Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
sasa ni bora umtume lile chupa kubwa la maji ya uhai, la lita 3.
Ewaaa! Au unatumana maji! Big up Umeichungulia hiyo!
sasa ni bora umtume lile chupa kubwa la maji ya uhai, la lita 3.
udhirehunduke kunu. Vakethije huko
Hata huyo mfanyakazi anaweza kukuzingua, akakwambia Boss maji kote hakuna! Hapo ni utamuagizia akuletee soda Sprite 3 hivi (Sprite atlist rangi yake iko km maji) basi unajiswafia vyoda!
Poa tu.
Salam, nikaribisheni jamani hapa kwenu..mie sie mtaalam,
Naanza na hii...wewe ni bosi na wafanyakazi wanakugaya sana, siku moja umeenda haja na baada ya kumaliza wataka kuflashi bahati mbaya hamna maji na kona zote maji yamekatika,ubaya kuna mfanyakazi naye anagonga anataka aingie maliwato...mzigo upo juu...ungefanya uamuzi gani?
Badae....