Hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya katika siasa ya Bongo

πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘ŠπŸ½ Hakuna Elites wala mama yake Elites bali kuna UHUNI wa hali ya juu na UBABE kupitia vyombo vya dola.

"Kama si vyombo vya dola kuibeba ccm naamini uchaguzi wa 2010 Chadema ingechukua Nchi"

Unazungumzia 2010 ambapo Kikwete alipata asilimia 62.83% na Slaa 27.05%?
Vyama vingine vikapata 10.12%.
Mbona 2015 mlifanya vizuri zaidi na EL?
Kwanini unaamini sana 2010,wakati 2015 mwamko ulikuwa mkubwa na watu wengi walijiandikisha kuzidi 2010?
 
Usiamini hizo percentage zilizojaa udanganyifu wa hali juu. Kumbuka wakati huo Serikali ilikuwa na kashfa chungu nzima kuanzia EPA, IPTL, Richmond, Kilimo Kwanza, Meremeta, Kigoda etc


Unazungumzia 2010 ambapo Kikwete ealipata asilimia 62.83% na Slaa 27.05%?
Vyama vingine vikapata 10.12%.
Mbona 2015 mlifanya vizuri zaidi na EL?
Kwanini unaamini sana 2010,wakati 2015 mwamko ulikuwa mkubwa na watu wengi walijiandikisha kuzidi 2010?
 
Usiamini hizo percentage zilizojaa udanganyifu wa hali juu. Kumbuka wakati huo Serikali ilikuwa na kashfa chungu nzima kuanzia EPA, IPTL, Richmond, Kilimo Kwanza, Meremeta, Kigoda etc

Kashfa leo zimeisha? Ajenda ya ufisadi na rushwa iliyowapa umaarufu CDM imepotelea wapi?. Unataka tuamini kwamba sasa rushwa imekwisha?
 
Wanabodi,

Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.

Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo.
Siasa ya ni kama mchezo wa kuigiza "Tamthilia" inayoigizwa jukwaani. Kuna wanaoangalia na kuisgabikia tamthilia ambao ndio sisi wananchi tunaokaa mbele ya jukwaa na mchezo unatuhusu sisi,na waigizaji "stunts" ambao ndio wanasiasa wenyewe wanaoigiza na nyuma ya jukwaa kuna pazia ambako huko ndiko mambo na mipango yote ya tamthilia inakopangwa. Huko nyuma ya pazia ndiko wanapambwa na kufanya mazoezi ya kuigiza na huko ndiko hao "Elites" wapo na ndio wanaamua mchezo uweje huku kila Muigizaji akipewa kipande aigize vipi na kwa namna gani na ili iweje,huku lengo kuu ni kuendelea kubaki milele katika dora huku waigizaji lengo lao ni kuishi kupitia mchezo huo unaolipa vizuri sana.

Na huko nyuma ya pazia ndio wapo "craftsmen" ambao ndio waandishi na waongozaji "masterminds" wa mpango mzima wa igizo.

Tuangazie ishu moja tuu ya vyama vingi msingi wake ambao mpaka leo tunateseka nao sababu bado "Elites" wameushikilia mpango wao huku "stunts" wengi wamezeeka japo wanaendelea kucheza tamthilia huku kazi kubwa ikiwa ni kuwaandaa wachezaji wengine wachanga.

Ndio maana leo utaona mtu kama Cheyo anaomba apewe viti vya ubunge free na ukimuona unaona wazi amechoka kimwili na fikra ila ni mchezaji wa siku nyingi sana na ana ukwasi anajiita "bwana mapesa".

Bosi wa TLP ambaye amewahi kuwa "Naibu Waziri Mkuu". Jamaa ambaye enzi hizo mimi napata akili aliwahi hamasisha tuandamane na mwishoni tukapigwa sisi na kwa macho yangu nikamuona anapanda gari ya RPC kwa kupigiwa saluti. Huyu jamaa yupo kwenye "payroll" nyingi za nchi hii na ni tajiri sema afya tuu mzee wetu huyu.

Vijana wengi "smart" wa walitolewa katika nafasi zao nyeti na kupewa mpunga na kuanzishwa vyama vyao huku wakipewa ruzuku na hao hao wanaowapinga. Yaani unampinga na kumtukana mtu,huyo huyo mtu ndiye anasaini malipo yenu kulipa chama chenu ruzuku kupitia msajiri wa hazina. Huku ujira wa hao "stunts" ukiwa ni ruzuku. Hawa hawana nia ya kushika dora,wao wananufaika na ruzuku na tips za hapa na pale kutoka kwa wale wanaowapinga.

Kwanza ieleweke mchakato wa vyama vingi haukuwa msukumo wetu wa ndani, ulikuwa ni msukumo wa nje maana sisi tuliukataa. Ila wakati huo ili kuendana na masharti ya mabeberu kutoka Bretton Woods ikiwemo WB na IMF chini ya mfumo wa SAP's "Elites" au "think tankers" walifikiri na kuja na mkakati wa siku nyingi wa kuleta vyama na namna ya kuvidhibiti.

Waliandaliwa watu "smart" kutoka vitengo wakapewa "mchanga" kwa lengo la kuanzisha vyama hiyo 1992.

Mtei na Makani ni miongoni mwa watu hao. Mbowe amechukua chama hicho 2000 hakuwahi jua waanzishaji wa chama hicho wana ajenda zao na wana mkono mrefu. Yeye akaja serious akakikuza chama hicho,"Elites" wakaona kijana anavuka grafu wakamchezea shere,wakawavuta vijana wake aliowapika akiwemo Boss wa ACT,alipolambishwa chambi ishu ya Buzwagi akawa hana namna akawa mtumwa wa "Elites". Elites wakawa wakaanza mtumia na wakampa mpunga aanzishe chama chama ndani ya chama. Huyo bosi ACT ana ukwasi wa kuweza kuendesha chama kichanga kusimamamisha mgombea uraisi na kumzungusha nchi kubwa kila kijiji. Hela hiyo aliotoa wapi?.

Mwaka 2015 "Elites" wakapika mpango washindane wao kwa wao. Wakafanikiwa kuwaingiza kingi CDM wakamletea EL. 2015 hapakuwa na upinzani,Chama dora kilikuwa peke yake,walishindana wale wale. 2015 mchawi "CDM" alipewa mwana amlee na akakubali. Mtoto kakua kanyea kambi na karudi kwa baba yake.

EL alikuwa na malengo mawili kwanza ajisafishe na pili alitimiza lengo la chama dora kushindana wenyewe. EL kwa sasa ni "msafi" na hafuatwi na nzi tena na unaishi "uzee mwema".
Tragedy of miscalculation inabaki kuitafuna CDM. Wakati kamati kuu inampitisha EL kuwa mgombea wao "mzee ruksa" alisema "wamekwisha" lakini sikio la kufa wakakomaa kumpiga jiki EL huku wakifurahia bilioni tisa alizokuja nazo wakijua ni zake,kumbe mwenzao alipewa huo "mpunga" na "Elites" na yeye hakuweka hata mia mbovu ya kwake.

2020 kuendelea...
Huyo dogo wa visiwani alianza kuandaliwa muda ni mpango wa muda mrefu toka enzi za Ben.

Ishu ya BM kufukuzwa na yenyewe ni trap ni mpango kama ulivyokuwa wa EL mwaka 2015.
Mtoto wa kigoma Mwandiga na yeye anadeni lile lile la kuwamaliza hawa CDM huku yeye akiwa hana mpango wa kushika dora ila kupiga ruzuku. Kazi hiyo bado hajatimiza na ndio maana Maalim amenyakwa visiwani na huku anampanga BM agombee bara.
Lengo lao ni kuwapoka CDM na CUF kitumbua "ruzuku" na kuimaliza CDM.

NATABIRI HAYA BAADA YA OKTOBA
BM ataenda ACT atapunguza kura za CDM. ACT watapewa majimbo na watapata asilimia nyingi za kura kupata ruzuku kutoka visiwani.
BM akimaliza uchaguzi chama chake watamsamehe na watamrudushia uanachama.

ZZK hatagombea uraisi mwaka huu,mpango wake ni 2025 ambapo atakuwa ametimiza lengo la kuiondoa CDM katika "key opposition" ya nchi.

Maalim mwaka huu atapata kura kiduchu sana maana CUF nao wataweka mtu kugawana kura na Huseni atapeta.

Bado tunasafari ndefu sana ya "upinzani" bongo. Aliyebuni mpango wa mwaka 1992 wa namna ya kuendesha siasa ya vyama vingi akili yake itaishi kwa siku nyingi na kwa vizazi vingi. Mpaka pale ambapo tutakuja kufahamu tunataka nini na tukafanya kazi kubwa ya kupata tunachokitaka ndipo tutapata jibu.

Wasaalam.
"Upepo ukipuliza sana uchi wa kuku huonekana"
"Ukiwa na subra utaona mwisho wa kila kitu"
Imetulia mlemle.
 
Wanabodi,

Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.

Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo.
Siasa ya ni kama mchezo wa kuigiza "Tamthilia" inayoigizwa jukwaani. Kuna wanaoangalia na kuisgabikia tamthilia ambao ndio sisi wananchi tunaokaa mbele ya jukwaa na mchezo unatuhusu sisi,na waigizaji "stunts" ambao ndio wanasiasa wenyewe wanaoigiza na nyuma ya jukwaa kuna pazia ambako huko ndiko mambo na mipango yote ya tamthilia inakopangwa. Huko nyuma ya pazia ndiko wanapambwa na kufanya mazoezi ya kuigiza na huko ndiko hao "Elites" wapo na ndio wanaamua mchezo uweje huku kila Muigizaji akipewa kipande aigize vipi na kwa namna gani na ili iweje,huku lengo kuu ni kuendelea kubaki milele katika dora huku waigizaji lengo lao ni kuishi kupitia mchezo huo unaolipa vizuri sana.

Na huko nyuma ya pazia ndio wapo "craftsmen" ambao ndio waandishi na waongozaji "masterminds" wa mpango mzima wa igizo.

Tuangazie ishu moja tuu ya vyama vingi msingi wake ambao mpaka leo tunateseka nao sababu bado "Elites" wameushikilia mpango wao huku "stunts" wengi wamezeeka japo wanaendelea kucheza tamthilia huku kazi kubwa ikiwa ni kuwaandaa wachezaji wengine wachanga.

Ndio maana leo utaona mtu kama Cheyo anaomba apewe viti vya ubunge free na ukimuona unaona wazi amechoka kimwili na fikra ila ni mchezaji wa siku nyingi sana na ana ukwasi anajiita "bwana mapesa".

Bosi wa TLP ambaye amewahi kuwa "Naibu Waziri Mkuu". Jamaa ambaye enzi hizo mimi napata akili aliwahi hamasisha tuandamane na mwishoni tukapigwa sisi na kwa macho yangu nikamuona anapanda gari ya RPC kwa kupigiwa saluti. Huyu jamaa yupo kwenye "payroll" nyingi za nchi hii na ni tajiri sema afya tuu mzee wetu huyu.

Vijana wengi "smart" wa walitolewa katika nafasi zao nyeti na kupewa mpunga na kuanzishwa vyama vyao huku wakipewa ruzuku na hao hao wanaowapinga. Yaani unampinga na kumtukana mtu,huyo huyo mtu ndiye anasaini malipo yenu kulipa chama chenu ruzuku kupitia msajiri wa hazina. Huku ujira wa hao "stunts" ukiwa ni ruzuku. Hawa hawana nia ya kushika dora,wao wananufaika na ruzuku na tips za hapa na pale kutoka kwa wale wanaowapinga.

Kwanza ieleweke mchakato wa vyama vingi haukuwa msukumo wetu wa ndani, ulikuwa ni msukumo wa nje maana sisi tuliukataa. Ila wakati huo ili kuendana na masharti ya mabeberu kutoka Bretton Woods ikiwemo WB na IMF chini ya mfumo wa SAP's "Elites" au "think tankers" walifikiri na kuja na mkakati wa siku nyingi wa kuleta vyama na namna ya kuvidhibiti.

Waliandaliwa watu "smart" kutoka vitengo wakapewa "mchanga" kwa lengo la kuanzisha vyama hiyo 1992.

Mtei na Makani ni miongoni mwa watu hao. Mbowe amechukua chama hicho 2000 hakuwahi jua waanzishaji wa chama hicho wana ajenda zao na wana mkono mrefu. Yeye akaja serious akakikuza chama hicho,"Elites" wakaona kijana anavuka grafu wakamchezea shere,wakawavuta vijana wake aliowapika akiwemo Boss wa ACT,alipolambishwa chambi ishu ya Buzwagi akawa hana namna akawa mtumwa wa "Elites". Elites wakawa wakaanza mtumia na wakampa mpunga aanzishe chama chama ndani ya chama. Huyo bosi ACT ana ukwasi wa kuweza kuendesha chama kichanga kusimamamisha mgombea uraisi na kumzungusha nchi kubwa kila kijiji. Hela hiyo aliotoa wapi?.

Mwaka 2015 "Elites" wakapika mpango washindane wao kwa wao. Wakafanikiwa kuwaingiza kingi CDM wakamletea EL. 2015 hapakuwa na upinzani,Chama dora kilikuwa peke yake,walishindana wale wale. 2015 mchawi "CDM" alipewa mwana amlee na akakubali. Mtoto kakua kanyea kambi na karudi kwa baba yake.

EL alikuwa na malengo mawili kwanza ajisafishe na pili alitimiza lengo la chama dora kushindana wenyewe. EL kwa sasa ni "msafi" na hafuatwi na nzi tena na unaishi "uzee mwema".
Tragedy of miscalculation inabaki kuitafuna CDM. Wakati kamati kuu inampitisha EL kuwa mgombea wao "mzee ruksa" alisema "wamekwisha" lakini sikio la kufa wakakomaa kumpiga jiki EL huku wakifurahia bilioni tisa alizokuja nazo wakijua ni zake,kumbe mwenzao alipewa huo "mpunga" na "Elites" na yeye hakuweka hata mia mbovu ya kwake.

2020 kuendelea...
Huyo dogo wa visiwani alianza kuandaliwa muda ni mpango wa muda mrefu toka enzi za Ben.

Ishu ya BM kufukuzwa na yenyewe ni trap ni mpango kama ulivyokuwa wa EL mwaka 2015.
Mtoto wa kigoma Mwandiga na yeye anadeni lile lile la kuwamaliza hawa CDM huku yeye akiwa hana mpango wa kushika dora ila kupiga ruzuku. Kazi hiyo bado hajatimiza na ndio maana Maalim amenyakwa visiwani na huku anampanga BM agombee bara.
Lengo lao ni kuwapoka CDM na CUF kitumbua "ruzuku" na kuimaliza CDM.

NATABIRI HAYA BAADA YA OKTOBA
BM ataenda ACT atapunguza kura za CDM. ACT watapewa majimbo na watapata asilimia nyingi za kura kupata ruzuku kutoka visiwani.
BM akimaliza uchaguzi chama chake watamsamehe na watamrudushia uanachama.

ZZK hatagombea uraisi mwaka huu,mpango wake ni 2025 ambapo atakuwa ametimiza lengo la kuiondoa CDM katika "key opposition" ya nchi.

Maalim mwaka huu atapata kura kiduchu sana maana CUF nao wataweka mtu kugawana kura na Huseni atapeta.

Bado tunasafari ndefu sana ya "upinzani" bongo. Aliyebuni mpango wa mwaka 1992 wa namna ya kuendesha siasa ya vyama vingi akili yake itaishi kwa siku nyingi na kwa vizazi vingi. Mpaka pale ambapo tutakuja kufahamu tunataka nini na tukafanya kazi kubwa ya kupata tunachokitaka ndipo tutapata jibu.

Wasaalam.
"Upepo ukipuliza sana uchi wa kuku huonekana"
"Ukiwa na subra utaona mwisho wa kila kitu"
ccm wamefika mwisho sema kinacho tukwamisha ni brainwashed waliyo fanyiwa watanzania tangu tupate uhuru. mfumo wa elimu yetu ni mbovu hasa elimu ya msingi na katika familia zetu. tunafundishwa waga tangu utotoni kiasi hata mashuleni watoto wanaogopa kuuliza maswali. kutokana na woga huo wa kuogopa wakubwa kuanzia nyumbani mpaka mashuleni ndio sababu ya ccm kuchukuwa advantage hiyo. ya kutumia vitisho kufanikisha azima yake ya kubakia madarakani. kwafano afande siro akipewa amri haramu na waziri hana uwezo wa kumwambia bosi hiyo amri haitekelezeki badala yake ataitekeleza bila hata kuangaria kanunu za kazi yake zinasemaje. hivyo hivo kwa mafisa wa usalama, wakuu wa majeshi kuja mpaka wasimamizi wa uchaguzi kurudi chini mpaka wapiga kura nikufuwata amritu watanzania wengi wakawaida hawana akiri ya critical thinking. yaani wakiambiwa au kusoma au kuona kitu wanakichukulia kama kilivyo hawajiulizi kwanini hicho kitu kimetokea,
aliye kisababisha alikusudia nini na kwa nini? kwamfano babu wa loliando watu walivumisha, na kila mtu alikimbilia kuywa kikombe lakini mpaka leo hakuna anaye juwa nani wa kwanza kutoa hizo habari za kikombe. hata mahakimu na wanasheria ambao ndio tulitegemea wawe na uwezo wa kutembea katika misitari ya professions zao lakini nao wanapokea amri halamu. mpaka kuja kurudisha watu kwenye akili ya kujitambuwa ni kazi ngumu ambayo inahitaji kujitowa kama Tundu lissu.
 
Mkuu kwenye bandiko lako kuna ukweli sana kuliko uwongo!japo najiuliza kama mambo yapo hivyo nongwa ya mkwere na mamvi inatokana na nini??
 
Wanabodi,

Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.

Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo.
Siasa ya ni kama mchezo wa kuigiza "Tamthilia" inayoigizwa jukwaani. Kuna wanaoangalia na kuisgabikia tamthilia ambao ndio sisi wananchi tunaokaa mbele ya jukwaa na mchezo unatuhusu sisi,na waigizaji "stunts" ambao ndio wanasiasa wenyewe wanaoigiza na nyuma ya jukwaa kuna pazia ambako huko ndiko mambo na mipango yote ya tamthilia inakopangwa. Huko nyuma ya pazia ndiko wanapambwa na kufanya mazoezi ya kuigiza na huko ndiko hao "Elites" wapo na ndio wanaamua mchezo uweje huku kila Muigizaji akipewa kipande aigize vipi na kwa namna gani na ili iweje,huku lengo kuu ni kuendelea kubaki milele katika dora huku waigizaji lengo lao ni kuishi kupitia mchezo huo unaolipa vizuri sana.

Na huko nyuma ya pazia ndio wapo "craftsmen" ambao ndio waandishi na waongozaji "masterminds" wa mpango mzima wa igizo.

Tuangazie ishu moja tuu ya vyama vingi msingi wake ambao mpaka leo tunateseka nao sababu bado "Elites" wameushikilia mpango wao huku "stunts" wengi wamezeeka japo wanaendelea kucheza tamthilia huku kazi kubwa ikiwa ni kuwaandaa wachezaji wengine wachanga.

Ndio maana leo utaona mtu kama Cheyo anaomba apewe viti vya ubunge free na ukimuona unaona wazi amechoka kimwili na fikra ila ni mchezaji wa siku nyingi sana na ana ukwasi anajiita "bwana mapesa".

Bosi wa TLP ambaye amewahi kuwa "Naibu Waziri Mkuu". Jamaa ambaye enzi hizo mimi napata akili aliwahi hamasisha tuandamane na mwishoni tukapigwa sisi na kwa macho yangu nikamuona anapanda gari ya RPC kwa kupigiwa saluti. Huyu jamaa yupo kwenye "payroll" nyingi za nchi hii na ni tajiri sema afya tuu mzee wetu huyu.

Vijana wengi "smart" wa walitolewa katika nafasi zao nyeti na kupewa mpunga na kuanzishwa vyama vyao huku wakipewa ruzuku na hao hao wanaowapinga. Yaani unampinga na kumtukana mtu,huyo huyo mtu ndiye anasaini malipo yenu kulipa chama chenu ruzuku kupitia msajiri wa hazina. Huku ujira wa hao "stunts" ukiwa ni ruzuku. Hawa hawana nia ya kushika dora,wao wananufaika na ruzuku na tips za hapa na pale kutoka kwa wale wanaowapinga.

Kwanza ieleweke mchakato wa vyama vingi haukuwa msukumo wetu wa ndani, ulikuwa ni msukumo wa nje maana sisi tuliukataa. Ila wakati huo ili kuendana na masharti ya mabeberu kutoka Bretton Woods ikiwemo WB na IMF chini ya mfumo wa SAP's "Elites" au "think tankers" walifikiri na kuja na mkakati wa siku nyingi wa kuleta vyama na namna ya kuvidhibiti.

Waliandaliwa watu "smart" kutoka vitengo wakapewa "mchanga" kwa lengo la kuanzisha vyama hiyo 1992.

Mtei na Makani ni miongoni mwa watu hao. Mbowe amechukua chama hicho 2000 hakuwahi jua waanzishaji wa chama hicho wana ajenda zao na wana mkono mrefu. Yeye akaja serious akakikuza chama hicho,"Elites" wakaona kijana anavuka grafu wakamchezea shere,wakawavuta vijana wake aliowapika akiwemo Boss wa ACT,alipolambishwa chambi ishu ya Buzwagi akawa hana namna akawa mtumwa wa "Elites". Elites wakawa wakaanza mtumia na wakampa mpunga aanzishe chama chama ndani ya chama. Huyo bosi ACT ana ukwasi wa kuweza kuendesha chama kichanga kusimamamisha mgombea uraisi na kumzungusha nchi kubwa kila kijiji. Hela hiyo aliotoa wapi?.

Mwaka 2015 "Elites" wakapika mpango washindane wao kwa wao. Wakafanikiwa kuwaingiza kingi CDM wakamletea EL. 2015 hapakuwa na upinzani,Chama dora kilikuwa peke yake,walishindana wale wale. 2015 mchawi "CDM" alipewa mwana amlee na akakubali. Mtoto kakua kanyea kambi na karudi kwa baba yake.

EL alikuwa na malengo mawili kwanza ajisafishe na pili alitimiza lengo la chama dora kushindana wenyewe. EL kwa sasa ni "msafi" na hafuatwi na nzi tena na unaishi "uzee mwema".
Tragedy of miscalculation inabaki kuitafuna CDM. Wakati kamati kuu inampitisha EL kuwa mgombea wao "mzee ruksa" alisema "wamekwisha" lakini sikio la kufa wakakomaa kumpiga jiki EL huku wakifurahia bilioni tisa alizokuja nazo wakijua ni zake,kumbe mwenzao alipewa huo "mpunga" na "Elites" na yeye hakuweka hata mia mbovu ya kwake.

2020 kuendelea...
Huyo dogo wa visiwani alianza kuandaliwa muda ni mpango wa muda mrefu toka enzi za Ben.

Ishu ya BM kufukuzwa na yenyewe ni trap ni mpango kama ulivyokuwa wa EL mwaka 2015.
Mtoto wa kigoma Mwandiga na yeye anadeni lile lile la kuwamaliza hawa CDM huku yeye akiwa hana mpango wa kushika dora ila kupiga ruzuku. Kazi hiyo bado hajatimiza na ndio maana Maalim amenyakwa visiwani na huku anampanga BM agombee bara.
Lengo lao ni kuwapoka CDM na CUF kitumbua "ruzuku" na kuimaliza CDM.

NATABIRI HAYA BAADA YA OKTOBA
BM ataenda ACT atapunguza kura za CDM. ACT watapewa majimbo na watapata asilimia nyingi za kura kupata ruzuku kutoka visiwani.
BM akimaliza uchaguzi chama chake watamsamehe na watamrudushia uanachama.

ZZK hatagombea uraisi mwaka huu,mpango wake ni 2025 ambapo atakuwa ametimiza lengo la kuiondoa CDM katika "key opposition" ya nchi.

Maalim mwaka huu atapata kura kiduchu sana maana CUF nao wataweka mtu kugawana kura na Huseni atapeta.

Bado tunasafari ndefu sana ya "upinzani" bongo. Aliyebuni mpango wa mwaka 1992 wa namna ya kuendesha siasa ya vyama vingi akili yake itaishi kwa siku nyingi na kwa vizazi vingi. Mpaka pale ambapo tutakuja kufahamu tunataka nini na tukafanya kazi kubwa ya kupata tunachokitaka ndipo tutapata jibu.

Wasaalam.
"Upepo ukipuliza sana uchi wa kuku huonekana"
"Ukiwa na subra utaona mwisho wa kila kitu"
Asante kwa makala
 
Wanabodi,

Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.

Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo.
Siasa ya ni kama mchezo wa kuigiza "Tamthilia" inayoigizwa jukwaani. Kuna wanaoangalia na kuisgabikia tamthilia ambao ndio sisi wananchi tunaokaa mbele ya jukwaa na mchezo unatuhusu sisi,na waigizaji "stunts" ambao ndio wanasiasa wenyewe wanaoigiza na nyuma ya jukwaa kuna pazia ambako huko ndiko mambo na mipango yote ya tamthilia inakopangwa. Huko nyuma ya pazia ndiko wanapambwa na kufanya mazoezi ya kuigiza na huko ndiko hao "Elites" wapo na ndio wanaamua mchezo uweje huku kila Muigizaji akipewa kipande aigize vipi na kwa namna gani na ili iweje,huku lengo kuu ni kuendelea kubaki milele katika dora huku waigizaji lengo lao ni kuishi kupitia mchezo huo unaolipa vizuri sana.

Na huko nyuma ya pazia ndio wapo "craftsmen" ambao ndio waandishi na waongozaji "masterminds" wa mpango mzima wa igizo.

Tuangazie ishu moja tuu ya vyama vingi msingi wake ambao mpaka leo tunateseka nao sababu bado "Elites" wameushikilia mpango wao huku "stunts" wengi wamezeeka japo wanaendelea kucheza tamthilia huku kazi kubwa ikiwa ni kuwaandaa wachezaji wengine wachanga.

Ndio maana leo utaona mtu kama Cheyo anaomba apewe viti vya ubunge free na ukimuona unaona wazi amechoka kimwili na fikra ila ni mchezaji wa siku nyingi sana na ana ukwasi anajiita "bwana mapesa".

Bosi wa TLP ambaye amewahi kuwa "Naibu Waziri Mkuu". Jamaa ambaye enzi hizo mimi napata akili aliwahi hamasisha tuandamane na mwishoni tukapigwa sisi na kwa macho yangu nikamuona anapanda gari ya RPC kwa kupigiwa saluti. Huyu jamaa yupo kwenye "payroll" nyingi za nchi hii na ni tajiri sema afya tuu mzee wetu huyu.

Vijana wengi "smart" wa walitolewa katika nafasi zao nyeti na kupewa mpunga na kuanzishwa vyama vyao huku wakipewa ruzuku na hao hao wanaowapinga. Yaani unampinga na kumtukana mtu,huyo huyo mtu ndiye anasaini malipo yenu kulipa chama chenu ruzuku kupitia msajiri wa hazina. Huku ujira wa hao "stunts" ukiwa ni ruzuku. Hawa hawana nia ya kushika dora,wao wananufaika na ruzuku na tips za hapa na pale kutoka kwa wale wanaowapinga.

Kwanza ieleweke mchakato wa vyama vingi haukuwa msukumo wetu wa ndani, ulikuwa ni msukumo wa nje maana sisi tuliukataa. Ila wakati huo ili kuendana na masharti ya mabeberu kutoka Bretton Woods ikiwemo WB na IMF chini ya mfumo wa SAP's "Elites" au "think tankers" walifikiri na kuja na mkakati wa siku nyingi wa kuleta vyama na namna ya kuvidhibiti.

Waliandaliwa watu "smart" kutoka vitengo wakapewa "mchanga" kwa lengo la kuanzisha vyama hiyo 1992.

Mtei na Makani ni miongoni mwa watu hao. Mbowe amechukua chama hicho 2000 hakuwahi jua waanzishaji wa chama hicho wana ajenda zao na wana mkono mrefu. Yeye akaja serious akakikuza chama hicho,"Elites" wakaona kijana anavuka grafu wakamchezea shere,wakawavuta vijana wake aliowapika akiwemo Boss wa ACT,alipolambishwa chambi ishu ya Buzwagi akawa hana namna akawa mtumwa wa "Elites". Elites wakawa wakaanza mtumia na wakampa mpunga aanzishe chama chama ndani ya chama. Huyo bosi ACT ana ukwasi wa kuweza kuendesha chama kichanga kusimamamisha mgombea uraisi na kumzungusha nchi kubwa kila kijiji. Hela hiyo aliotoa wapi?.

Mwaka 2015 "Elites" wakapika mpango washindane wao kwa wao. Wakafanikiwa kuwaingiza kingi CDM wakamletea EL. 2015 hapakuwa na upinzani,Chama dora kilikuwa peke yake,walishindana wale wale. 2015 mchawi "CDM" alipewa mwana amlee na akakubali. Mtoto kakua kanyea kambi na karudi kwa baba yake.

EL alikuwa na malengo mawili kwanza ajisafishe na pili alitimiza lengo la chama dora kushindana wenyewe. EL kwa sasa ni "msafi" na hafuatwi na nzi tena na unaishi "uzee mwema".
Tragedy of miscalculation inabaki kuitafuna CDM. Wakati kamati kuu inampitisha EL kuwa mgombea wao "mzee ruksa" alisema "wamekwisha" lakini sikio la kufa wakakomaa kumpiga jiki EL huku wakifurahia bilioni tisa alizokuja nazo wakijua ni zake,kumbe mwenzao alipewa huo "mpunga" na "Elites" na yeye hakuweka hata mia mbovu ya kwake.

2020 kuendelea...
Huyo dogo wa visiwani alianza kuandaliwa muda ni mpango wa muda mrefu toka enzi za Ben.

Ishu ya BM kufukuzwa na yenyewe ni trap ni mpango kama ulivyokuwa wa EL mwaka 2015.
Mtoto wa kigoma Mwandiga na yeye anadeni lile lile la kuwamaliza hawa CDM huku yeye akiwa hana mpango wa kushika dora ila kupiga ruzuku. Kazi hiyo bado hajatimiza na ndio maana Maalim amenyakwa visiwani na huku anampanga BM agombee bara.
Lengo lao ni kuwapoka CDM na CUF kitumbua "ruzuku" na kuimaliza CDM.

NATABIRI HAYA BAADA YA OKTOBA
BM ataenda ACT atapunguza kura za CDM. ACT watapewa majimbo na watapata asilimia nyingi za kura kupata ruzuku kutoka visiwani.
BM akimaliza uchaguzi chama chake watamsamehe na watamrudushia uanachama.

ZZK hatagombea uraisi mwaka huu,mpango wake ni 2025 ambapo atakuwa ametimiza lengo la kuiondoa CDM katika "key opposition" ya nchi.

Maalim mwaka huu atapata kura kiduchu sana maana CUF nao wataweka mtu kugawana kura na Huseni atapeta.

Bado tunasafari ndefu sana ya "upinzani" bongo. Aliyebuni mpango wa mwaka 1992 wa namna ya kuendesha siasa ya vyama vingi akili yake itaishi kwa siku nyingi na kwa vizazi vingi. Mpaka pale ambapo tutakuja kufahamu tunataka nini na tukafanya kazi kubwa ya kupata tunachokitaka ndipo tutapata jibu.

Wasaalam.
"Upepo ukipuliza sana uchi wa kuku huonekana"
"Ukiwa na subra utaona mwisho wa kila kitu"

Tafadhali ungepata nafasi ungesoma kaji kitabu kadogo kenye title " THE ART OF POLITICAL WAR FOR VICTORS AGAINST THE VAUNGUISHED". kitabu hichi nilikisoma kwa Mzee Mmoja huko Mwanga Milimani.

Nilitafuta kitabu nchi nyingi ambazo nilifanikiwa kufika baada ya kukisoma, lakini sikufanukiwa. Ilibidi nitoe copy ya hicho kitabu huku nyumbani ndipo my former graduate school waka kiproduce ninacho. Kitabu hichi ni tafsiri anadai yeye alikipata kama zawadi ya vitabu siasa iliyopevuka ni vingi walipewa ila hicho NONDO.

Walipewa Moscow na mtu mmoja alikuwa anaitwa Leonid Brezhnev. Jitahidi kitafute na kisome ukiwa umetulia utafahamu dunia ya siasa.
Kwa hali ya siasa ya vyama vingi tuliyonayo, ukikisoma vizuri kinatabiri kitu gani kinafuata, kila hatua na hauwezi kosea.
 
Siasa ni sayansi kamilifu
Tafadhali ungepata nafasi ungesoma kaji kitabu kadogo kenye title " THE ART OF POLITICAL WAR FOR VICTORS AGAINST THE VAUNGUISHED". kitabu hichi nilikisoma kwa Mzee Mmoja huko Mwanga Milimani.

Nilitafuta kitabu nchi nyingi ambazo nilifanikiwa kufika baada ya kukisoma, lakini sikufanukiwa. Ilibidi nitoe copy ya hicho kitabu huku nyumbani ndipo my former graduate school waka kiproduce ninacho. Kitabu hichi ni tafsiri anadai yeye alikipata kama zawadi ya vitabu siasa iliyopevuka ni vingi walipewa ila hicho NONDO.

Walipewa Moscow na mtu mmoja alikuwa anaitwa Leonid Brezhnev. Jitahidi kitafute na kisome ukiwa umetulia utafahamu dunia ya siasa.
Kwa hali ya siasa ya vyama vingi tuliyonayo, ukikisoma vizuri kinatabiri kitu gani kinafuata, kila hatua na hauwezi kosea.
 
Wanabodi,

Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa.

Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo.
Siasa ya ni kama mchezo wa kuigiza "Tamthilia" inayoigizwa jukwaani. Kuna wanaoangalia na kuisgabikia tamthilia ambao ndio sisi wananchi tunaokaa mbele ya jukwaa na mchezo unatuhusu sisi,na waigizaji "stunts" ambao ndio wanasiasa wenyewe wanaoigiza na nyuma ya jukwaa kuna pazia ambako huko ndiko mambo na mipango yote ya tamthilia inakopangwa. Huko nyuma ya pazia ndiko wanapambwa na kufanya mazoezi ya kuigiza na huko ndiko hao "Elites" wapo na ndio wanaamua mchezo uweje huku kila Muigizaji akipewa kipande aigize vipi na kwa namna gani na ili iweje,huku lengo kuu ni kuendelea kubaki milele katika dora huku waigizaji lengo lao ni kuishi kupitia mchezo huo unaolipa vizuri sana.

Na huko nyuma ya pazia ndio wapo "craftsmen" ambao ndio waandishi na waongozaji "masterminds" wa mpango mzima wa igizo.

Tuangazie ishu moja tuu ya vyama vingi msingi wake ambao mpaka leo tunateseka nao sababu bado "Elites" wameushikilia mpango wao huku "stunts" wengi wamezeeka japo wanaendelea kucheza tamthilia huku kazi kubwa ikiwa ni kuwaandaa wachezaji wengine wachanga.

Ndio maana leo utaona mtu kama Cheyo anaomba apewe viti vya ubunge free na ukimuona unaona wazi amechoka kimwili na fikra ila ni mchezaji wa siku nyingi sana na ana ukwasi anajiita "bwana mapesa".

Bosi wa TLP ambaye amewahi kuwa "Naibu Waziri Mkuu". Jamaa ambaye enzi hizo mimi napata akili aliwahi hamasisha tuandamane na mwishoni tukapigwa sisi na kwa macho yangu nikamuona anapanda gari ya RPC kwa kupigiwa saluti. Huyu jamaa yupo kwenye "payroll" nyingi za nchi hii na ni tajiri sema afya tuu mzee wetu huyu.

Vijana wengi "smart" wa walitolewa katika nafasi zao nyeti na kupewa mpunga na kuanzishwa vyama vyao huku wakipewa ruzuku na hao hao wanaowapinga. Yaani unampinga na kumtukana mtu,huyo huyo mtu ndiye anasaini malipo yenu kulipa chama chenu ruzuku kupitia msajiri wa hazina. Huku ujira wa hao "stunts" ukiwa ni ruzuku. Hawa hawana nia ya kushika dora,wao wananufaika na ruzuku na tips za hapa na pale kutoka kwa wale wanaowapinga.

Kwanza ieleweke mchakato wa vyama vingi haukuwa msukumo wetu wa ndani, ulikuwa ni msukumo wa nje maana sisi tuliukataa. Ila wakati huo ili kuendana na masharti ya mabeberu kutoka Bretton Woods ikiwemo WB na IMF chini ya mfumo wa SAP's "Elites" au "think tankers" walifikiri na kuja na mkakati wa siku nyingi wa kuleta vyama na namna ya kuvidhibiti.

Waliandaliwa watu "smart" kutoka vitengo wakapewa "mchanga" kwa lengo la kuanzisha vyama hiyo 1992.

Mtei na Makani ni miongoni mwa watu hao. Mbowe amechukua chama hicho 2000 hakuwahi jua waanzishaji wa chama hicho wana ajenda zao na wana mkono mrefu. Yeye akaja serious akakikuza chama hicho,"Elites" wakaona kijana anavuka grafu wakamchezea shere,wakawavuta vijana wake aliowapika akiwemo Boss wa ACT,alipolambishwa chambi ishu ya Buzwagi akawa hana namna akawa mtumwa wa "Elites". Elites wakawa wakaanza mtumia na wakampa mpunga aanzishe chama chama ndani ya chama. Huyo bosi ACT ana ukwasi wa kuweza kuendesha chama kichanga kusimamamisha mgombea uraisi na kumzungusha nchi kubwa kila kijiji. Hela hiyo aliotoa wapi?.

Mwaka 2015 "Elites" wakapika mpango washindane wao kwa wao. Wakafanikiwa kuwaingiza kingi CDM wakamletea EL. 2015 hapakuwa na upinzani,Chama dora kilikuwa peke yake,walishindana wale wale. 2015 mchawi "CDM" alipewa mwana amlee na akakubali. Mtoto kakua kanyea kambi na karudi kwa baba yake.

EL alikuwa na malengo mawili kwanza ajisafishe na pili alitimiza lengo la chama dora kushindana wenyewe. EL kwa sasa ni "msafi" na hafuatwi na nzi tena na unaishi "uzee mwema".
Tragedy of miscalculation inabaki kuitafuna CDM. Wakati kamati kuu inampitisha EL kuwa mgombea wao "mzee ruksa" alisema "wamekwisha" lakini sikio la kufa wakakomaa kumpiga jiki EL huku wakifurahia bilioni tisa alizokuja nazo wakijua ni zake,kumbe mwenzao alipewa huo "mpunga" na "Elites" na yeye hakuweka hata mia mbovu ya kwake.

2020 kuendelea...
Huyo dogo wa visiwani alianza kuandaliwa muda ni mpango wa muda mrefu toka enzi za Ben.

Ishu ya BM kufukuzwa na yenyewe ni trap ni mpango kama ulivyokuwa wa EL mwaka 2015.
Mtoto wa kigoma Mwandiga na yeye anadeni lile lile la kuwamaliza hawa CDM huku yeye akiwa hana mpango wa kushika dora ila kupiga ruzuku. Kazi hiyo bado hajatimiza na ndio maana Maalim amenyakwa visiwani na huku anampanga BM agombee bara.
Lengo lao ni kuwapoka CDM na CUF kitumbua "ruzuku" na kuimaliza CDM.

NATABIRI HAYA BAADA YA OKTOBA
BM ataenda ACT atapunguza kura za CDM. ACT watapewa majimbo na watapata asilimia nyingi za kura kupata ruzuku kutoka visiwani.
BM akimaliza uchaguzi chama chake watamsamehe na watamrudushia uanachama.

ZZK hatagombea uraisi mwaka huu,mpango wake ni 2025 ambapo atakuwa ametimiza lengo la kuiondoa CDM katika "key opposition" ya nchi.

Maalim mwaka huu atapata kura kiduchu sana maana CUF nao wataweka mtu kugawana kura na Huseni atapeta.

Bado tunasafari ndefu sana ya "upinzani" bongo. Aliyebuni mpango wa mwaka 1992 wa namna ya kuendesha siasa ya vyama vingi akili yake itaishi kwa siku nyingi na kwa vizazi vingi. Mpaka pale ambapo tutakuja kufahamu tunataka nini na tukafanya kazi kubwa ya kupata tunachokitaka ndipo tutapata jibu.

Wasaalam.
"Upepo ukipuliza sana uchi wa kuku huonekana"
"Ukiwa na subra utaona mwisho wa kila kitu"

Mkuu amenipa kazi kidogo ya kufanya uchambuzi wa kisayansi w a bandiko lako, linaleta maana. Lakini wabobezi wa uchambuzi lazima tujiulize jee ni sahihi?

Sasa kuna formular zifuatazo kama unauwezo jitahidi kutumia kiuandisji na kwa uchambuzi wa suala lolote zoto la kisayansi

HYPOTHESIS ANALYSIS:
hypothesis analysis testing


hypothesis, sometimes called confirmatory data analysis, is a hypothesis that is testable on the basis of observing a process that is modeled via a set of random variables.

In general, analysis is defined as the procedure by which we break down an intellectual or substantial whole into parts or components.


Philosophy
Hypothesis testing and philosophy intersect. Inferential statistics, which includes hypothesis testing, is applied probability. Both probability and its application are intertwined with philosophy.

"All knowledge degenerates into probability." Competing practical definitions of probability reflect philosophical differences. The most common application of hypothesis testing is in the scientific interpretation of experimental data, which is naturally studied by the philosophy of science.


SINTHESIS ANALYSIS :

Synthesis is defined as the opposite procedure: to combine separate elements or components in order to form a coherent whole.

Kama ukiweza ku adopt mfuma huu katika uandishi wewe utakuwa muandishi mzuri sana.

Na kwa kufuatilia kisayansi ndio utaweza kujua CHADEMA ni chama kikoje? mapungufu yake kwa kila hatua na kujua ni chama kinaendeshwa kanyaga twende. Tukipata muda nitazungumzia suala la Lissu, ujio wake na kipi kinafuata na kipi kinaweza kumtikea na yote haya yatatokea kwa uhakika.

Uki aply that analysis na nitakupatia kitabu THE ART OF WAR FOR VICTORS AGAINST THE VANGUISHED. Na nina hakika hichi kitabu CCM wanakitumia kwa ukamilifu wake na wako page ya 3 katika page 610. Hasa point ya 4 ya kutenganisha akili za uzamivu (the Elites with pristine mind) na the masses ili wasiweze kutoa uchambuzi wa yanayo endelea wakati chama kinaendelea kufutika.

Fuatilia elimu ya watendaji wa Chama wakuu wa kila siku wa Chadema, wote elimu ya mashaka, Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Naibu katibu mkuu Bara na Visiwani hakuna hata mwenye Degree moja ni form 4, CHETI, Form 6, na Diploma tuu na bila uzoefu wa utafiti.
IPO KAZI
 
ccm wamefika mwisho sema kinacho tukwamisha ni brainwashed waliyo fanyiwa watanzania tangu tupate uhuru. mfumo wa elimu yetu ni mbovu hasa elimu ya msingi na katika familia zetu. tunafundishwa waga tangu utotoni kiasi hata mashuleni watoto wanaogopa kuuliza maswali. kutokana na woga huo wa kuogopa wakubwa kuanzia nyumbani mpaka mashuleni ndio sababu ya ccm kuchukuwa advantage hiyo. ya kutumia vitisho kufanikisha azima yake ya kubakia madarakani. kwafano afande siro akipewa amri haramu na waziri hana uwezo wa kumwambia bosi hiyo amri haitekelezeki badala yake ataitekeleza bila hata kuangaria kanunu za kazi yake zinasemaje. hivyo hivo kwa mafisa wa usalama, wakuu wa majeshi kuja mpaka wasimamizi wa uchaguzi kurudi chini mpaka wapiga kura nikufuwata amritu watanzania wengi wakawaida hawana akiri ya critical thinking. yaani wakiambiwa au kusoma au kuona kitu wanakichukulia kama kilivyo hawajiulizi kwanini hicho kitu kimetokea,
aliye kisababisha alikusudia nini na kwa nini? kwamfano babu wa loliando watu walivumisha, na kila mtu alikimbilia kuywa kikombe lakini mpaka leo hakuna anaye juwa nani wa kwanza kutoa hizo habari za kikombe. hata mahakimu na wanasheria ambao ndio tulitegemea wawe na uwezo wa kutembea katika misitari ya professions zao lakini nao wanapokea amri halamu. mpaka kuja kurudisha watu kwenye akili ya kujitambuwa ni kazi ngumu ambayo inahitaji kujitowa kama Tundu lissu.

Mkuu kwa mfumo wa undeshaji vyama na siasa za upinzani Tanzania kwa ulivyo leo, kama hakuna mabadiliko makubwa upinzani, basi CCM itatawala miaka 100 inayo kuja.

Na kama wapinzani watakuwa na wabunge wa Majimbo ya kuchaguliwa chini ya wabunge 10 Tanzania bara, basi ujue siasa hazitobadilika haraka na namba hiyo ya wabunge itabadilika labda miaka hamsini ijayo.

Sijui unafahamu, the political brain ya vijana wa Tanzania ambao wamehamia CCM kwa wingi ?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom