Hakuna kuhama mtu chama Akishindwa uchaguzi- Yerico Nyerere

Hakuna kuhama mtu chama Akishindwa uchaguzi- Yerico Nyerere

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
623
Reaction score
714
Kweli nimeamini mwanasiasa akikuambia sasa hivi ni usiku toka nje ukaangalie kama kweli kiza kimetanda

Aliyekuwa kada wa CHADEMA Yeriko Nyerere kipindi cha uchanguzi wa ndani wa chama chake hicho cha awali kutafuta mwenyekiti wa chama alikuwa upande wa Freeman

Alikuwa na kauli mbiu yake kipindi hicho cha uchaguzi kuwa ukipigwa hakuna kuhama chama

Lakini cha kushangaza mgombea wake kapigwa chini kaangukia pua kwenye uchaguzi huo leo hii Yeriko kahama chama kasaliti kauli yake kweli wanasiasa sio watu wa kuwaamini akikumbia muda huu ni usiku kama mpo ndani ya nyumba toka nje ukahakikishe kama kweli kiza kimeingia

Yeriko aliamini kuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kushinda Mbowe kwenye nafasi ya uwenyekiti sasa mgombea wake alipishindwa tena kwenye uchaguzi wa wazi kabisa ambao haujawahi kutokea kwenye historia ya nchi hii hakuamini macho yake

Baada ya hapo akaanza kuwa mpinzani wa CHADEMA na kuanza kukishambua chama hicho kwenye mitandao yake ya kijamii

Lakini chamois ameliorate maana raia walikuwa wakimpatia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza na kumpiga spana sawia kwenye post zake anazoiponda CHADEMA

Hatimaye leo Jumatau Agosti 06 2025 amesaliti kauli yake meenyewe aliyoisasi hakuna kuhama chama ukipigwa kwenye uchaguzi yeye ndio kahama chama na kujiunga na CHAUMA

Huyu mchawi sijui kakwama wapi? Au ndio mizimu yake ilimdanganya kuwa Mbowe atashinda? Matoke yale ya Tundu Lisu kuikuba mwenyekiti wa CHADEMA yamethihirisha kuwa Mungu wa mbinguni ni zaidi ya mizimu ya Yeriko ya dunia hii

Comasava
 
Walikuwa na uhakika asilimia 100 kuwa Mbowe atashinda. Bila kujua Lissu sio mtu wa kawaida.
Pamoja na yoote kuendesha CHAMA kwa nchi ambayo sehemu kubwa haitumii mihadarati kama hauna pesa ni kazi sana.
 
Kweli nimeamini mwanasiasa akikuambia sasa hivi ni usiku toka nje ukaangalie kama kweli kiza kimetanda

Aliyekuwa kada wa CHADEMA Yeriko Nyerere kipindi cha uchanguzi wa ndani wa chama chake hicho cha awali kutafuta mwenyekiti wa chama alikuwa upande wa Freeman

Alikuwa na kauli mbiu yake kipindi hicho cha uchaguzi kuwa ukipigwa hakuna kuhama chama

Lakini cha kushangaza mgombea wake kapigwa chini kaangukia pua kwenye uchaguzi huo leo hii Yeriko kahama chama kasaliti kauli yake kweli wanasiasa sio watu wa kuwaamini akikumbia muda huu ni usiku kama mpo ndani ya nyumba toka nje ukahakikishe kama kweli kiza kimeingia

Yeriko aliamini kuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kushinda Mbowe kwenye nafasi ya uwenyekiti sasa mgombea wake alipishindwa tena kwenye uchaguzi wa wazi kabisa ambao haujawahi kutokea kwenye historia ya nchi hii hakuamini macho yake

Baada ya hapo akaanza kuwa mpinzani wa CHADEMA na kuanza kukishambua chama hicho kwenye mitandao yake ya kijamii

Lakini chamois ameliorate maana raia walikuwa wakimpatia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza na kumpiga spana sawia kwenye post zake anazoiponda CHADEMA

Hatimaye leo Jumatau Agosti 06 2025 amesaliti kauli yake meenyewe aliyoisasi hakuna kuhama chama ukipigwa kwenye uchaguzi yeye ndio kahama chama na kujiunga na CHAUMA

Huyu mchawi sijui kakwama wapi? Au ndio mizimu yake ilimdanganya kuwa Mbowe atashinda? Matoke yale ya Tundu Lisu kuikuba mwenyekiti wa CHADEMA yamethihirisha kuwa Mungu wa mbinguni ni zaidi ya mizimu ya Yeriko ya dunia hii

Comasava
Hakujua kama chadema itakuwa na msimamo wa kipuuzi
 
Walikuwa na uhakika asilimia 100 kuwa Mbowe atashinda. Bila kujua Lissu sio mtu wa kawaida.
Lisu kawapiga mchana kweupee wamebakia hawaamini macho yao kweli Lisu sio wa kawaida 😄 🤣 😂
 
Kweli nimeamini mwanasiasa akikuambia sasa hivi ni usiku toka nje ukaangalie kama kweli kiza kimetanda

Aliyekuwa kada wa CHADEMA Yeriko Nyerere kipindi cha uchanguzi wa ndani wa chama chake hicho cha awali kutafuta mwenyekiti wa chama alikuwa upande wa Freeman

Alikuwa na kauli mbiu yake kipindi hicho cha uchaguzi kuwa ukipigwa hakuna kuhama chama

Lakini cha kushangaza mgombea wake kapigwa chini kaangukia pua kwenye uchaguzi huo leo hii Yeriko kahama chama kasaliti kauli yake kweli wanasiasa sio watu wa kuwaamini akikumbia muda huu ni usiku kama mpo ndani ya nyumba toka nje ukahakikishe kama kweli kiza kimeingia

Yeriko aliamini kuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kushinda Mbowe kwenye nafasi ya uwenyekiti sasa mgombea wake alipishindwa tena kwenye uchaguzi wa wazi kabisa ambao haujawahi kutokea kwenye historia ya nchi hii hakuamini macho yake

Baada ya hapo akaanza kuwa mpinzani wa CHADEMA na kuanza kukishambua chama hicho kwenye mitandao yake ya kijamii

Lakini chamois ameliorate maana raia walikuwa wakimpatia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza na kumpiga spana sawia kwenye post zake anazoiponda CHADEMA

Hatimaye leo Jumatau Agosti 06 2025 amesaliti kauli yake meenyewe aliyoisasi hakuna kuhama chama ukipigwa kwenye uchaguzi yeye ndio kahama chama na kujiunga na CHAUMA

Huyu mchawi sijui kakwama wapi? Au ndio mizimu yake ilimdanganya kuwa Mbowe atashinda? Matoke yale ya Tundu Lisu kuikuba mwenyekiti wa CHADEMA yamethihirisha kuwa Mungu wa mbinguni ni zaidi ya mizimu ya Yeriko ya dunia hii

Comasava
Wapinzani wa tanzani ni wapumbavu kwa sababu ya mfumo mbovu wa kuoata watu wa kuongoza
 
Yeriko Nyerere na wengine kwenye genge lake ni wanasiasa uchwara, Hawa ni wasakatonge kupitia jukwaa la Siasa. Walipoona Mzee wa totoz kapigwa doro kwenye Uchaguzi wakaona hawana chao tena. Fisi huwa anaota ilipo mizoga ili apate kula!!!
 
Back
Top Bottom