu wengine! Sasa ndiyo wanajua ni lazima kulipa kodi. Zile risiti ambazo tulikuwa hatuziombi ni pesa ambazo serikali imekosa na sasa tunalipa wote.

Wale machinga ambao mlikuwa mnawashangilia wauze bila kodi sasa ndiyo mnajua kwamba wasikolipa wale utalipa wewe maana ni lazima mtu alipe.

Lakini vilevile zile shangingi na magari ya kifahari pesa ndizo zinatoka hivi. Uchungu sasa mnajua tuache kulalamika sana
Kodi ya VAT inakatwa. Na tozo juu! Kama kodi imeshakatwa tozo ni ya Nini? Tena inaitwa tozo ya serikali kwani hiyo VAT ni ya nani?
 
Upuuzi mtupu, raha ya kulipa kodi upate chombo imara ambacho kitahoji na kusimamia matumizi ya kodi inayolipwa ipasavyo. Kwa bunge hili dhaifu la Ndugai lenye wabunge vilaza waliopita bila ya kuchaguliwa ni nani ambaye atakua na hamu ya kulipa kodi??
 
Watanzania wengi walikuwa wanafikiri kodi ni kitu cha watu wengine! Sasa ndiyo wanajua ni lazima kulipa kodi. Zile risiti ambazo tulikuwa hatuziombi ni pesa ambazo serikali imekosa na sasa tunalipa wote.

Wale machinga ambao mlikuwa mnawashangilia wauze bila kodi sasa ndiyo mnajua kwamba wasikolipa wale utalipa wewe maana ni lazima mtu alipe.

Lakini vilevile zile shangingi na magari ya kifahari pesa ndizo zinatoka hivi. Uchungu sasa mnajua tuache kulalamika sana
elimu ya kodi
 
Ni afadhali kuamua kulipa kodi stahiki bila shuruti.

Waulizeni yaliyowakuta awamu ilopita!
 
Atakuja tena mwenye kariba ya anko Maguu na ataagiza kurudi nyuma miaka 10-15 nakwambia itakuwa patashika nguo kuchanika

Jizoesheni kulipa kodi stahiki bila shuruti itawaweka huru na amani maisha yenu yote !
 
Awamu ilopita wafanyabiashara wakubwa walitwaliwa sijajua ni coincidence au mipango ya Mungu au ni vipi ?!

Anko Maguu ametuachia funzo kubwa sana , werevu hutafakari na kuchukua hatua kuepuka madhira!
 
Back
Top Bottom