Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

Niweke waz kaka! Watu wameacha nin? Ulitaja idad ya walioacha! Hv ni lazma kujiunga na hyo mifuko? Na naweza kujitoa kama nimeshajiunga? Mnisaidie jaman

Mifuko ipo kwa mujibu wa sheria yaani ukishaajiriwa tu mwajiri wako lazima apeleke makato ya mshahara wako na asipofanya hivyo anachukuliwa sheria
 
Haiwekani uache kazi ukiwa na umri wa miaka 25 usubili mpaka ufikishe miaka 55 huu ni wizi wa mchana na haukubaliki kabisa.
 
Watanzania wana matatizo sana, nani aliwadanganya eti Pension ni kama Bank?, kwamba unaweka leo na muda wowote ukijisikia unaenda kuchukua?. Kuchangia mifuko imewekwa kisheria na kuwa lazima kwa sababu kuu hizi ambazo zote ni katika kucover social distress/ problems:

1. Unaweza ukaumia kazini na ukashindwa kabisa kuendelea na kazi maisha yako yote, fungu lako liliko katika hifadhi litakuhifadhi.
2. Unaweza ukafariki (wote tutakufa), na bahati mbaya hujajipanga au hata kama umejipanga..wale warithi wako wanapata walau pa kuanzia kupitia michango yako uliyokuwa ukichangia.
3. Ukazeeka na ukiwa hauna nguvu ya kuendelea kufanya kazi, lakini kupitia mifuko hii ukawa unapata pensheni ya kila mwezi ambayo ni kama ulivyokuwa ukipata msharhara japo itakuwa by 60-80% ya mshahara na marupurupu yako ya awali ila inasaidia kuliko kukaaa miaka hadi mia huna kipato chochote.
4. Kufaidika kwako binafsi Mfano NSSF jana wamezindua kukopesha SACCOS, PPF wanayo hiyo..so kama ni member na mko kwa SACCOS hizo mnakpoeshwa kisha unaendelea na maisha.
5. Kuwa sehemu ya msaada kwa jamii i.e Mifuko inajenga hospitals ambazo kama hazitakusaidia wewe basi mjomba, shangazi, kaka, dada au hata watoto wao etc etc.
6.nakadhalika.

Hawa wanaojifanya wanaacha kazi ili wachukue hela zao 'masikini ya Mungu' hawajui maana ya pension sheme. Inabidi mifuko ifanye kazi ya ziada kuwaelimisha kwa kina.

Hivi hizo hela unazokimbilia kuzichukua sasa hivi (i.e 10% ya kwako na 10% ya mwajiri) kama ungepewa kila mwezi sasa hivi ungekuwa nazo kweli?. Angalia salary slip yako kisha ujipe majibu..huenda ndo ingekuwa ya BAR, Mafuta ya gari, kuhonga, kununua nguo etc! But MIFUKO inatunza kwa niaba yetu, inafanya investments ili kuja ku-cover social distress that may happen now or in future na kukupatia mafao Bora.

Guys, be great thinkers ki kweli kweli na mjisumbue kufuatilia mambo. JF isiwe mahali pa kupoteza watu, kila jambo linawekwa kisiasa siasa tuu.
 
Jamani mie mama wa kwanza leo nina mawazo Lukuki....naomba mnipe pole na msaada wenu kimawazo
Baada ya kumtumikia mwajili wangu kwa miaka kadhaa na kuamini kuwa vile Vijisenti vyangu vya NSSF

Nikivipata pale nitakapoamua kuacha kazi vitaniweka mjini kabisaa niendeleze sekta ya vibusiness niliyoinzisha.
Juzi wamekuja kutuletea habari zao eti tujiandae kisaikolojia wanataka kupitisha sheria kuwa .
Sasa ukiacha kazi hela yako huchukii ……..
Ukifikisha miaka kumi kazini unaingizwa kwenye sijui pensheni
Na kama vile walivyo na akili za (.........) nispate Ban hapa wanadai sheria hii itaanza kutumika Asap
Unapewa 30% YA VIJISENTI vyako
Harafu zingine ukistaafu after 55 years unaanza kupewa ..vijipasenti
Ooh mama nimepata shock…..
Nawaza kuacha ajira nikiwa sijajiandaa yaani nimechoka
wana JF nipeni ushauri nasaha na vipimo wa haraka
Sitaki vijisenti vyangu vikaongezewe kulipa madeni ya serikali
aaaaaaaaaaaaaaaaaagh....
 
Jamani mie mama wa kwanza leo nina mawazo Lukuki....naomba mnipe pole na msaada wenu kimawazo
Baada ya kumtumikia mwajili wangu kwa miaka kadhaa na kuamini kuwa vile Vijisenti vyangu vya NSSF

Nikivipata pale nitakapoamua kuacha kazi vitaniweka mjini kabisaa niendeleze sekta ya vibusiness niliyoinzisha.
Juzi wamekuja kutuletea habari zao eti tujiandae kisaikolojia wanataka kupitisha sheria kuwa .
Sasa ukiacha kazi hela yako huchukii ……..
Ukifikisha miaka kumi kazini unaingizwa kwenye sijui pensheni
Na kama vile walivyo na akili za (.........) nispate Ban hapa wanadai sheria hii itaanza kutumika Asap
Unapewa 30% YA VIJISENTI vyako
Harafu zingine ukistaafu after 55 years unaanza kupewa ..vijipasenti
Ooh mama nimepata shock…..
Nawaza kuacha ajira nikiwa sijajiandaa yaani nimechoka
Asprin na wenzenu nipeni ushauri nasaha na vipimo wa haraka
Sitaki vijisenti vyangu vikaongezewe kulipa madeni ya serikali
aaaaaaaaaaaaaaaaaagh....
Hata mie nimesikia haya madude... Yaani wamenichanganya mbaya. Sijui mibunge ya CCM itapitisha huu mswada?

Na imekuwaje hii yuzifl sredi umeileta huku jukwaa la uchakachuzi?
 
Watanzania wana matatizo sana, nani aliwadanganya eti Pension ni kama Bank?, kwamba unaweka leo na muda wowote ukijisikia unaenda kuchukua?. Kuchangia mifuko imewekwa kisheria na kuwa lazima kwa sababu kuu hizi ambazo zote ni katika kucover social distress/ problems:

1. Unaweza ukaumia kazini na ukashindwa kabisa kuendelea na kazi maisha yako yote, fungu lako liliko katika hifadhi litakuhifadhi.
2. Unaweza ukafariki (wote tutakufa), na bahati mbaya hujajipanga au hata kama umejipanga..wale warithi wako wanapata walau pa kuanzia kupitia michango yako uliyokuwa ukichangia.
3. Ukazeeka na ukiwa hauna nguvu ya kuendelea kufanya kazi, lakini kupitia mifuko hii ukawa unapata pensheni ya kila mwezi ambayo ni kama ulivyokuwa ukipata msharhara japo itakuwa by 60-80% ya mshahara na marupurupu yako ya awali ila inasaidia kuliko kukaaa miaka hadi mia huna kipato chochote.
4. Kufaidika kwako binafsi Mfano NSSF jana wamezindua kukopesha SACCOS, PPF wanayo hiyo..so kama ni member na mko kwa SACCOS hizo mnakpoeshwa kisha unaendelea na maisha.
5. Kuwa sehemu ya msaada kwa jamii i.e Mifuko inajenga hospitals ambazo kama hazitakusaidia wewe basi mjomba, shangazi, kaka, dada au hata watoto wao etc etc.
6.nakadhalika.

Hawa wanaojifanya wanaacha kazi ili wachukue hela zao 'masikini ya Mungu' hawajui maana ya pension sheme. Inabidi mifuko ifanye kazi ya ziada kuwaelimisha kwa kina.

Hivi hizo hela unazokimbilia kuzichukua sasa hivi (i.e 10% ya kwako na 10% ya mwajiri) kama ungepewa kila mwezi sasa hivi ungekuwa nazo kweli?. Angalia salary slip yako kisha ujipe majibu..huenda ndo ingekuwa ya BAR, Mafuta ya gari, kuhonga, kununua nguo etc! But MIFUKO inatunza kwa niaba yetu, inafanya investments ili kuja ku-cover social distress that may happen now or in future na kukupatia mafao Bora.

Guys, be great thinkers ki kweli kweli na mjisumbue kufuatilia mambo. JF isiwe mahali pa kupoteza watu, kila jambo linawekwa kisiasa siasa tuu.
Unazungumza kwa niaba ya nani?
 
Mie nimechoka sina hamu nataka nichukue hela zangu mapema kabla bunge haligonga meza kukubaliana na huu mswada mchafu wa kukandamiza watu

NB: mwambie Mod aihamishie jukwaa husika watu waidadavue tujue mapema cha kufanya .
 
Unazungumza kwa niaba ya nani?




hebu nisaidie kumuuliza ... maana kama mimi sitaki tena kuajiriwa nimeamua kuwa mkulima ina maana hela yangu itakaa huko mpaka nifikishe miaka ya kustaafu... wezi wakubwa wanajenga majengo wanawekeza kwa kutumia hela yangu then hawanipi hata riba .... yanajilipa mishahara mikubwa na kupendeza mjini wakati sie tunaumia...
 
Hawa jamaa wanatumia masaburi kufikiri
Wajinga sana hata wakinipa ban poa waliopeleka muswada #"¿?"¢ zao
Wakome kutuzoea
 
Hili la kutaka wanachama wa mifuko ya jamii kuchukua michango yao wakifikisha umri wa miaka 55-60 halitakubalika kwa namna yoyote.

Serikali hii inabidi ijue kuwa nguvu ya vijana wa nchi hii ipo na labda wanachokoza ili waone nguvu hiyo ikoje.Kuna wanachama na viongozi wa CCM na serikali hii humu JF na ni muda muafaka wao kuishauri serikali yao kutokupeleka muswada huu wa ajabu bungeni.

Wakumbuke kuwa wafanyakazi wa serikalini na sekta inafsi wanatoka pande zote za siasa(tawala na upinzani) na endapo hili litafanyika basi serikali ijiandae kukabiliana na nguvu hii mchanganyiko.

Vitisho vinanvyotumika kuzima makundi yanayodai haki zao na propaganda zinazotumika havitasaidia katika hili...wafanyakazi wataungana kuionyesha serikali nguvu waliyo nayo.

Mtiririko wa matukio ya serikali dhidi ya wananchi,unaonyesha dalili za kushindwa kwa serikali kutawala watu wake katika misingi ya haki na sheria bali kuingiza hofu kwa wananchi wake,ili wasihoji uwajibikaji wa serikali kwa wananchi wake walioiweka madarakani.

Na hapo ndipo wananchi wengi wanaanza kukubaliana na kauli ya baadhi ya wanasiasa kuwa serikali hii sio sikivu bali dhaifu!

Mwandishi na mpigania haki maarufu wa kimarekani John Silas Reed aliwahi kusema,
"In the relations of a weak Government and a rebellious people there comes a time when every act of the authorities exasperates the masses, and every refusal to act excites their contempt"

Serikali inabidi iamze usingizini na kutumikia wananchi vyema na sio kufanya ujanja dhidi ya haki za wananch wake...la sivyo inaonekana matamshi hayo ya John Reed yanaelekea kuwa kweli hapa Tanzania.

 
Watanzania wana matatizo sana, nani aliwadanganya eti Pension ni kama Bank?, kwamba unaweka leo na muda wowote ukijisikia unaenda kuchukua?. Kuchangia mifuko imewekwa kisheria na kuwa lazima kwa sababu kuu hizi ambazo zote ni katika kucover social distress/ problems:

1. Unaweza ukaumia kazini na ukashindwa kabisa kuendelea na kazi maisha yako yote, fungu lako liliko katika hifadhi litakuhifadhi.
2. Unaweza ukafariki (wote tutakufa), na bahati mbaya hujajipanga au hata kama umejipanga..wale warithi wako wanapata walau pa kuanzia kupitia michango yako uliyokuwa ukichangia.
3. Ukazeeka na ukiwa hauna nguvu ya kuendelea kufanya kazi, lakini kupitia mifuko hii ukawa unapata pensheni ya kila mwezi ambayo ni kama ulivyokuwa ukipata msharhara japo itakuwa by 60-80% ya mshahara na marupurupu yako ya awali ila inasaidia kuliko kukaaa miaka hadi mia huna kipato chochote.
4. Kufaidika kwako binafsi Mfano NSSF jana wamezindua kukopesha SACCOS, PPF wanayo hiyo..so kama ni member na mko kwa SACCOS hizo mnakpoeshwa kisha unaendelea na maisha.
5. Kuwa sehemu ya msaada kwa jamii i.e Mifuko inajenga hospitals ambazo kama hazitakusaidia wewe basi mjomba, shangazi, kaka, dada au hata watoto wao etc etc.
6.nakadhalika.

Hawa wanaojifanya wanaacha kazi ili wachukue hela zao 'masikini ya Mungu' hawajui maana ya pension sheme. Inabidi mifuko ifanye kazi ya ziada kuwaelimisha kwa kina.

Hivi hizo hela unazokimbilia kuzichukua sasa hivi (i.e 10% ya kwako na 10% ya mwajiri) kama ungepewa kila mwezi sasa hivi ungekuwa nazo kweli?. Angalia salary slip yako kisha ujipe majibu..huenda ndo ingekuwa ya BAR, Mafuta ya gari, kuhonga, kununua nguo etc! But MIFUKO inatunza kwa niaba yetu, inafanya investments ili kuja ku-cover social distress that may happen now or in future na kukupatia mafao Bora.

Guys, be great thinkers ki kweli kweli na mjisumbue kufuatilia mambo. JF isiwe mahali pa kupoteza watu, kila jambo linawekwa kisiasa siasa tuu.

Kaka JF inapoteza kabisa mvuto, watu wanasema bila kufikiri, am happy angalau umeeleza kwa kirefu zaidi, watu wanatak hizo hela 10% za mishahara yao eti ndiyo wafanye maendeleo wakati 90% wameshindwa kuitumia kwa ajili hiyo! watu wa aina hii ukifanya utafiti, may be 2% yao wanweza kufanya walichokusudia zaidi ni pombe na kiti moto tu hakuna zaidi semeni msemavyo, ni club, pombe na ktm, kuhonga na kwenda gesti za kujificha hakuna matumizi ya maana!
 
Bargain,


Ukweli ni kwamba serikali ina mpango wa kupeleka bungeni marekebisho ya muswada wa sheria wa mafao ya wafanyakazi kama ulivyopitisha ba bunge ili sasa kufanya wafanyakazi wote wanaokatwa akiba ya mafao (PPF,NNSF, PSPF,LAPF,GEPF n.k) kulazimika kutopata mafao yao kama hawajatimiza umri wa kustaafu(55-60).Mpango huu unaletwa kwa sababu serikali yenu haina namna ya kufanya na ingependa kupata boost ya mapato toka mifuko hii ili kuleta pesa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Mpango huu wa aibu na kandamizi utawaathiri wafanyakazi zaidi ya 700000 serikalini lakini kwa kipekee utaathiri na kuua ndoto za wafanyakazi zaidi ya 3000000 walio katika sekta binafsi kama vile makampuni, NGOs na wale waliojiajiri wenyewe na ambao wanatumia mifuko hii.

Du, kweli serikali imejaa vilaza, watu dhaifu. Ina maana pamoja na raslimali zote tulizonazo hawaoni njia za kutafuta pesa kwa ajili ya kuendeshea nchi isipokuwa kwenye pesa za wafanyakazi ambazo wameweka akiba. Ikumbukwe kwamba hii ni pesa ya mtu ambayo amejiwekea kama vile mtu anavyoweka benki. Sasa kumfanya mtu asubirie hadi miaka 55-60 ndio apewe pesa yake si ni wizi huo? Wanajuaje kama mtu huyu atatimiza umri huu akiwa kazini? Kama akilazimika kuacha kazi kwa sababu zozote zile, unamzuiaje kuchukua pesa ambayo kimsingi ni yake na 'amekuazima' uitumie kwa biashara? Kwa mwndo huo, watabaki na wafanyakazi wa serikali tu...Wafanyabiashara wataamua kuwekeza zaidi ili wawe na security yao wenyewe in terms of investments and assets kuliko hiyo 'security ya kizushi' inayotolewa na mifuko hiyo.

Kwanza NSSF wanaonekana ni wnyonyaji tu maana hata huyo anayestaafu anapata malipo kiduchu tu ukilinganisha na mifuko kama LAPF na PSPF e.g. mtu anayestaafu na mshahara wa kama 2.5M anapata lumpsum ya 80 M na malipo ya kama 420,000 monthly thereafter LAPF au PSPF wakati mtu huyo huyo atapata lumpsum 'gratuity' ya 8M tu na malipo ya 450,000 monthly hv...unaiona hiyo tofauti hapo? Msingi wake ni upi? Halafu unaambiwa ukishaingia huruhusiwi kuhama, na sasa hapa tunaambiwa usipofikisha miaka 55-60.

What the hell is this?
 
Kwa kweli tuandamane nchi nzima
Hawa NSSf wamefulia naona sasa hawana pesa hata za kuwapa wanafakazi wanaoacha kazi.

Hayo mambo wawafanyie za serikalini kama wanavyowalazimisha mishahara kupitia NMB benki ya makabwela inayodhulumu wastaafu mafao.

Yaani am more than angry now, natarajia kuacha kazi mwakani ili NSSF yangu niitumie kwa mambo yangu?
 
Wana JF kumbukeni,

Bunge lilipitisha WAFANYAKAZI WA SERIKALI hawalipi kodi kwenye ALLOWANCES lakini PRIVATE lazima ulipe kodi ya allowances zote (eg house allowances e.tc).

Je TUKINYAMAZA katika hili la HELA ZETU si nalo litapitishwa?

Tuamke tutake kuelezwa ukweli na Serikali.

Huko huko serikalini kuna maeneo hizo allowances zenyewe hakuna tena siku hizi imebakia ni hadithi tu, labda kwa wale ambao post zao ni za kisiasa tu...

Anywayz, hili la kuingilia pesa ambayo kimsingi ni jasho la mtu mwenyewe nadhani inastahili kupingwa kwa nguvu zote.
 
Kwanini wasirekebishe muswada wa kiinua mgogo cha wabunge ambao kila miaka mitano wanapewa, yani mbunge achukue kiinua mgongo anapo malizana kabisa na siasa na endapo atarudi tena anatakiwa akirudishe hicho kiinua mgongo na atakapo maliza tena anapewa nusu yake kama mtu anaye resit mithiani naomba kuwasilisha

This is a point. Kama mbunge anapata kiinua mgongo kila anapomaliza awamu ya miaka mitano, kwa nini mfanyakazi anayemaliza mkataba aipate naye mafao yake. Kama atafanya kazi tena na akataka kujiunga na hizo security funds si ataanza upya?
 
Dah me mwenyewe jana tu ndo nilikuwa NSSF nacheck statement yangu... lol ngoja nifanye mpango wa kuitoa hata kama ni kidogo... maisha yenyewe haya mafupi afu et ukifikisha 55yrs ndo upewe... mimi charminglady ndo kwanzan iko kwenye twenties ni lini nitafika huko kwenye 55yrs.... dah its realy pain ni bora niache kazi saiv LOLEST............
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By

Bargain,


Ukweli ni kwamba serikali ina mpango wa kupeleka bungeni marekebisho ya muswada wa sheria wa mafao ya wafanyakazi kama ulivyopitisha ba bunge ili sasa kufanya wafanyakazi wote wanaokatwa akiba ya mafao (PPF,NNSF, PSPF,LAPF,GEPF n.k) kulazimika kutopata mafao yao kamahawajatimiza umri wa kustaafu(55-60).Mpango huu unaletwa kwa sababu serikali yenu haina namna ya kufanya na ingependa kupata boost ya mapato toka mifuko hii ili kuleta pesa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Mpango huu wa aibu na kandamizi utawaathiri wafanyakazi zaidi ya 700000 serikalini lakini kwa kipekee utaathiri na kuua ndoto za wafanyakazi zaidi ya 3000000 walio katika sekta binafsi kama vile makampuni, NGOs na wale waliojiajiri wenyewe na ambao wanatumia mifuko hii.

Very poor thinking in deed..ndoto unazijua ww?
Hebu msome huyu hapa

watu wanatak hizo hela 10% za mishahara yao eti ndiyo wafanye maendeleo wakati 90% wameshindwa kuitumia kwa ajili hiyo! watu wa aina hii ukifanya utafiti, may be 2% yao wanweza kufanya walichokusudia zaidi ni pombe na kiti moto tu hakuna zaidi semeni msemavyo, ni club, pombe na ktm, kuhonga na kwenda gesti za kujificha hakuna matumizi ya maana! by kibai

Kisha soma Post yangu ya kwanza kuchangia hapa.
 
Back
Top Bottom